Mpiga Paspoti
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 309
- 1,273
Pikipiki ya cc 125 - 150 inaenda Dar hadi Shinyanga kwa kuanzia asubuhi mpaka jioni bila kuchemsha?
Kama ni kweli inawezekana wanaosema Passo ya cc 990 haiwezi wanakua wanamaanisha passo mbovu
Jini Kisiranii
Kwahiyo Suzuki Jimny ni ya kutembelea town tu?Passo cc990 inatoboa Shinyanga na popote bila kuchemsha.
Ugomvi ni gari ya cc660, hii hata Moro hutoboi!!
Nasubiria jibuKwahiyo Suzuki Jimny ni ya kutembelea town tu?
Ila pikipiki ni CC 125 mpaka 150 ambayo mleta uzi kasafiri nayo kwanini CC 660 ziwe hazina uwezo
Noma sanaImetoboa, Dar es salaam, pwani, morogoro, Dodoma, singida, Tabora...na Mimi mwenyewe ndio nilikuwa naendesha
So ulitembea km zaidi ya 1000 Kwa saa 12 yaani ulikuwa unamantain speed ya 90kmh muda wote WA safari
Passo cc990 inatoboa Shinyanga na popote bila kuchemsha.
Ugomvi ni gari ya cc660, hii hata Moro hutoboi!!
Upo sahihi ila kwenye muda apo umetupiga mkuu...
Mimi natumia zile kubwa cc 200....Km 85 adi 90 natumia Lisaa 1 [1hr] apo speed nacheza na 80 adi 100...
Kwa boxer au tvs 150 labda masaa 20...umejitahidi sana masaa 15 dar-shy na apo ujasimama kupumzika wala kupata msosi kidogo.
-----------------
Usafiri wa pikipiki ni mzuri sanaa,hasa ukiwa unaendesha kwa mapenzi yaani unapenda kitu kipo kwenye damu,utaenjoy sana.
Pia ni usafiri wa hatari sana,hasa kama una matatizo ya kiafya (pressure,msongo wa mawazo,au uoni hafifu)....ukiwa barabarani na pikipki muda wote akili iwe active.
Napenda sana zile pkpk kubwa cc 200 na kuendelea afu nyuma ufunge mzigo wa kg 10 au 15......sipendi kubeba mtu labda iwe tu dharura.
Kwanini sasa cc660 ichemshe wakati pikipiki tunazunguka nazo kutwa nzima na azichemki...hapa naizungumzia cc 125 ambayo ni ndogo sana kuliko hiyo cc660...!
Kwahiyo Suzuki Jimny ni ya kutembelea town tu?
Ila pikipiki ni CC 125 mpaka 150 ambayo mleta uzi kasafiri nayo kwanini CC 660 ziwe hazina uwezo
Emergency.imagance ni nini maama yake?? emmergence ni dharura hiyo yako ulimaanisha nini naneno sulualu ni kitu gani au misemo mipya mjini
Walimu bwana mnashida sanaa...imagance ni nini maama yake?? emmergence ni dharura hiyo yako ulimaanisha nini naneno sulualu ni kitu gani au misemo mipya mjini
Eeh ukipiga hesabu kama kila lisaa limoja utatembea kwa 80kph basi ndani ya masaa 12 utakuwa umetembea 960kms. Chukulia ulipumzika mahali hata kwa lisaa maana yake utakuwa ume cover 850kms tayari.Kabisa dar to shinyanga masaa 12 kwa piki piki
Kuna mwaka mwana JF Pascal Mayala nae alisafiri kwa pikipiki yake ya Kisasa kutoka Dar kwenda Dodoma lakini haikufika aliishia njiani,alienda kuponea India majeraha aliyoyapataMwaka Jana nilijaribu kwenda masafa marefu na piki piki ilikuwa BOXER 125 nilienda shinyanga nilitumia masaa zaidi ya 12 maana nilitoka dar es salaam alfajiri nikafika shinyanga jioni kwenye saa 1 hivi kasoro...! Boxer kidogo barabarani ilikuwa inayumba Nategemea kwenda Shinyanga kwa pikipiki aina ya Boxer, CC 125
View attachment 3135103
Mwaka huu hivi karibuni nikaamua kubadilisha usafiri nikatumia Tvs hizi toleo jibya wanaziita TVS HLX 5G hizi pikipiki nilikuwa sizielewi ila kwakweli mfumo wake ni mzuri japo kwa mbali ukikosea kuzipanga gia vizuri Ina mtetemo ila ni kwa mbali sana...na gia ukizipatia kuingiza inatulia inakuwa kama baiskel vile...Ina kuwa nyepesi na haiyumbi au kupepesuka barabarani.
View attachment 3135112
Angalizo ukiwa unataka kutumia usafiri wa piki piki kwa masafa marefu...
Mwaga oil Kuwa na spana za akiba. Mafuta hayana shida sana maana shell zipo Kila Kona. Ila ukibebab kidumu Cha mafuta walau Cha lita 5 chenye mafuta ya imagance sio mbaya. Beba balbu ya taa ya mbele. Usithubutu kusafiri na piki piki jioni...mwisho wa kusafiri na piki piki ni saa 12 jioni. Kigiza kikianza kuingia barabara kubwa inakuwa hatari sana...madereva wasio na akili Wana washa headlight itakavyo kufanya upoteze uelekeo.View attachment 3135121hivyo ni Bora ukathitisha safari Giza likiingia. Vaa sulualu zaidi ya Moja barabarani Kuna bari sana. Vaa hata jinzi Tatu. Vaa masharti ya mikono mirefu hata mawili pamoja na jaketi zito la ngozi. Vaa viatu haswa mabuti yatakayo kufanya uibane suluali. Badilisha oil Yako mwanzo wa safari...! Usilazimishe ku over take mabasi Nenda mwendo wa kawaida tu speed 80...ila kama uoni wako ni mzuri unaweza kwenda zaidi ya speed hiyo ila kwa uangalifu mkubwa.View attachment 3135133kwakweli sijutii kabisa kusafiria Pikipiki nilikuwa naogopa sana kutumia pikipiki zenye cc mdogo ila sio hatari kama Wanavyo dai...nili enjoy sana safari za pikipiki.
Anhaa so cc660 ni nyingi kulinganisha na pikipiki ila pistons zake haziruhusu safari ya muda mrefu?Load ya gari na mizigo haiendani na hp inayozalishwa na gari kumudu safari ndefu.
Cc660 ni piston tatu ujue, mbili zinashuka moja inapanda kuvuta kwa muda mrefu haiwezi