Nilichojifunza kusafiria Pikipiki safari ndefu

Passo cc990 inatoboa Shinyanga na popote bila kuchemsha.

Ugomvi ni gari ya cc660, hii hata Moro hutoboi!!
Kwahiyo Suzuki Jimny ni ya kutembelea town tu?

Ila pikipiki ni CC 125 mpaka 150 ambayo mleta uzi kasafiri nayo kwanini CC 660 ziwe hazina uwezo
 
So ulitembea km zaidi ya 1000 Kwa saa 12 yaani ulikuwa unamantain speed ya 90kmh muda wote WA safari
Kuna muda nilikuwa nazidi...nilitembea Hadi 100kmh njiani nilikutana na raia nahisi walikuwa wanaenda either kuchukua MKAA au walikuwa wanarudi....wale jamaa walikuwa wanne bwana walikuwa enaendesha pikipiki...kupitia wao tukawa tuna kimbizana...hao jamaa tulikimbiza pita nikupite🤣🤣🤣 Hadi Dodoma tokea CHALINZE...

Kupitia hao jamaa safari niliiona nzuri Hadi tukawa marafiki tuliokutana barabarani...!​
 
Sijawapiga ndugu yangu...nilisimama kidogo Dodoma...Kisha nikaendelea na safari Hadi mwisho...! Ninachokumbuka Dar es salaam nilitoka alfajiri​
 
Kwanini sasa cc660 ichemshe wakati pikipiki tunazunguka nazo kutwa nzima na azichemki...hapa naizungumzia cc 125 ambayo ni ndogo sana kuliko hiyo cc660...!​

Gari yenye cc660 inakuwa na piston 3 wakati yenye 990 inakuwa na piston 4.

Piston inatoa horse power ndogo sana kumudu kuvuta mzigo wa kilo mia kadhaa umbali mrefu, nadhani pikipiki hp inayozalisha inaendana na load iliyopo!
 
Kwahiyo Suzuki Jimny ni ya kutembelea town tu?

Ila pikipiki ni CC 125 mpaka 150 ambayo mleta uzi kasafiri nayo kwanini CC 660 ziwe hazina uwezo

Load ya gari na mizigo haiendani na hp inayozalishwa na gari kumudu safari ndefu.

Cc660 ni piston tatu ujue, mbili zinashuka moja inapanda kuvuta kwa muda mrefu haiwezi
 
Kuna mwaka mwana JF Pascal Mayala nae alisafiri kwa pikipiki yake ya Kisasa kutoka Dar kwenda Dodoma lakini haikufika aliishia njiani,alienda kuponea India majeraha aliyoyapata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…