Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Mkuu with due respect
Leo unenibadlisha sana fikra zangu,
nilitegemea kwa ufisadi anaohusishwa nao Ruto wakenya wangempiga chini mapema ,
Hustlers wanaweza kuwa ndio chaguo sahibi kwa maendeleo
 
Una hoja, ila huku haiwezekani, watu wanachukia walionacho, nimeshafanya uchunguzi mitandaoni, zaidi ya 70% ya watanzania hawapendi mwenzao aishi vizuri
Mindset za aina hii zinaendeshwa na sera za kijamaa
 
Msomi asiye na kitu ni hatari sana kwenye siasa za kijamaa,
Ndo anajifunza wizi na unafiki kwa level ya juu kabisa
 
Maskini huwa tuna roho za visasi sn
 
Wewe jamaa ni mtu wa ajabu sana hata haukumbuki ulichoandika mwanzo.
 
Sasa chini ya mfumo wa Mao huyo Den Xiaoping angepata wapi utajiri?

Mabadiliko aliyoyaweza kuyafanya ni kutokana na kupata nafasi ya kusoma kwa matajiri ndo akapata akili za kitajiri na kuifanya China kufanya mabadiliko na kuwa matajiri
Wewe jamaa ni mtu wa ajabu sana hata haukumbuki ulichoandika mwanzo.
 
Sasa chini ya mfumo wa Mao huyo Den Xiaoping angepata wapi utajiri?

Mabadiliko aliyoyaweza kuyafanya ni kutokana na kupata nafasi ya kusoma kwa matajiri ndo akapata akili za kitajiri na kuifanya China kufanya mabadiliko na kuwa matajiri
Hivi unafahamu hata China uongozi watu wanapataka kwa kutumia vigezo gani?
 
Sasa chini ya mfumo wa Mao huyo Den Xiaoping angepata wapi utajiri?

Mabadiliko aliyoyaweza kuyafanya ni kutokana na kupata nafasi ya kusoma kwa matajiri ndo akapata akili za kitajiri na kuifanya China kufanya mabadiliko na kuwa matajiri
Hivi unafahamu hata sababu ya Deng Xiaoping kuvutiwa na CPC tokea huko Ufaransa alipokuwepo na kuja kujiunga nao 1922 akiwa na miaka 18 tu, Kwa nini ajiunge nao CPC [ Chama cha kikomunisti cha China cha watu wa hali ya chini ] na sio Kuomitang [ cha cha kibepari cha matajiri]?
 
Msomi asiye na kitu ni hatari sana kwenye siasa za kijamaa,
Ndo anajifunza wizi na unafiki kwa level ya juu kabisa
Tunaandika KATIBA mpya Ili msomi asiye na kitu apewe uongozi kama ana sifa.

Mifumo imdhibiti asiibe, Aishi Kwa JASHO lake.

Ameeeen.
 
Mnyonge atakufikisha wapi wewe?

Ukianza kumuelezea namna ya kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara atakuona muhujumu uchumi tu maana anakuwa hajawai hata kufanya biashara au kuwekeza mtaji sehemu na kutengeneza faida

Kuna shida katika understanding yako. Hakunaga greed ya kuunufaisha umma. Kuna greed ya “kujinufaisha wewe na familia yako”!

Trump (Rais billionaire wa kwanza wa Marekani) ameunufaishaje umma wa Marekani, kwa mfano?
 
Kuna shida katika understanding yako. Hakunaga greed ya kuunufaisha umma. Kuna greed ya “kujinufaisha wewe na familia yako”!

Trump (Rais billionaire wa kwanza wa Marekani) ameunufaishaje umma wa Marekani, kwa mfano?

Trump organization imeajiri watu 22,450. Ajira hizo ni changamoto kwenye uchumi wa Marekani

 
Iliajiri kwasababu Trump (billionaire) alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani?

Wamarekani hawatajirikii madarakani tofauti na wa kwetu. Miye nilikujibu tuu swali lako Trump amenufaishaje umma wa Marekani. Alipokuwa Rais aliweka sera za kuinua uchumi vizuri sana ambao umma ulinufaika nao.
 
Wamarekani hawatajirikii madarakani tofauti na wa kwetu. Miye nilikujibu tuu swali lako Trump amenufaishaje umma wa Marekani. Alipokuwa Rais aliweka sera za kuinua uchumi vizuri sana ambao umma ulinufaika nao.

Walionufaika na urais wa Trump ni yeye mwenyewe na washirika wake, through self-dealings and trickle-down economic policies. Hata juhudi zake za kutaka kupindua matokeo ya 2020 presidential election ili aendelee kubaki zilikuwa zinasukumwa na maslahi binafsi hayo hayo.
 
Party leader, umenikumbusha EICITIII Wazalendo cha jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…