Nilichokigundua kuhusu watanzania, mara baada ya kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba

Nilichokigundua kuhusu watanzania, mara baada ya kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba

Ni kwamba hawa watu wa mtaani kwetu wananiiga au na wao uchumi umewapiga kama Mimi.

Ni hivi niliwahi kuandika Uzi hapa nikisema nimeamua kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba baada ya uchumi wangu kuzorota. Then nikaja nikaanzisha Uzi kuhusu FAIDA binafsi nilizo zipata baada ya kuwahimishia watoto wangu Kayumba.

Leo nimeenda shuleni kulikuwa na kikao cha wazazi. I was surprised KUKUTANA na watu zaidi ya kumi ambao na wao watoto wao walikuwa wanasoma English Medium na sasa wamewahamishia Kayumba.. Nilishindwa kupata jibu je ni kwamba hawa jamaa wana niiga Mimi au na wao uchumi umewapiga kama Mimi?

Kati yao kumi ni mmoja ndio Nina uhakika kwa asilimia mia kwamba amewahamishia watoto wake Kayumba kwa sababu ya kunigeza Mimi au at least kuwa inspired na Mimi.

Niliambiwa na mtu kwamba huyu jamaa aliwahi kusikika bar akiwaambia watu anawarudisha watoto wake Kayumba kwa sababu uchumi umekuwa mgumu. Akasema " Kama ( jina langu) nimewarudisha watoto wangu Kayumba yeye ni nani asiwarudishe?

Ni hivi hapo mtaani kwetu ( uswahilini) Mimi ninachukuliwa kama kijana mwenye uwezo kifedha.

Ila ukweli ninaujua Mimi mwenyewe ninapitia kipindi kigumu kiuchumi.. Ndio maana niliamua kuwarudisha watoto wangu shule ya Kayumba.

Mimi kuwarudisha watoto wangu Kayumba ilikuwa ni habari iliyo enea mtaa mzima..

Najua baadhi ya watu watakuwa wamefurahi kwa sababu kwao hilo linamaanisha anguko langu..

Hata hivyo leo nimekuja kugundua kwamba, Kumbe ni watu wengi tu hapo mtaani ambao walikuwa wanasomesha watoto wao English Medium walikuwa wanaumia kimya kimya ila walikuwa hawajui cha kufanya kwa sababu walikuwa wana ogopa macho na maneno ya watu ndio maana wengi wao walikuwa wanaishi kwa stress ilimradi ionekane watoto wao wanasoma English Mediums.

Nilipo watoa watoto wangu English Medium.na kuwaleta Kayumba, wazazi wengi wamefuata njia, now wanawatoa watoto wao English Mediums na kuwaleta Kayumba..

Nilicho kigundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba wengi wanafanya mambo kwa ajili ya kujionyesha kwa watu. Kwa ajili ya approval and validation from other people.

Kwako ewe Mtanzania. Fanya kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako. Ishi maisha yako halisi usiishi kuwa impress watu.
Mkuu umeongea jambo la msingi sana. Watanzania wengi wanapenda sifa za kijinga bila kujali zinawagharimu kiasi gani.
 
Ni kwamba hawa watu wa mtaani kwetu wananiiga au na wao uchumi umewapiga kama Mimi.

Ni hivi niliwahi kuandika Uzi hapa nikisema nimeamua kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba baada ya uchumi wangu kuzorota. Then nikaja nikaanzisha Uzi kuhusu FAIDA binafsi nilizo zipata baada ya kuwahimishia watoto wangu Kayumba.

Leo nimeenda shuleni kulikuwa na kikao cha wazazi. I was surprised KUKUTANA na watu zaidi ya kumi ambao na wao watoto wao walikuwa wanasoma English Medium na sasa wamewahamishia Kayumba.. Nilishindwa kupata jibu je ni kwamba hawa jamaa wana niiga Mimi au na wao uchumi umewapiga kama Mimi?

Kati yao kumi ni mmoja ndio Nina uhakika kwa asilimia mia kwamba amewahamishia watoto wake Kayumba kwa sababu ya kunigeza Mimi au at least kuwa inspired na Mimi.

Niliambiwa na mtu kwamba huyu jamaa aliwahi kusikika bar akiwaambia watu anawarudisha watoto wake Kayumba kwa sababu uchumi umekuwa mgumu. Akasema " Kama ( jina langu) nimewarudisha watoto wangu Kayumba yeye ni nani asiwarudishe?

Ni hivi hapo mtaani kwetu ( uswahilini) Mimi ninachukuliwa kama kijana mwenye uwezo kifedha.

Ila ukweli ninaujua Mimi mwenyewe ninapitia kipindi kigumu kiuchumi.. Ndio maana niliamua kuwarudisha watoto wangu shule ya Kayumba.

Mimi kuwarudisha watoto wangu Kayumba ilikuwa ni habari iliyo enea mtaa mzima..

Najua baadhi ya watu watakuwa wamefurahi kwa sababu kwao hilo linamaanisha anguko langu..

Hata hivyo leo nimekuja kugundua kwamba, Kumbe ni watu wengi tu hapo mtaani ambao walikuwa wanasomesha watoto wao English Medium walikuwa wanaumia kimya kimya ila walikuwa hawajui cha kufanya kwa sababu walikuwa wana ogopa macho na maneno ya watu ndio maana wengi wao walikuwa wanaishi kwa stress ilimradi ionekane watoto wao wanasoma English Mediums.

Nilipo watoa watoto wangu English Medium.na kuwaleta Kayumba, wazazi wengi wamefuata njia, now wanawatoa watoto wao English Mediums na kuwaleta Kayumba..

Nilicho kigundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba wengi wanafanya mambo kwa ajili ya kujionyesha kwa watu. Kwa ajili ya approval and validation from other people.

Kwako ewe Mtanzania. Fanya kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako. Ishi maisha yako halisi usiishi kuwa impress watu.
Katika maisha fanya kitu kitakacho kupa amani.

Kipind naanza fm one mzee alitaka nisome shule ya 1.8m lkn kiuhalisia sikuwa nyumbn pekee.... Tulkuwa watatu.. japo rafk ake akamshawish tuende na mwanae hio shule maza akaingilia Kati akasema no... Tutafute shule nafuu ambayo na wengn tutawalipia.

Ko uko vizur km kitu kinakusumbua kitoe wazaz wengi wanaiga kushndan kweny shule lkn wanaumia kinoma
 
Katika maisha fanya kitu kitakacho kupa amani.

Kipind naanza fm one mzee alitaka nisome shule ya 1.8m lkn kiuhalisia sikuwa nyumbn pekee.... Tulkuwa watatu.. japo rafk ake akamshawish tuende na mwanae hio shule maza akaingilia Kati akasema no... Tutafute shule nafuu ambayo na wengn tutawalipia.

Ko uko vizur km kitu kinakusumbua kitoe wazaz wengi wanaiga kushndan kweny shule lkn wanaumia kinoma
Safi sana so mwisho wa siku ilikuwaje?
 
Kusoma kwenyewe siku hizi kunaonekana upuuzi. Jamii haiwaheshimu tena wasomi. Wanafunzi wanao fanya vidii darasani hawawi rewarded tena.

Ona post kama hii kutoka kwa msomi
 

Attachments

  • Screenshot_20230929-165107.png
    Screenshot_20230929-165107.png
    107.5 KB · Views: 9
Mungu anisaidie na azidi kunipa afya njema na nguvu ili niweze kuwapeleka watoto wangu katika shule zilizo bora na wapate alimu yenye ubora na maarifa.....
Amen...[emoji120]


Natoa sadaka ya shukrani kuisindikiza Dua yako hii.


Ameen [emoji2969][emoji2969][emoji2969]
 
Baba bora niyule anae wajibika kwa mtoto/watoto wake, hii haijalishi kwamba mtoto anampenda mama zaidi ya baba.
Watoto wako ni matokeo ya starehe zako, na mwisho wa siku hakuna mtoto alie kuomba umzae.
By the way..........
Baba kama wewe ndio wababa wajinga na wapumbavu wenye fikra za kusomesha watoto wao ili wakifanikiwa waje wawe msaada kwao.
Wewe kama baba unapaswa kujiandalia maisha yako ya uzeeni ili uzeeke vizuri.


Kuna Biryani ya kuku wa kienyeji na sharubati baridi ya tende, Tafadhali pitia yako hapa.

[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Shule za English medeum nyingi zafaa kuitwa Kayumba english medium. Zaidi ya kingereza chenye rafudhi ya lugha zetu hakuna cha zaidi.
Tabia na mwenendo ni ule ule wa kayumba.
English medium hawana laptop, comp lab, tablet, projector,smart board,white board, viwanja vya michezo, art and craft, mambo mengi yanayohitajika kwa elimu ya sasa.
Ni full kukaririshwa, full stress.
Sijatembelea shule nyingi kabda mnaweza kutueleza zaidi je shule mlizopeleka watoto wenu zina walau nilivyo vitaja hapo? kama havipo mtoto wako anasoma kayumba ya ki gereza hana tofauti yoyote na wa kayumba zaidi ya kingereza.
Je vyuo wanaenda kusoma wapi?
Nje au hivi vya kayumba university?
Kayumba kuna shida na huko kuna shida. Jambo kubwa ni ku modernize mfumo wa elimu si vinginevyo mnajidanganya na kujifariji tu.
As a nation kuna mkwamo wa kielimu ila kuna baadhi yetu wanajiona wamesoma na wanajua ila nchi haiendelei kama wenzetu .
Sasa wamesoma nini nchi ipo ipo tu hatuna la kutolea nfano duniani.
Okay! Endeleeni kuwapeleka watoto wenu huko ila walete positive empact kwa nchi.
 
Uswahilini everyone knows everything about everyone. Every one is naked uswahilini
Mimi wameshindwa kufungua code. Naishi kama Hosama dadeki, kuniingia mtu anajipanga na kujinyafua nyafua.
 
MISERY LOVES COMPANY.... MSIBA WA WENGI NI SHEREHE...
Ni kawaida kwa watu waliopigika kufarijika baada ya kuona kuna wengine waliopigika kama wao. Hata wewe una hilo tatizo. Unajisikia faraja baada ya kugundua mko wengi mliopigika. Pambana utoke kwenye hiyo hali. Usitazame walioshindwa kama wewe. Tazama walioweza.
 
Ni kwamba hawa watu wa mtaani kwetu wananiiga au na wao uchumi umewapiga kama Mimi.

Ni hivi niliwahi kuandika Uzi hapa nikisema nimeamua kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba baada ya uchumi wangu kuzorota. Then nikaja nikaanzisha Uzi kuhusu FAIDA binafsi nilizo zipata baada ya kuwahimishia watoto wangu Kayumba.

Leo nimeenda shuleni kulikuwa na kikao cha wazazi. I was surprised KUKUTANA na watu zaidi ya kumi ambao na wao watoto wao walikuwa wanasoma English Medium na sasa wamewahamishia Kayumba.. Nilishindwa kupata jibu je ni kwamba hawa jamaa wana niiga Mimi au na wao uchumi umewapiga kama Mimi?

Kati yao kumi ni mmoja ndio Nina uhakika kwa asilimia mia kwamba amewahamishia watoto wake Kayumba kwa sababu ya kunigeza Mimi au at least kuwa inspired na Mimi.

Niliambiwa na mtu kwamba huyu jamaa aliwahi kusikika bar akiwaambia watu anawarudisha watoto wake Kayumba kwa sababu uchumi umekuwa mgumu. Akasema " Kama ( jina langu) nimewarudisha watoto wangu Kayumba yeye ni nani asiwarudishe?

Ni hivi hapo mtaani kwetu ( uswahilini) Mimi ninachukuliwa kama kijana mwenye uwezo kifedha.

Ila ukweli ninaujua Mimi mwenyewe ninapitia kipindi kigumu kiuchumi.. Ndio maana niliamua kuwarudisha watoto wangu shule ya Kayumba.

Mimi kuwarudisha watoto wangu Kayumba ilikuwa ni habari iliyo enea mtaa mzima..

Najua baadhi ya watu watakuwa wamefurahi kwa sababu kwao hilo linamaanisha anguko langu..

Hata hivyo leo nimekuja kugundua kwamba, Kumbe ni watu wengi tu hapo mtaani ambao walikuwa wanasomesha watoto wao English Medium walikuwa wanaumia kimya kimya ila walikuwa hawajui cha kufanya kwa sababu walikuwa wana ogopa macho na maneno ya watu ndio maana wengi wao walikuwa wanaishi kwa stress ilimradi ionekane watoto wao wanasoma English Mediums.

Nilipo watoa watoto wangu English Medium.na kuwaleta Kayumba, wazazi wengi wamefuata njia, now wanawatoa watoto wao English Mediums na kuwaleta Kayumba..

Nilicho kigundua kuhusu watanzania wengi ni kwamba wengi wanafanya mambo kwa ajili ya kujionyesha kwa watu. Kwa ajili ya approval and validation from other people.

Kwako ewe Mtanzania. Fanya kitu ambacho kipo ndani ya uwezo wako. Ishi maisha yako halisi usiishi kuwa impress watu.
NI kweli mkuu.Kayumba kuanzia darasa la tano utawakuta wanawapokea wahamiaji kutoka English schools.
Na wazazi wengi wakijitahidi Hadi std 7 ujue sekondari NI kayumba.
Tena wanatoa shukrani kwa watoto kuchaguliwa kayumba.wanasema kuwa Bora wapumue.na wamekoma kusomesha English medium
 
Elimu bora ni nini?
Nikumpeleka mwanao shule ambayo atakua anaenda na kidumu cha maji, ufagio, jembe, fyekeo na mgongoni akiwa amebeba begi la madaftari..😊
Wakati huo baba ukiwa unaendesha BMW x 1, unakula suit daily, unapumua kwenye ofisi yenye fully kiyoyozi na baada ya kutoka job unapitia Pizzeria unakata 1 plate ya 21 thousands kisha unashushia na ballantain ya 60 thousands...😊
 
Back
Top Bottom