Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Kila mtu angekuwa kama wewe hana ndoa usingezaliwa

Wewe ulizaliwaje kama hakukuwa na mahusiano ya kindoa ya waliokuzaa

Watu mashoga na Masagaji huwa hayajiewi kabisa
Punguza personal attacks, ""lenga mada"".

Watoto hawana uhusiano wowote na ndoa.

#YNWA
 
INTRODUCTION:
Kwanza kabisa Mimi Mr. Liverpool ni mtumishi wa umma ndani ya Halmashauri kwa muda wa miaka 11. Miaka 5 nimekuwa Shule na 6 ndio kazini.
Niko kwenye Halmashauri iliyo chaka sanaaa.

SCENARIO
Tokea nifike Nanenane 01/08 Mbeya nimekuwa nikitembelea mabanda ya ofisi nyengine kujifunza.

Nilichojifunza kufanya Kazi Halmashauri iwe Manispaa, Wilaya, Mji mdogo au ""What so ever"" ni kupoteza muda tuu.

Kuna utofauti mkubwa sanaa kati ya Taasisi na Halmashauri.
Japo wote tupo serikali moja ila Taasisi ni watoto pendwa wa serikali.

Nimetembelea mabanda ya Taasisi kama
1. BOT
2. EWURA
3. TRA
4. Zile za kilimo kama PASSS na TANTRADE
5. BRELA
6. N.k

Lakini pia nimetembelea mabanda ya Halmashauri kama
1. Mlele
2. Tanganyika
3. Mbalari
4. Ileje
5. Songwe
6. Mafinga
7. Momba
8. Kalambo
9. Nsimbo
10. Kilolo
11. N.k

Ila nimeona utofauti mkubwa sanaa.....

THE PROBLEM
1. Sehemu za kulalia (Hotel na Lodge)

Kuanzia njia ya Uyole mpaka Kabwe Hadi Mbalizi kuna hoteli nyingi tu, ila kwa posho za Halmashauri huwezi lala hizo Hotel, mule hotelini kumejaa gari za ST... na SU tu. Hakuna SM kabisaaa.
Kuna mshikaji wangu yupo PASS kalala kwenye hoteli ya Laki per night huku Mimi nimelala lodge ya 20,000 per night (kila mtu kala kulingana na urefu wa per diem yake).

2. Muonekano wa mabanda
Hebu tembelea banda la H/W Mlele, Nsimbo, Sumbawanga au Mafinga halafu nenda BRELA, TRA au BOT ndio Utanielewa.

3. Hali wa watumishi
Ukitembelea mabanda ya Taasisi utakuta raia wako charming sanaa, nyuso za furaha na kukukaribisha vizurii.

Ila Halmashauri sasa, Mungu atusaidie, maana raia wamepoteza hope kabisa.

Kwanza wengine posho wamekopwa na wakurugenzi wao..!!!

4. Magari
Hebu angalia ndinga za SU na SM.
Hebu cheki tu external appearance UTANIELEWA.
Hebu chukua V8 ya BOT au Wizara ya Fedha halafu pembeni weka V8 ya Njombe au Kalambo, Utanielewa tu.

CONCLUSION
Halmashauri hakuna maisha na hasa hizi DC ndio Umasikini fullll.

Kijana mtafuta ajira, ukipata ajira SM aisee cha kwanza fikiria kuhama na pambana kuhama.

Kijana mtafuta ajira, njoo SM chukua "cheki namba" halafu sepaa kale maisha Taasisi.

Note:- Kuhama SM sio rahisi ila Inawezekana.

Mimi ni mmoja wapo lazima nihame huku SM, siioni kesho yangu nikiwa hii DC iliyo kijijini hivi.

Yaani Mimi ya Masters yangu siwezi staafia huku kijijini halafu Kuna raia wapo DSM, Mwanza, Mbeya, kifupi wapo mjini wanakula maisha ya Taasisi.

Aisee siwezi kukubali, KUHAMA KWENDA TAASISI NI LAZIMA.
Iwe hata kwa hela ila NITAHAMA TU..!!

NOTE
Mbele ya macho ya serikali ya CCM sisi watumishi ""We are all equal, but some people are more equal""

YNWA
Hakika 👍 mnapauka kama dagaa
 
Punguza personal attacks, ""lenga mada"".

Watoto hawana uhusiano wowote na ndoa.

#YNWA
matunzo ya kulea watoto watadaiwa wote kisheia kuwa lazima wagharimie wanakuwa assumed kuwa wanandoa ndio.maana walizaa

Na wakifa watoto mirathi wanarithi kote .kwa baba yao na mama yao bila kujali hao wazazi wanaishi pamoja au la.Wao wanatambua ni ndoa hiyo na wao ni zao la ndoa kati ya Baba yao na mama yao Kama wao hawaishi pamoja hiyo watajijua wenyewe Wakifa watoto wanataka chso pande zote.Na mahakama huwa zinawapa hiyo haki
 
Basi ngoja na sisi tuzifate hizo ZA JUU.
Kila mtu anatamani vilivyonona.

#YNWA
Mwenyekiti hilo ndo la muhimu. Aliyeko juu mfuate sio kusubiri huruma ya serikali utapoteza muda. Miaka ile mwalimu alikuwa akilipwa mshahara laki na 40, wanafunzi wa field pale MOF walikuwa wanakunja hadi 600k wanasema za lunch. Ukiwa mwanafunzi wa IT unaweza kukunja zaidi ya hiyo kwasababu kila idara ilikuwa na kiwango chake cha Lunch kwahiyo IT anaweza kujikuta kapokea mkwanja idara zote. Hii dunia haina haki.
 
Kozi aliyosoma ni ya hovyo haina kitu haina maokoto zaidi ya salary
🤣🤣🤣Mwambie huyo,ardhi Kuna maokoto kama yote

Mmekutana wenyewe watoto wa Ardhi university.
Ila hii Dunia ni ya ajabu sanaa Kuna mshkaji wangu nikisoma nae PCB ila mi nilikimbia medicina, jamaa anakwambia, "course Bora ya kusoma ni medicine"

Ila pia huku Halmashauri Kuna maafisa Ardhi wapo ila naona wamepauka tuuu.
Na Kuna madokta huku kila siku wanatafuta uhamisho.

Dunia vururu vururuuu

#YNWA
 
Mmekutana wenyewe watoto wa Ardhi university.
Ila hii Dunia ni ya ajabu sanaa Kuna mshkaji wangu nikisoma nae PCB ila mi nilikimbia medicina, jamaa anakwambia, "course Bora ya kusoma ni medicine"

Ila pia huku Halmashauri Kuna maafisa Ardhi wapo ila naona wamepauka tuuu.
Na Kuna madokta huku kila siku wanatafuta uhamisho.

Dunia vururu vururuuu

#YNWA
- Mimi ni CPA (T) Sijasoma ardhi kabisa
-Wamepauka lakini wenzio Wana Mali nyingi, na madili mengi
 
Mmekutana wenyewe watoto wa Ardhi university.
Ila hii Dunia ni ya ajabu sanaa Kuna mshkaji wangu nikisoma nae PCB ila mi nilikimbia medicina, jamaa anakwambia, "course Bora ya kusoma ni medicine"

Ila pia huku Halmashauri Kuna maafisa Ardhi wapo ila naona wamepauka tuuu.
Na Kuna madokta huku kila siku wanatafuta uhamisho.

Dunia vururu vururuuu

#YNWA
Ni kweli ileje afsa ardh na afisa ardh dodoma jiji ,wa ileje atasubiri sanaa
 
Naunga mkono hoja. Ipo tofauti kubwa ya daktari wa tamisemi na Benjamin Mkapa hospital.
Hivi mnajua hamjiamini[emoji23][emoji23][emoji23]. Benjamin Mkapa ni jina kubwa tu ila amekuzidi gross salary kwa 500k tu ila kadri mshahara unavyokuwa mkubwa na kodi inakuwa kubwa. Take home yake inaishia kuwa 1.4M mpaka 1.5M na kusomeshwa wote mnaweza someshwa sema wa BMH atawahi. Kuhusu call allowances, inategemea mapato ya hospitali na ukizingatia maspecialist ni priority wewe utasubiri kwanza. Hebu tuache kuangalia majina makubwa yakakitisha[emoji23][emoji23][emoji23]. Umesikia MOI imeingia hasara ya kiasi gani kwenye ripoti ya CAG, ndiyo ujue watu wanavyopiga madili outside the legal system. Mshahara haujawahi tosha kamwe, maana mshahara ukipanda na kodi inapaa. Kuna mtu makato ya kodi kwenye salary inaenda na 750k nzima[emoji23][emoji23][emoji23]. Hapo atakachobaki kuenjoy ni allowances na perdiem. Sio mshahara!
 
Dah hao ndio wasomi wetu wanawaza ubinafsi hawawaz jinsi gani kupambana kubadili uchumi wa nch
Abadili uchumi wa nchi peke yake huku mliowachagua kuwa maboss wanajipakulia tu manyama[emoji23][emoji23][emoji23]. Yaani mtu asifikilie kujiongezea kipato chake binafsi afikirie taifa zima[emoji23][emoji23], yaani wazee mnapenda sana kutubebesha majukumu makubwa wakati nyie yaliwashinda na mkatengeneza ubinafi ndani ya taifa.
 
- Mimi ni CPA (T) Sijasoma ardhi kabisa
-Wamepauka lakini wenzio Wana Mali nyingi, na madili mengi
Hivi dhumuni la mada yangu mmelielewa?

Wengi mnazungumzia "side hustle" ila Mimi nazungumzia "maokoto ya kazini"

Hayo ya side hustles kila mtu na tobo lake, hebu tuongee kile kinachoingia NMB kutoka serikalini.

#YNWA
 
Back
Top Bottom