Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zuma si alikuwa kwenye hiyo serikali ana kipi cha maana cha ofer halafu mtu mwenye tuhuma za rushwa anapataje tena wabunge wengi hapo naona shida kweliNilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:
1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.
2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.
3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.
4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.
5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.
6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa u aimejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.
Ni hayo tu kwa Sasa,
By the Econonist.
Mkuu, nimejaribu kugugo jina lako sijapata majibu, nipo tayari kupata maarifa mapya toka kwakoMkuu, wewe unajua Jina langu kunizidi?. Ni Econonist na sio Economist. Kafuatilie kazi ya Econonist ni Nini? Tuwe watu wa tafiti na sio kujifungia kwenye tunayoyajua tu na kulazimishana no please.
huku kwetu harakati lazima ziwepo maana sisi bado tunapambana na katiba yetu ya kiduanzi inayokibeba chama tawala katiba ikikaa poa na tukawa demokrasia ya ukweli naamin tutakuja kufika huko kwa wastaarabuKweli kabisa. Kwa Sasa watu wanataka sera ya maendeleo hasa ya kiuchumi mambo ya propaganda na harakati hawayataki. Natamani upinzani wa Tanzania wajifunze kwenye hili.
Malema ana sera nyingi za ki-Mugabe amabazo Waafrika Kusini wengi wameona madhara yake kwa jinsi ambavyo Wazimbabwe wamekuwa wakimbizi wa kisiasa na uchumi Afrika Kusini.Malema alikuwa anapinga Xenophobia ndio maana amekimbiwa na wapigakura wengi lakini kwangu namuona ndio amekomaa Kisiasa na ni PanAfricanist.
Kumbuka South Africa kuna wahamiaji wengi kutoka Ulaya Mashariki lakini Xenophobia inawaathiri zaidi wahamiaji kutoka Nchi za Kiafrika.
😀😀😀Inaweza kuwa. Ila nilifanya intentionally na sio misspelling. Ingawa watu wengi wanalazimisha iwe Economist.
Uko sahihi mkuu! Nashangaa sikuliona hilo. Hiyo ni ID yako na siyo kama wengi tulivyokuwa tukifikiria.Inaweza kuwa. Ila nilifanya intentionally na sio misspelling. Ingawa watu wengi wanalazimisha iwe Economist.
Bila wananchi kuamka hayo hayawezi kujibadili yenyewe!Uchaguzi uwe wazi na haki. Pia Tume iwe huru kabisa.
I beg to differ from your point.Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:
1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.
2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.
3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.
4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.
5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.
6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.
Ni hayo tu kwa Sasa,
By the Econonist.
Pia Rais aliyeko madarakani alikubali sauti za WATU siyo huku kwetu ungeshsngaa wanapindua mezaNilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:
1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.
2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.
3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.
4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.
5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.
6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.
Ni hayo tu kwa Sasa,
By the Econonist.
Ndugu Economist matokeo ya kujifunza kwako kunaweza vipi kuwaamsha wadanganyika waliolala,ili watoke walipo kwamia?Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:
1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.
2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.
3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.
4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.
5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.
6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.
Ni hayo tu kwa Sasa,
By the Econonist.