Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Huu uzi umenichekesha sana comment za watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnawawafanya job seekers waogope kwenda halmashauri ndo mana kuna watu wamepangiwa kazi halmashauri huko misungwi, ukerewe hawajaenda kuripoti [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hawa wanaakili sana,yani bora ukaange mihogo mtaani kuliko akuajiliwa halmashauri.
 
Pia nyie wafanya kazi wa halmashauri huwa ni lazima muwe na kampauko fulani hivi. Iwe kimuonekano, kimitazamo, kiutendaji, hata muwe na hela vipi, mtu akiwaona tu lazima atawajua kuwa hawa ni wa halmashauri. Hata uwe sista du au braza men, lazima tu utajua huyu ni wa halmashauri.

Hata muagize gari pamoja, baada ya wiki utajua tu mwenye hili gari ni staff wa halmashauri.
Nadhani yote hii inatokana na tabia zenu za ufujaji na kuto wajibika kama inavyotarajiwa na kutokuwa innovative na kuwa money oriented na pia utendaji wenu kuwa ni ule wa lazy affairs.

Mtu akiona vitambi, miondoko anajua kuwa hii ni mikato ya OC, recurrent, Gov, in kind n.k
Yote hii ni sababu ya tabia na utendaji wenu kuwa na athari za moja kwa moja kwa raia, lakini hamjali, hivyo mnakua kama wachawi wala nyama za watu, hii inapelekea mnakua kama watu wenye laana ila ni vile hamjijui.
Hahahahaa aisee umepiga kwenye mshono, uwezi kuwa na roho mbaya ukafanikiwa au ukawa na furaha hata uwe mazingira mazuri kiasi gani
 
INTRODUCTION:
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini.
Niko kwenye Halmashauri iliyo chaka sanaaa.

SCENARIO
Tokea nifike Nanenane 01/08 Mbeya nimekuwa nikitembelea mabanda ya ofisi nyengine kujifunza.

Nilichojifunza kufanya Kazi Halmashauri iwe Manispaa, Wilaya, Mji mdogo au ""What so ever"" ni kupoteza muda tuu.

Kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya Taasisi na Halmashauri.
Japo wote tupo serikali moja ila Taasisi ni watoto pendwa wa serikali.

Nimetembelea mabanda ya Taasisi kama
1. BOT
2. EWURA
3. TRA
4. Zile za kilimo kama PASSS na TANTRADE
5. BRELA
6. N.k

Lakini pia nimetembelea mabanda ya Halmashauri kama
1. Mlele
2. Tanganyika
3. Mbalari
4. Ileje
5. Songwe
6. Mafinga
7. Momba
8. Kalambo
9. Nsimbo
10. Kilolo
11. N.k

Ila nimeona utofauti mkubwa sanaa.....

THE PROBLEM
1. Sehemu za kulalia (Hotel na Lodge)

Kuanzia njia ya Uyole mpaka Kabwe Hadi Mbalizi kuna hoteli nyingi tu, ila kwa posho za Halmashauri huwezi lala hizo Hotel, mule hotelini kumejaa gari za ST... na SU tu. Hakuna SM kabisaaa.
Kuna mshikaji wangu yupo PASS kalala kwenye hoteli ya Laki per night huku Mimi nimelala lodge ya 20,000 per night (kila mtu kala kulingana na urefu wa per diem yake).

2. Muonekano wa mabanda
Hebu tembelea banda la H/W Mlele, Nsimbo, Sumbawanga au Mafinga halafu nenda BRELA, TRA au BOT ndio Utanielewa.

3. Hali wa watumishi
Ukitembelea mabanda ya Taasisi utakuta raia wako charming sanaa, nyuso za furaha na kukukaribisha vizurii.

Ila Halmashauri sasa, Mungu atusaidie, maana raia wamepoteza hope kabisa.

Kwanza wengine posho wamekopwa na wakurugenzi wao..!!!

4. Magari
Hebu angalia ndinga za SU na SM.
Hebu cheki tu external appearance UTANIELEWA.
Hebu chukua V8 ya BOT au Wizara ya Fedha halafu pembeni weka V8 ya Njombe au Kalambo, Utanielewa tu.

CONCLUSION
Halmashauri hakuna maisha na hasa hizi DC ndio Umasikini fullll.

Kijana mtafuta ajira, ukipata ajira SM aisee cha kwanza fikiria kuhama na pambana kuhama.

Kijana mtafuta ajira, njoo SM chukua "cheki namba" halafu sepaa kale maisha Taasisi.

Note:- Kuhama SM sio rahisi ila Inawezekana.

Mimi ni mmoja wapo lazima nihame huku SM, siioni kesho yangu nikiwa hii DC iliyo kijijini hivi.

Yaani Mimi ya Masters yangu siwezi staafia huku kijijini halafu Kuna raia wapo DSM, Mwanza, Mbeya, kifupi wapo mjini wanakula maisha ya Taasisi.

Aisee siwezi kukubali, KUHAMA KWENDA TAASISI NI LAZIMA.
Iwe hata kwa hela ila NITAHAMA TU..!!

NOTE
Mbele ya macho ya serikali ya CCM sisi watumishi ""We are all equal, but some people are more equal""

YNWA
Sure the Kopp, you will never walk alone.
 
INTRODUCTION:
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini.
Niko kwenye Halmashauri iliyo chaka sanaaa.

SCENARIO
Tokea nifike Nanenane 01/08 Mbeya nimekuwa nikitembelea mabanda ya ofisi nyengine kujifunza.

Nilichojifunza kufanya Kazi Halmashauri iwe Manispaa, Wilaya, Mji mdogo au ""What so ever"" ni kupoteza muda tuu.

Kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya Taasisi na Halmashauri.
Japo wote tupo serikali moja ila Taasisi ni watoto pendwa wa serikali.

Nimetembelea mabanda ya Taasisi kama
1. BOT
2. EWURA
3. TRA
4. Zile za kilimo kama PASSS na TANTRADE
5. BRELA
6. N.k

Lakini pia nimetembelea mabanda ya Halmashauri kama
1. Mlele
2. Tanganyika
3. Mbalari
4. Ileje
5. Songwe
6. Mafinga
7. Momba
8. Kalambo
9. Nsimbo
10. Kilolo
11. N.k

Ila nimeona utofauti mkubwa sanaa.....

THE PROBLEM
1. Sehemu za kulalia (Hotel na Lodge)

Kuanzia njia ya Uyole mpaka Kabwe Hadi Mbalizi kuna hoteli nyingi tu, ila kwa posho za Halmashauri huwezi lala hizo Hotel, mule hotelini kumejaa gari za ST... na SU tu. Hakuna SM kabisaaa.
Kuna mshikaji wangu yupo PASS kalala kwenye hoteli ya Laki per night huku Mimi nimelala lodge ya 20,000 per night (kila mtu kala kulingana na urefu wa per diem yake).

2. Muonekano wa mabanda
Hebu tembelea banda la H/W Mlele, Nsimbo, Sumbawanga au Mafinga halafu nenda BRELA, TRA au BOT ndio Utanielewa.

3. Hali wa watumishi
Ukitembelea mabanda ya Taasisi utakuta raia wako charming sanaa, nyuso za furaha na kukukaribisha vizurii.

Ila Halmashauri sasa, Mungu atusaidie, maana raia wamepoteza hope kabisa.

Kwanza wengine posho wamekopwa na wakurugenzi wao..!!!

4. Magari

Hebu angalia ndinga za SU na SM.
Hebu cheki tu external appearance UTANIELEWA.
Hebu chukua V8 ya BOT au Wizara ya Fedha halafu pembeni weka V8 ya Njombe au Kalambo, Utanielewa tu.

CONCLUSION
Halmashauri hakuna maisha na hasa hizi DC ndio Umasikini fullll.

Kijana mtafuta ajira, ukipata ajira SM aisee cha kwanza fikiria kuhama na pambana kuhama.

Kijana mtafuta ajira, njoo SM chukua "cheki namba" halafu sepaa kale maisha Taasisi.

Note:- Kuhama SM sio rahisi ila Inawezekana.

Mimi ni mmoja wapo lazima nihame huku SM, siioni kesho yangu nikiwa hii DC iliyo kijijini hivi.

Yaani Mimi ya Masters yangu siwezi staafia huku kijijini halafu Kuna raia wapo DSM, Mwanza, Mbeya, kifupi wapo mjini wanakula maisha ya Taasisi.

Aisee siwezi kukubali, KUHAMA KWENDA TAASISI NI LAZIMA.
Iwe hata kwa hela ila NITAHAMA TU..!!

NOTE
Mbele ya macho ya serikali ya CCM sisi watumishi ""We are all equal, but some people are more equal""

YNWA
Mdg angu mm anafanya Kaz kati moja ya halmashauri ulizotaja hapo kjin Yuko vzr mno mkoko ,nyumba nxuri anayo kwa kifupi anapambna mno
 
Huko halmashauri watu wana hali tete
Ripoti za CAG kila mwaka zinaonyesha halmashauri yanaibwa mabilioni pesa huwa wanapeleka wapi?

Pili nenda ofisi yeyote ya halmashauri utakuta magari binafsi kibao yamepaki ya wafanyakazi pesa hizo huwa wanazitoa wapi?
 
INTRODUCTION:
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini.
Niko kwenye Halmashauri iliyo chaka sanaaa.

SCENARIO
Tokea nifike Nanenane 01/08 Mbeya nimekuwa nikitembelea mabanda ya ofisi nyengine kujifunza.

Nilichojifunza kufanya Kazi Halmashauri iwe Manispaa, Wilaya, Mji mdogo au ""What so ever"" ni kupoteza muda tuu.

Kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya Taasisi na Halmashauri.
Japo wote tupo serikali moja ila Taasisi ni watoto pendwa wa serikali.

Nimetembelea mabanda ya Taasisi kama
1. BOT
2. EWURA
3. TRA
4. Zile za kilimo kama PASSS na TANTRADE
5. BRELA
6. N.k

Lakini pia nimetembelea mabanda ya Halmashauri kama
1. Mlele
2. Tanganyika
3. Mbalari
4. Ileje
5. Songwe
6. Mafinga
7. Momba
8. Kalambo
9. Nsimbo
10. Kilolo
11. N.k

Ila nimeona utofauti mkubwa sanaa.....

THE PROBLEM
1. Sehemu za kulalia (Hotel na Lodge)

Kuanzia njia ya Uyole mpaka Kabwe Hadi Mbalizi kuna hoteli nyingi tu, ila kwa posho za Halmashauri huwezi lala hizo Hotel, mule hotelini kumejaa gari za ST... na SU tu. Hakuna SM kabisaaa.
Kuna mshikaji wangu yupo PASS kalala kwenye hoteli ya Laki per night huku Mimi nimelala lodge ya 20,000 per night (kila mtu kala kulingana na urefu wa per diem yake).

2. Muonekano wa mabanda
Hebu tembelea banda la H/W Mlele, Nsimbo, Sumbawanga au Mafinga halafu nenda BRELA, TRA au BOT ndio Utanielewa.

3. Hali wa watumishi
Ukitembelea mabanda ya Taasisi utakuta raia wako charming sanaa, nyuso za furaha na kukukaribisha vizurii.

Ila Halmashauri sasa, Mungu atusaidie, maana raia wamepoteza hope kabisa.

Kwanza wengine posho wamekopwa na wakurugenzi wao..!!!

4. Magari
Hebu angalia ndinga za SU na SM.
Hebu cheki tu external appearance UTANIELEWA.
Hebu chukua V8 ya BOT au Wizara ya Fedha halafu pembeni weka V8 ya Njombe au Kalambo, Utanielewa tu.

CONCLUSION
Halmashauri hakuna maisha na hasa hizi DC ndio Umasikini fullll.

Kijana mtafuta ajira, ukipata ajira SM aisee cha kwanza fikiria kuhama na pambana kuhama.

Kijana mtafuta ajira, njoo SM chukua "cheki namba" halafu sepaa kale maisha Taasisi.

Note:- Kuhama SM sio rahisi ila Inawezekana.

Mimi ni mmoja wapo lazima nihame huku SM, siioni kesho yangu nikiwa hii DC iliyo kijijini hivi.

Yaani Mimi ya Masters yangu siwezi staafia huku kijijini halafu Kuna raia wapo DSM, Mwanza, Mbeya, kifupi wapo mjini wanakula maisha ya Taasisi.

Aisee siwezi kukubali, KUHAMA KWENDA TAASISI NI LAZIMA.
Iwe hata kwa hela ila NITAHAMA TU..!!

NOTE
Mbele ya macho ya serikali ya CCM sisi watumishi ""We are all equal, but some people are more equal""

YNWA
Mabanda ys BOT yote yanakuaga na AC lazima wawaonyeshe washika pochi ya Taifa ela zenu zipo kwa wasio na njaa...wakijiendesha kimaskini kama Halmashauri mtawasema sana na imani yenu kwao itashukaa
 
Mdg angu mm anafanya Kaz kati moja ya halmashauri ulizotaja hapo kjin Yuko vzr mno mkoko ,nyumba nxuri anayo kwa kifupi anapambna mno
Nadhani lengo la mada yangu hamjaelewa.
Sisemi kuhusu "side hustle" maana wapo wasio na ajira na Wana maisha mazuri sanaaa zaidi ya mdogo wako.

Nachosemea "Kwanini Local government Wana maslahi Duni kuliko Taasisi?""

The point is "What gained at the job" hayo ya side hustle kila mtu ana mishe zake.

Na kwanini Taasisi Wana mishe zao Ila pia kazini wanapata pakubwa?

#YNWA
 
Sasa bro wapi ulale inategemea na wewe na pesa Yako,rate ya posho Kwa Serikali ni Moja uwe Halmashauri au Taasisi Kwa sababu ndani ya Jiji utalipwa 150,000-220,000 kutegemea na cheo au ngazi ya salary.

Mwisho kila mtu ana maisha yake hapa Duniani sio sawa kujilinganisha na wengine
Nadhani lengo la mada yangu hamjaelewa.
Sisemi kuhusu "side hustle" maana wapo wasio na ajira na Wana maisha mazuri sanaaa zaidi ya wenye ajira.

Nachosemea "Kwanini Local government Wana maslahi Duni kuliko Taasisi?""

The point is "What gained from the job" hayo ya side hustle kila mtu ana mishe zake.

Na kwanini Taasisi Wana mishe zao Ila pia kazini wanapata pakubwa?

#YNWA
 
Pole mkuu,miye sihami huku Tanganyika,nishaweka mifumo na mambo yanaenda pouwaaa

Upo idara Gani mkuu tukutengenezee koneksheni
Nadhani lengo la mada yangu hamjaelewa.
Sisemi kuhusu "side hustle" maana wapo wasio na ajira na Wana maisha mazuri sanaaa zaidi yako.

Nachosemea "Kwanini Local government Wana maslahi Duni kuliko Taasisi?""

The point is "What gained at the job" hayo ya side hustle kila mtu ana mishe zake.

Na kwanini Taasisi Wana mishe zao Ila pia kazini wanapata pakubwa?

#YNWA
 
Ndugu yangu mwenyekiti wa wakataa ndoa jitahidi sana uje uione pepo (mbingu) maana inasemekana huko pekee ndo kuna usawa. Kwa hapa duniani hakutakaa kuwe sawa.
Basi ngoja na sisi tuzifate hizo ZA JUU.
Kila mtu anatamani vilivyonona.

#YNWA
 
Back
Top Bottom