mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
PointTupe namna mtumishi wa umma anavyoweza kutajirika kihalali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PointTupe namna mtumishi wa umma anavyoweza kutajirika kihalali.
Mtumishi hawezi kufanya savings from sources zake za income? hawezi kukopa bank na kuanzisha biashara?Tupe namna mtumishi wa umma anavyoweza kutajirika kihalali.
Wewe ni mpumbavu wa mwisho kabisa. Walioingia mkataba na polisi walikua ni Mara world group, Mara world group inamilikiwa na rostam?Naamua kukudharau
kwa taarifa yako Caspian waliingia mkataba na Jeshi la Polisi kuhusiana na kiwanja chao cha Oysterbay Polisi. Kwenye mkataba wao moja ya makubaliano yao ilikuwa kampuni ya Caspian kuwajengea polisi kituo kikubwa pale Oysterbay na kujenga nyumba Kunduchi na Mikocheni
Kama hujui chutama
Chini ya wanyonge wa CCM ni ngumuHili tunatakiwa tuliondoe haraka sana
Kwa iyo waingie mara na kujenga ajenge Caspian RostamWewe ni mpumbavu wa mwisho kabisa. Walioingia mkataba na polisi walikua ni Mara world group, Mara world group inamilikiwa na rostam?
Ndio maana nikakuita mpumbavu wa mwisho. Na hata hao Caspian huwajui vizuri wanafanya nini na nini. Caspian ni Civil and mining contractor, kwenye upande wa civil ndio Kuna hiyo miradi ya ujenzi mingi tu wamefanya na sio huo wa kituo Cha oysterbay tuKwa iyo waingie mara na kujenga ajenge Caspian Rostam
kwani Caspian ni kampuni yq ujenzi?
Hujui unaloliongea Mradi wa Oysterbay Polisi muhusika ni Rostam Aziz aliyeingia ubia kuchukua vile viwanja na kuwajengea hayo majengo.Ndio maana nikakuita mpumbavu wa mwisho. Na hata hao Caspian huwajui vizuri wanafanya nini na nini. Caspian ni Civil and mining contractor, kwenye upande wa civil ndio Kuna hiyo miradi ya ujenzi mingi tu wamefanya na sio huo wa kituo Cha oysterbay tu
Caspian amefanya projects nyingi za ujenzi mojawapo ni hiyo ya kituo cha oysterbay kupitia hao Mara world
Caspian pia ndio waliojenga mradi wa umeme kinyerezi kupitia mteja wao Toshiba plant systems
Kama umewasifia kituo Cha oysterbay wasifie na miradi yote ya ujenzi waliojenga ikiwemo huo mradi wa kinyerezi
Wewe ni mpumbavu na zaidi ya mpumbavu. Mradi wa oysterbay ulikuwa Kati ya polisi na Mara group.Hujui unaloliongea Mradi wa Oysterbay Polisi muhusika ni Rostam Aziz aliyeingia ubia kuchukua vile viwanja na kuwajengea hayo majengo.
Hutaki acha
Mpumbavu ni wewe unayekimbilia kuita watu wapumbavu huku ukitegemea kupewa facts na hao unaowaita wapumbavuWewe ni mpumbavu na zaidi ya mpumbavu. Mradi wa oysterbay ulikuwa Kati ya polisi na Mara group.
Hujui chochote alafu ni mwepesi wa kukimbikia kupost humu. Unaona wote humu ni wapumbavu kama wewe?
Lini Tanzania iliteua mtu maskini??? siasa zenyewe zinakataa watu maskini??Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia
Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!
Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.
Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.
Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.
Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.
Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Wewe ni mpumbavu mkubwa sana, lofa kabisa.Mpumbavu ni wewe unayekimbilia kuita watu wapumbavu huku ukitegemea kupewa facts na hao unaowaita wapumbavu
Ulidai mradi wa kituo cha Oysterbay ni mradi wa Serikali umekapewa facts kuwa sio mradi wa Serikali ila mradi wa mwekezaji tena Rostam Aziz aliyeingia ubia kwa makubaliano kuwa atawajengea kituo cha polisi na nyumba sasa umehamisha magoli husemi tena mradi ni wa serikali unang'ang'ania ni Mara group! kama ulikuwa unajua Mradi wa Mara Group kwa nini ulisema wa Serikali?
Hao Mara group unajua wanamilikiwa na nani?
Wewe unasumbuliwa na mtindio wa ubongo tu unanipotezea muda wangu
Huyo jamaa ni mpumbavu wa mwili na akili. Toka lini maskini aliwahi kuwa raisi hapa TanzaniaLini Tanzania iliteua mtu maskini??? siasa zenyewe zinakataa watu maskini??
kulikuwa na Tender ya polisi kutaka mwekezaji kwenye viwanja vya Oysterbay? au kuna mwekezaji tu alidevelop interest ya kwenda kuwekeza pale?Wewe ni mpumbavu mkubwa sana, lofa kabisa.
Mradi ni wa serikali(polisi), polisi hawakua na uwezo wa kuendeleza hilo eneo ndio akatafutwa mwekezaji ambae ni Mara World, wanakubaliana na kusaini mikataba. Baada ya hapo ndio akatafutwa contractor ambeni ni Caspian
Nakupa mfano mpumbavu wewe, mradi wa ujenzi wa Bandari Bagamoyo ni wa serikali, Ila serikali haina pesa, ndio akatafutwa mwekezaji mchina na oman. Kila kitu kikiwa sawa watatafutwa contractors kwa ajili ya kujenga huo mradi.
Nakupa mfano mwingine mpumbavu mkubwa wewe; mradi ni gesi ya mtwara ni wa serikali, Ila serikali haina pesa, ndio wakatafutwa wawekezaji kwa ajili ya kuwekeza. Baada ya hapo wakatafutwa contractors wa kujenga huo mradi.
Nakuongezea mfano wa mwisho mpumbavu mkubwa kabisa wewe usiye na akili; mradi wa ujenzi wa uwanja wa mpira Dodoma ni wa serikali, Ila serikali haina pesa ndio wakaombwa mfalme wa Morocco, baada ya hapo contractor atayejenga uwanja atatafutwa
Wewe mpumbavu mkubwa sana, si kila mwekezaji anatafutwa kwa tender.kulikuwa na Tender ya polisi kutaka mwekezaji kwenye viwanja vya Oysterbay? au kuna mwekezaji tu alidevelop interest ya kwenda kuwekeza pale?
Kulikuwa na masharti ya Tender kuwa mwekezaji awajengee kituo na nyumba za mikocheni na Kunduchi
Nisaidie wewe usie mpumbavu?
Kwa iyo alitafutajwe?Wewe mpumbavu mkubwa sana, si kila mwekezaji anatafutwa kwa tender.
Tumepata mwekezaji kwenye gas na juzi hapa tumesaini nao mkataba wa tril 70, uliona hiyo tender?
Tulipopata mwekeza mchina na oman kwa ajili ya Bagamoyo port uliona hiyo tender?
Juzi hapa tumepata mwekezaji kwenye makaa ya mawe, uliona hiyo tender?
Ushahidi,au umeshindwa maisha unaanza kuwaita wenzio wezi?Kuna tofauti kati ya kupambana ku-build wealth na kuiba, Matajiri wa Tanzania ni wezi, tajiri aliyepambana alikuwa Mengi tu, wengine wote wezi!
Siasa za Kenya sizitofautishi sana na siasa za Marekani! Wao wanaamini sana katika kumpa nafasi mtu anayeonesha ana uwezo wa kutafuta pesa na kupambana kupata pesa! Ndo mana inawezekana hata kiuchumi wako vizuri kuzidi sisi ingawa na sie tunajikongoja kuwafikia
Wakenya sio waumini sana wa ngonjera za sijui nichagueni mimi sio mwizi, mimi sio fisadi kwa sababu wanajua watu wanaopenda kujivika hizo sifa sio watu wenye akili za kimaendeleo na hawawezi kuhimiza vizuri maendeleo yao!
Kutoka kwa Jomo Kenyata mpaka kwa Daniel Arap Moi, kuja kwa Kibaki mpaka kwa Uhuru Kenyata na sasa naona Hustler William Ruto anaenda kubeba ndoo.
Wote ni watu wenye ukwasi ambao wako proud na ukwasi wao na wanatumia ukwasi wao kama njia ya ku motivate watu wengine kuwa na ukwasi.
Tanzania tujifunze hili kutoka Kenya mambo ya mtu kujisifia umaskini na kujiona ndo ticket k ya kuwa kiongozi tuachane nayo.
Kuanzia saivi tuanze kuangalia maisha ya mtu kama anajiweza kiuchumi vizuri, ana mali anazoziendesha vizuri, ana nyumba nzuri na ya kisasa na ana biashara nzuri ambayo ana imanage vizuri kama kigezo cha kumpa mtu uongozi.
Suala la kuteua sijui mtu hohehae asiye na mbele wala nyuma huku tukitegemea apandishe uchumi wetu liwe mwisho kuanzia leo.
Hoja yako ina mashiko, tatizo ni wapiga kura (wananchi) wetu walivyo. Kwao tajiri ni mwizi na adui...
Msomi asiye na kitu akichaguliwa atakusaidia nini?
Mtu ambaye hana akili na utafutaji na maendeleo atakusaidia nini wewe? Ndo mana kila siku mnahangaika kutotendewa haki na tra na brela maana mtu anakuwa waziri wa fedha na hata hajawai kufanya biashara au hana hata biashara inayolipa kodi ili ajue kwa namna gani anatakiwa kuboresha mazingira ya wafanyabiashara