Nilichokigundua kuhusu watanzania, mara baada ya kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba

Nilichokigundua kuhusu watanzania, mara baada ya kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba

Mungu anisaidie na azidi kunipa afya njema na nguvu ili niweze kuwapeleka watoto wangu katika shule zilizo bora na wapate alimu yenye ubora na maarifa.....
Amen...๐Ÿ™
Ili waje kuajiriwa mshahara laki 7 kwa mwezi
 
malengo yangu watoto niwapeleke popote ili wajue kwanza kusoma na kuandika na kuongea vizuri na kuhesabu. Kiswahili na kiingerezs katika grobal standards.

Wakifanikiwa hapo mengine waniachie mimi ntajua pa kiwapeleka.
Grobal? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom