Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Kwanini usijiajiri mkuu? Naamini mishahara kwa watumishi wa umma imepishana kidogo kwa kada husika,labda uwe mwanasiasa ndio utapiga pesa.

Lakini katika ajira za kutumikia umma wote tupo katika mtumbwi mmoja
Siyo kweli.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Halmashauri na Mashirika ya Umma au zile wanaita 'Mamlaka ya ....'
 
Tupe rada ya tukio haf tunasepaje wasiojulikana wapo kila kona TZ si watanidaka na kunifilisi vihela nilivyoiba.
 
Create new account kwa ajili ya positive issues ili uwe connected.
2019 niliona tangazo la shamba jamaa kaweka no. zake nilimtafuta mpaka tukaliona shamba. Kwa hio JF sio tu kwamba ina watu wabaya au matapeli.
Wapo watu wanahitaji huduma yako, kama huna baya humu vipi uogope watu.
Umeanzisha genge la uhalifu humu?
Wengi humu wana acc 2.
Hili jukwaa unaweza kulitumia hata kibiashara kama huyo dalali wa mashamba.
Ifike mahala tuwe positive ili kutumia watu kuuuza huduma au kupata huduma.
 
Kwanini usijiajiri mkuu? Naamini mishahara kwa watumishi wa umma imepishana kidogo kwa kada husika,labda uwe mwanasiasa ndio utapiga pesa.

Lakini katika ajira za kutumikia umma wote tupo katika mtumbwi mmoja
Sio kweli.
HR mwenye bachelor aliyeanza Kazi Leo akiwa Halmashauri ni TGS D = 745K akianza BRELA 1.8mil

Mwalimu mwenye bachelor akianza Kazi Kufundisha Shule za Halmashauri TGST D = 745K na akiwa Tutor assistant chuoni ni zaidiii.

Serikali kwenye mishahara HAINA USAWA KABISAAA.

#YNWA
 
Poleni sana watumishi. Ila msisahau kuwa binadamu hatuko sawa. Wengi tuliopo nje ya ajira rasmi za kuajiriwa tunawaonea wivu nyie. Cha muhimu ni kila mmoja kutumia vizuri alichonacho mkononi ili kimtoe kwenye hali ngumu ya kiuchumi kwenda kwenye haliz nzuri.
 
Sasa Mama Samia, kwanini watumishi wa serikali ni sawa na Wana baba mmoja (serikali ya CCM) halafu mishahara tofauti?

#YNWA
 
Mimi nilidhani unazungumzia kuwa halmashauri/wilaya/miji midogo zimeshindwa kuonyesha na kuwasilisha yale wanayoyafanya huko makwao,kumbe wewe unalilia hapa kwa ajili ya tumbo lako,unataka ufananane na mtu wa TRA na ukalale hoteli ya nyota tano,kwani ndicho ulichoendea, hebu nawe jilinganisha na wale waliokuja kuonyesha shughuli zao chi ya hizo halmashauri kama nao wanaishi sawa na wewe. halafu nyie mkiwa huko mawilayani kwenu mnajifanya miungu watu, mumejaa urasimu na huduma mbovu kwa watu masikini. Huduma mbovu halafu unataka upate stahiki sawa na taasisi kama Brela,BOAT ,TRA?
 
Tena walimu ndokabisa utafikiri escape from sobibor
[emoji16][emoji16], wanajichekesha wakiona Dem, unawazingua nipe Ela ya chai hata buku hawatoi hii hapa kwenye chupa, kada nyingine ukiwazingua zinatoka tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…