Kwakweli Mungu awaweke sana na awape riziki Kwa ajili ya familia zenuAsante sana kwa kulitambua hilo ijapokuwa wanawake wengi hawalioni hilo.
Kilicho kichwani mwake ni yeye yeye tu na kuangalia watoto na si familia kwa ujumla kama baba afanyo
amkia we dogo😆😂, mi niko poaHujambo?
salamu za nini, una taka kuni nyima nini we binti??😃😃Sitak kucheka usije kusema Nacheka sana
Aya shikamoo
Hukuchangia nafikirHivi huu uzi sikuchangiaga kweli? Umetisha sana mdogo ake Aaliyyah
Yani Mungu amtunze mume wangu...makosa yake ni machache kulinganisha na upendo wake kwetu familia yake...
Wanaume wanaopambania familia zao ni wa kuwaombea..
Mungu ni mwema hujibu yale mtu anayotamani au kumwomba...atamtunza Amina...Hukuchangia nafikir
Amiina amtunze sana tu
Kuwa mwanaume sio rahis ukiwa na mtu anaejali familia muombee sana
Niliwah kumuuliza rafikayang baada ya kulalamika jambo fulan,Kwamba mume aondoke mwez 1 amuachie Ile nyumba na Ile familia ilivo kubwa anaweza kumudu kuiendesha akasema hawez kiukweli ni kazi sana
Mungu tu awasaidie
Nimependa hapo kwenye kumuachia nyumba mwezi mmoja apaone kwenye familia kama patamtosha😂Hukuchangia nafikir
Amiina amtunze sana tu
Kuwa mwanaume sio rahis ukiwa na mtu anaejali familia muombee sana
Niliwah kumuuliza rafikayang baada ya kulalamika jambo fulan,Kwamba mume aondoke mwez 1 amuachie Ile nyumba na Ile familia ilivo kubwa anaweza kumudu kuiendesha akasema hawez kiukweli ni kazi sana
Mungu tu awasaidie
Ukurud utamkuta kakonda 😃Nimependa hapo kwenye kumuachia nyumba mwezi mmoja apaone kwenye familia kama patamtosha😂
Hilo ndio wazo langu huzunguka ktk chwani changu ili apake kupunguza makelele yake na ubinafsi
Utasikia ges imeisha! Utajikung'uta vijana wapate kula.Ukurud utamikuta kakonda 😃
Kutunza nyumb sio kuosha vyombo na kufagia aisee
Mimi naishi mwenyew napnga ratibazangu vizuri lkn kunawakati unaishiwa Yan hata kutoka nje naonaga shughuli nakaa ndani tu
Imagine unawatoto 3 alaf ufulie wee
Wanaume wanapitia mengi
Du ningekutumia pesa chap sema sijapiga myumbo hapaNatumaini mko poa,
Nilipoteza baba nikiwa najitambua kiasi nikabaki na mama pekee. Mama alikuwa mchakarikaji sana lakini kuna vitu vilibadilika sana mambo hayakuwa kama yalivyo awali.
Maisha yalikuwa tofuti sana na kipindi baba yangu yuko hai nikaona ni kiasi gani mzee aliteseka kuhakikisha tunaishi vizuri na tunakuwa salama sisi na mama yetu nimejisikia kuwasemea leo.
Kuna wakati wanaume wanapitia mambo mengi magumu kwaajili ya familia zao ama watu wanaowapenda hasa katika utafutaji wa riziki. Kuna walio na kazi za halali, kuna wengine wahatarisha hata maisha yao Ili kuhakikisha mambo yanakuwa sawa lakini kitu kizuri ni kwamba sio wasimualiaji wazuri wa mahangaiko na mateso yao wakati wanafanya hayo.
Kuna ambao wanatamani asubuhi isifike kwani kwao ni mateso matupu. Hadi jua linazama ni mwendo wa mahangaiko na ukute kuna wakati hawapati kabisa lakini ndo hivyo waliumbiwa mateso, ni mwendo wa kichwa kupata moto tu.
Wanawake wengi tumekuwa ni wazuri kwa upokeaji lakini ni wachache wa kushukuru. Tuwahurumie na tuwaombee japo wana mabaya yao na madhaifu yao walokuwanayo lakini watabaki kuwa ni muhimu kwa ustawi wafamilia zetu.
Kwa mliopo kwenye ndoa mjitahidi kuwatia moyo na kuwahurumia pamoja na udhaifu wa waume zenu, lakini inawezekana bila huyo mambo yasingekuwa hivyo unavyoyaona; pia mkumbuke pia hatma za watoto wenu.
Na sisi wa jumuiya😀 pia tuwaombee na tuwashukuru kwani bila wao tusingeonekana huku mtaani.
Niliowakwaza mtanisamehe, ni hayo tu.