Unampatia sifa za bure maana hakuna sehemu amegusia katiba yaoBoss ahsante kwa uchambuzi wako murua kabisaa.Heko kwako!![emoji1545]
Paragraph yako hii imenifanya mimi ambae sikufuatilia kabisa kinachoendelea South Africa kupata habari nzima ya uchaguzi huo.Ahsante sana
Wachana na walevi wa kimpumuMkuu, wewe unajua Jina langu kunizidi?. Ni Econonist na sio Economist. Kafuatilie kazi ya Econonist ni Nini? Tuwe watu wa tafiti na sio kujifungia kwenye tunayoyajua tu na kulazimishana no please.
Nolichojifunza ni kwamba S A hakuna mwijaku Wala baba Revo Wala Lucas mwashambwa Kule ni masilah ya inchi Hakuna Cha uzuli wa jina la chama Wala hakuna Cha ukombozi.Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:
1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.
2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.
3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.
4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.
5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.
6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.
Ni hayo tu kwa Sasa,
By the Econonist.
Hua tunavuta wote hio mipuya?Punguza bange mzee
Itakuwa ni typing error mkuu. Nafikiri alikusudia kuandika ECONOMIST lakini maandishi "yakateleza"Ndio nini? SIOecononistni economist
Tulia wewe ushashiba togwa na ugoro tuliaWachana na walevi wa kimpumu
Maraisi wetu nao wawe wanaona aibu kusifiwa sifiwa kusikokuwa na tija.Ndipo kilichobakia. Kila mtu anamsujudia Rais.
Kweli kabisa.Zuma ni street fighter but corrupt. Anaweza retail politics lakini Hana strategy ya kuongoza. Kukosa kwake strategy kukawanufaisha waeshia wachache. Halafu tayari ana baggage ya corruption kwenye yale manunuzi ya kijeshi. Ni rahisi kuleverage corruption kupata kitu Kwa mtu maana tayari mna file lake chafu.
Mimi huwa nashangaa kwanini Kuna mambo TISS wanayaaacha yanaendelea. Wakati wa Bandari watu waliingiza udini hadharani na hakuna kilichofanyiaka kuwaonya au kumemea. Naogopa ipo siku kampeni zitafanyika Kidini halafu itakuwa shida maana kwa bongo udini ni mbaya kuliko ukabila.Tatizo tuna usalama wa Taifa ambao wengi hawana merits za kuwa pale. Ukiangalia NSA au FBI au CIA huingii kama wewe ni bogus. Kwetu kadi ya chama ndo kielelezo namba Moja. Tunahitaji watu wenye uwezo wa kuona Kwa macho matatu. Kama sasa hivi nyuzi za kidini hapa JF zimepamba moto. Kuna wakati mpaka nahofu kwamba pameshageuka kuwa recruiting space Kwa vitu visivyoo faa. We need to be vigilant. They start small. Kama tumeweza kubarn porn Kwa asilimia kubwa basi tunaweza kubarn na hizi extremist views. Kuna indoctrination inaendelea kubwa mno. Tutashtuka tukiwa tumeshachelewa. Time is now. Not yesterday or tomorrow, Now!
Hiyo ni obvious Mkuu. Ndipo maana sikuiweka hapo. Ila Cha zaidi nilikuwa naangalia event ya uchaguzi kwa upana wake.Kumbe haukujifunza lolote kama hukusema kuwa katiba Yao ni imara na ndiyo nguzo kuu Kwa mustakabali wa afya ya taifa huru la Afrika ya kusini.
Mkuu sio kwamba nimeshindwa kuongelea katiba yao, Bali focus yangu ilikuwa kwenye uchaguzi Kama tukio sio sheria au katiba za uchaguzi. Nadhani next time nitajadili katiba ya south.Unampatia sifa za bure maana hakuna sehemu amegusia katiba yao
Kweli kabisa. Hakuna machawa wa kulazimisha watu wampigie kura Fulani.Nolichojifunza ni kwamba S A hakuna mwijaku Wala baba Revo Wala Lucas mwashambwa Kule ni masilah ya inchi Hakuna Cha uzuli wa jina la chama Wala hakuna Cha ukombozi.
Tanzania twende na lipi?Nilichojifunza kuhusu Africa Kusini kwenye uchaguzi wao , ni yafuatayo:
1. Kwenye uchaguzi wao wameaangalia sera zaidi, sio vyama vya siasa au utumbuizaji wa wasanii kwenye majukwaa ya kampeni. Kwa mfano chama Cha Julius Malema kimeshindwa kuungwa mkono kwa pale alipoleta sera ya kufungua mipaka (Open Border Policy) wasouth wakaachana naye. Sasa hivi chama chake kimeporomoka mpaka nafasi ya nne kwa kujikusanyia asilimia 9 ya kura.
2. Uchaguzi upo wazi. Waandishi wa habari wanaruhusiwa kuhudhuria tukio la kuhesabu kura. Hili limetia moyo Sana. Hata kituo Chao kikuu Cha kujumuisha kura Kiko friendly hakuna mapolisi Wala Usalama kuzuia watu. Matokeo yote yatapatikana kwenye dashboard na kila wakala mkuu wa chama anakuwa na eneo lake la kupokea matokeo kutoka kwa mawakala wake na anaweza kuthibitisha ukweli wake kwa kuangalia matokeo kwenye dashboard.
3. Utendaji wa serikali ndio utategemea mafanikio ya uchaguzi unaofuata. Chama tawala kinapofanya madudu ndio jinsi kinavyojipunguzia uwezekano wa kuendelea kukaa madarakani. Kwenye huu muhula ulioisha ANC imefanya vibaya sana kiutawala, Ajira imekuwa changamoto, umeme, maji na pia Hali ya kiuchumi sio nzuri. Hivyo waafrica Kusini wameamua kupima utendaji wa ANC kwa kura walizoipa.
4. Wasouth wameanza kujifikiria kukipa nafasi chama cha DA ambacho kina chimbuko la wazunguWasouth wanadhani DA inaweza kuirudisha Afrika Kusini kwenye mstari. Maana weusi wenzao akina Zuma ni rushwa tu na Gupta's wake, huku Ramaphosa akifukia mabilioni ya Fedha kwenye mashimo nyumbani kwake mpaka kupeleka wafanyakazi wake wa nyumbani kuanza kufukua na kudokoa hizo pesa.
5. Pia nimejifunza ya kwamba kuwa chama Cha ukombozi sio ticket ya kufanya ufisadi na ujinga mwingine.
ANC walitumia kadi ya kuwa chama Cha ukombozi kufanya madudu na kutojihusisha na mambo ya wananchi, Leo hiyo kadi haifanyi kazi kabisa. Wapiga kura hawajali Nini Wala Nini.
6. Mwisho, uchaguzi wa South Africa umejikita kwenye uchumi zaidi. Ni chama gani kitatoa ahueni ya uchumi ndicho kinasikilizwa na sio vinginevyo.
Ni hayo tu kwa Sasa,
By the Econonist.
watu wanataka maendeleo hawataki harakatiMalema alikuwa anapinga Xenophobia ndio maana amekimbiwa na wapigakura wengi lakini kwangu namuona ndio amekomaa Kisiasa na ni PanAfricanist.
Kumbuka South Africa kuna wahamiaji wengi kutoka Ulaya Mashariki lakini Xenophobia inawaathiri zaidi wahamiaji kutoka Nchi za Kiafrika.
Kabisa.watu wanataka maendeleo hawataki harakati
Jina la Mtu hawezi mpangia spelling lisomekaje Hilo ni Jina lake EcononistNdio nini? SIOecononistni economist