Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Nilichojifunza Uchaguzi wa Kenya: Tuwape nafasi Matajiri na Watafutaji

Mtumishi hawezi kufanya savings from sources zake za income? hawezi kukopa bank na kuanzisha biashara?

Hivi tunazungumzia billionaire au mtu wa namna gani? Eti savings from sources za income! Zipi hizo, zaidi ya employment income? Mshahara wa juu kabisa wa mtumishi wa umma ni kiasi gani? Propensity to save inaweza kufikia asilimia ngapi?

Kwa taarifa yako, hakuna bank inayoweza kukupa mkopo unaozidi uwezo wako wa kulipa deni. Labda ufanye udanganyifu!
 
Kwa iyo alitafutajwe?

Unajua modality yq uwekezaji kwenye Gesi ikoje? Unadhani wale wawekezaji walikujaje?
Ndio maana nakuambia wewe ni mpumbavu mkubwa.

Unataka tuongee kama watoto hapa? Alafu mm ni pro government kuanzia utawala wa mkapa, jk, Magufuli na sasa samia. Usitake nianze kusema nn kilitokea kwa waziri wa mambo ya ndani, katibu, na huyo mwekezaji.
Au nikuulize DP world kapatikanaje kuchukua nafasi ya ticts pale bandarini?
 
Ndio maana nakuambia wewe ni mpumbavu mkubwa.

Unataka tuongee kama watoto hapa? Alafu mm ni pro government kuanzia utawala wa mkapa, jk, Magufuli na sasa samia. Usitake nianze kusema nn kilitokea kwa waziri wa mambo ya ndani, katibu, na huyo mwekezaji.
Au nikuulize DP world kapatikanaje kuchukua nafasi ya ticts pale bandarini?
Acha maneno jibu swali
 
Yani Umeandika kiupumbafu sana. Umeichukua marekani ukaipeleka kenya na kuona mazingira yao wote Sawa. Ni UJINGA MKUBWA. Kenya ukabila kwanza. Mengine ardhi kwa wachache. Uwe unatembea kidogo kuweza kuappriciate ulichonacho.
Nimetembea na kukaa nchi 16 duniani. Hakuna aliyesema kuhusu mazingira thread inazungumzia uwezo wa kiuchumi wa watu wanaopewa nafasi za kuongoza
 
Uku ata usijue kusoma na kuandika wanachotaka diwan awe wa ccm tu.
 
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Kwa hiyo saizi hamutaki wanyonge si ndio?

Tanzania Kuna viongozi,Kenya kuna Watawala.
 
Katiba mpya na tume huru ndio jambo la msingi zaidi
 
Upo sahihi,siyo unanipa mi kiokote then naanza kuwachukia wenye mafanikio nihakikishe wanaishi kama mashetan.....aisee....ajabu sana🤦
 
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia

Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!

Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.

Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.

Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.

Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.

Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.

Igakunya kwa tembo uchane tak*** ufe
 
Kwa hiyo saizi hamutaki wanyonge si ndio?

Tanzania Kuna viongozi,Kenya kuna Watawala.
Mnyonge atakufikisha wapi wewe?

Ukianza kumuelezea namna ya kuboresha mazingira ya uwekezaji na biashara atakuona muhujumu uchumi tu maana anakuwa hajawai hata kufanya biashara au kuwekeza mtaji sehemu na kutengeneza faida
 
Igakunya kwa tembo uchane tak*** ufe
Mazuri yanaigwa! kuanzia sasa tunaanzisha kampeni masikini tafuteni kwanza pesa tujue mnawezaje kutumia vipawa vyenu katika kujitafutia pesa na kutengeneza maendeleo yenu ikiwemo kuanzisha strong business zinazolipa kodi na kwenda vizuri

Tunaanza kuchunguza hadi kama mna nyumba nzuri na za kisasa maana ndo mana kila leo nchi yetu inazidi kujaa squatters na ujenzi holela wa hovyo maana tunawapa uongozi watu ambao hawana hata nyumba nzuri na bora zilizojengwa maeneo mazuri yaliyopimwa hivyo hawaoni hata umuhimu wa ujenzi wa mpangilio na wa kisasa

It's simple and clear mtu asiye na maendeleo binafsi hawezi kukuletea wewe maendeleo
 
Mazuri yanaigwa! kuanzia sasa tunaanzisha kampeni masikini tafuteni kwanza pesa tujue mnawezaje kutumia vipawa vyenu katika kujitafutia pesa na kutengeneza maendeleo yenu ikiwemo kuanzisha strong business zinazolipa kodi na kwenda vizuri

Tunaanza kuchunguza hadi kama mna nyumba nzuri na za kisasa maana ndo mana kila leo nchi yetu inazidi kujaa squatters na ujenzi holela wa hovyo maana tunawapa uongozi watu ambao hawana hata nyumba nzuri na bora zilizojengwa maeneo mazuri yaliyopimwa hivyo hawaoni hata umuhimu wa ujenzi wa mpangilio na wa kisasa

It's simple and clear mtu asiye na maendeleo binafsi hawezi kukuletea wewe maendeleo
Wewe ndio maana tunakuita mpumbavu. Hebu taja kiongozi ambaye ni maskini hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom