econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
- Thread starter
- #21
Hapana mkuu namkataa hoja yako ya ukabila. Kwenye manifesto ya MK Wana sera ya kutaifisha Ardhi na migodi na kuwagawia wananchi. Hili sera ndio imewapa kura nyingi kutoka kwa wapiga kura waliochoshwa na kutokuwa na Ajira. Bila hiyo sera nakwambia huyo Zuma na MK yake wangekuwa huko shimoni na EFF.Kwenye point yako ya kwanza naomba nikupinge. Kwazulu Natal hawajachagua chama Cha Zuma Kwa sababu ya sera. Zuma alikua Raisi wa nchi Kwa miaka karibia kumi. What can he do different that now as an old man of 82 years old that he couldn't do when he was in power?
They voted along tribal line.
As for ANC they need to purge itself from corruption within it's ranks. The crime level, inequality is quite high. For people who are in the rulling party it is easy to get money and lucrative government tenders. Also the electricity problem is bringing the economy to it's knee. They need to at least eat their ego and form a coalition with DA party. They have shown how to rule by the way they have run Western Cape and Cape Town itself. Professionalism and not the badge that his or her mother fought the Apartheid should be the qualification. Also the youth should be taught how to work in order to get a good life. Nothing came easy, hardworking and determination is the key.
Pia nakubaliana na wewe kuhusu DA, Tena nilitaka DA wapate majority ili waindeshe nchi bila kuchanganywa na ANC walifail. DA ndio tumaini la South Africa. Sema shida iliyopo ni extremesim ya weusi kutikana na ubaguzi hapo ndipo DA anakwamia.