Nilichojifunza kwenye Uchaguzi wa South Africa

Nilichojifunza kwenye Uchaguzi wa South Africa

Walikuwa wanataka kupiga kipindi Fulani. Na walifikia sehemu wakadai huwezi kuwa Rais kama hujapitishwa na wasukuma. Ila naona Sasa hivi wamepotea walipata nguvu Sana. Hata mwaka 2015 walitumia hii kadi Sana. Mpaka Kampeni ikapelekwa Mwanza purposely na kisukuma kutawala.
More reason kumonitor watu wanaotumia asili yao kupata kura. Kufikia Kenya walipo ni sekunde Moja. Pia dini imeanza kujipenyeza kwenye maamuzi ya kiserikali. Mbegu ndogo inaanza kuota mizizi na kutoa matawi. Kifuatacho ni kiama
 
Walikuwa wanataka kupiga kipindi Fulani. Na walifikia sehemu wakadai huwezi kuwa Rais kama hujapitishwa na wasukuma. Ila naona Sasa hivi wamepotea walipata nguvu Sana. Hata mwaka 2015 walitumia hii kadi Sana. Mpaka Kampeni ikapelekwa Mwanza purposely na kisukuma kutawala.
Lakini Msukuma hana Ujasiri wa Mzulu.Mzulu anajua anafanya nini lakini Msukuma amekalia kula Miwa tu.
 
Tanzania bado hatutafika kwenye sera, sisi bado tupo kwenye propaganda na mabavu basi. Pia kawadanganya wananchi na mambo ya kupita. Unajaza watu uwanja wa Taifa wakati wa kampeni na kuwaletea wasanii wapige show halafu umemaliza , na uhakika wa kura unao.
😂😂 Nimecheka kwa nguvu, nenda kwenye mkutano wa kampeni wa karibia masaa matatu. Masaa mawili ni ya burusani, nusu saa ni ya wapambe kupiga vijembe na kumwaga tambo. 10 ni za mgombea kupiga porojo, na kama kina maswali, basi ni mawili matatu ya watu walipangwa. Kisha 15 za wapambe kuaga.

Siku ya uchaguzi zinaletwa kura za kubumba, huku mtangaza matokeo akiwa ameshapewa maagizo ya nani atangazwe mshindi. Ukitaka kucheka itisha mdahalo, hakuna anayetaka anasema kazi zake zinajieleza. Na hayuko tayari kuhojiwa! Cha ajabu unakuta watu wa aina hiyo wanawekea wananchi maneno mdomoni kuwa wanakubalika!
 
Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:

1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.

2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.

3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.

4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.

5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.

6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.

Ni hayo tu kwa Sasa,

By the Econonist.
Mwisho wa vyama "VIKONGWE" umekaribia, wajitayarishe kisailolojia soon nao wataitwa vyama vya "UPINZANI"
 
Ingekua sio ukabila angepata kura za kutosha Gauteng,Limpopo, Free State na kwingine. Kura zake karibia zote zimetoka KwaZuluNatal. Zulu people have failed South Africa. Mostly they think on how to increase the number of wives when they got money. Running a country require more than that. DA hakiwezi kuaminika South Africa. Uwezo wa kuendesha nchi kinayo give you a bad name and all your credibility is shoved up your ass.
Kweli kabisa mkuu. Sijui Zuma aliwezaje kupenya mpaka kuwa Rais. Maana Hata Mandela wakati anakaribia kustaafu alimfikiria Ramaphosa Kama mrithi wake ukiachilia Mbeki.
 
More reason kumonitor watu wanaotumia asili yao kupata kura. Kufikia Kenya walipo ni sekunde Moja. Pia dini imeanza kujipenyeza kwenye maamuzi ya kiserikali. Mbegu ndogo inaanza kuota mizizi na kutoa matawi. Kifuatacho ni kiama
Yes. Kile kilichotokea mwaka wa 2015 kisijirudie. Kutumia kadi ya kikabila kwenye kuchagua sio afya au kutumia Lugha ya nyumbani kwenye kampeni Tena live kwenye TV.

Hili suala la udini inabidi waliangalie kwa ukatibu Sana. Wakiliachia hivi hivi matokeo yake yatakuwa sio mazuri.
 
😂😂 Nimecheka kwa nguvu, nenda kwenye mkutano wa kampeni wa karibia masaa matatu. Masaa mawili ni ya burusani, nusu saa ni ya wapambe kupiga vijembe na kumwaga tambo. 10 ni za mgombea kupiga porojo, na kama kina maswali, basi ni mawili matatu ya watu walipangwa. Kisha 15 za wapambe kuaga.

Siku ya uchaguzi zinaletwa kura za kubumba, huku mtangaza matokeo akiwa ameshapewa maagizo ya nani atangazwe mshindi. Ukitaka kucheka itisha mdahalo, hakuna anayetaka anasema kazi zake zinajieleza. Na hayuko tayari kuhojiwa! Cha ajabu unakuta watu wa aina hiyo wanawekea wananchi maneno mdomoni kuwa wanakubalika!
Yani ni shida Mkuu. Bado tupo nyuma Sana kwenye chaguzi zetu.
 
Kweli kabisa mkuu. Sijui Zuma aliwezaje kupenya mpaka kuwa Rais. Maana Hata Mandela wakati anakaribia kustaafu alimfikiria Ramaphosa Kama mrithi wake ukiachilia Mbeki.
Zuma ni street fighter but corrupt. Anaweza retail politics lakini Hana strategy ya kuongoza. Kukosa kwake strategy kukawanufaisha waeshia wachache. Halafu tayari ana baggage ya corruption kwenye yale manunuzi ya kijeshi. Ni rahisi kuleverage corruption kupata kitu Kwa mtu maana tayari mna file lake chafu.
 
Yes. Kile kilichotokea mwaka wa 2015 kisijirudie. Kutumia kadi ya kikabila kwenye kuchagua sio afya au kutumia Lugha ya nyumbani kwenye kampeni Tena live kwenye TV.

Hili suala la udini inabidi waliangalie kwa ukatibu Sana. Wakiliachia hivi hivi matokeo yake yatakuwa sio mazuri.
Tatizo tuna usalama wa Taifa ambao wengi hawana merits za kuwa pale. Ukiangalia NSA au FBI au CIA huingii kama wewe ni bogus. Kwetu kadi ya chama ndo kielelezo namba Moja. Tunahitaji watu wenye uwezo wa kuona Kwa macho matatu. Kama sasa hivi nyuzi za kidini hapa JF zimepamba moto. Kuna wakati mpaka nahofu kwamba pameshageuka kuwa recruiting space Kwa vitu visivyoo faa. We need to be vigilant. They start small. Kama tumeweza kubarn porn Kwa asilimia kubwa basi tunaweza kubarn na hizi extremist views. Kuna indoctrination inaendelea kubwa mno. Tutashtuka tukiwa tumeshachelewa. Time is now. Not yesterday or tomorrow, Now!
 
Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:

1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.

2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.

3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.

4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.

5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.

6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.

Ni hayo tu kwa Sasa,

By the Econonist.
Kumbe haukujifunza lolote kama hukusema kuwa katiba Yao ni imara na ndiyo nguzo kuu Kwa mustakabali wa afya ya taifa huru la Afrika ya kusini.
 
Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:

1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.

2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.

3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.

4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.

5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.

6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.

Ni hayo tu kwa Sasa,

By the Econonist.
Taifa lolote lile bila kuwa na katiba imara kamwe haliwezi kuwa na uchaguzi huru na wa haki
 
Back
Top Bottom