Nilichokigundua kuhusu watanzania, mara baada ya kuwatoa watoto wangu English Medium na kuwaleta Kayumba


Kayumba za siku hizi hawabebi vidumu zina visima vya maji safi.

Kwa mijini kama Dar Shule za serikali zinatazamwa sana nowdays
 
Kayumba za siku hizi hawabebi vidumu zina visima vya maji safi.

Kwa mijini kama Dar Shule za serikali zinatazamwa sana nowdays
Sawa mkuu, kwakua watanzania wote wanaishi daslam nisawa...😊
 
Rudisha mtoto english medium, acha ukoloni. Kapambane, ukiwapeleka huko wapeleke, usione wenzako tunawapeleka ukajua ni hela, kuna elimu nzuri huko, na maandalizi mema, tafuta shule nzuri peleka mtoto. Huko kayumba wapeleke ila usijitetee mbele ya kadamnasi sijui tunawapeleka for kujitapa tu. Madogo wanakula skuli zuri huko.
 
[emoji3][emoji3] kwamba hata laki 2 hana
Amini nakuambia mkuu,jamii forum ilikuwa wakati ule sio hii ya leo ambayo imekosa mvuto kwa thread za kutunga na za kipuuzi kiasi kwamba hata ukiangalia michango yao utagundua kwasasa taifa limekumbwa na vijana wa ovyo
 
Inafikirishaa ilaa hata Ukimpa hizo mil 10 wakati huo hazitamfikisha popotee cha zaidi muwekeee akibaaa bank akisoma akifika mbali na hana pa kuanzia bhasi unaweza msupport japo ni ngumu mtu kuweza kumsomesha mwanae shule za Mil 10 alafu kesho mtoto akawa hana pakushika kabisa means mzee awe kafilisika hata vile visenti alivyomuwekea kwenye Acc havitakuwepo tena..
 
They are being more driven by emotions rather than mind.
 
Elimu bora ni nini?
 
Safi sana mkuu, umegundua huna jibu umeona upotezee kimasihara.


Rudisha "watoto wako " Kayumba.

Anyways nimeandika " watoto wako " kwa sababu najua hata wewe hauna uhakika.kama.ni watoto wako.

Sasa nasema " Rudisha watoto wa mke wako wako Kayumba"
Utakuja kunishukuru sana.
 
Mi mwenyewe nimekoma. 🤣🤣🤣
 
Ukifanya mambo yako kisa jamii inakuangliaje, unakua bado hujakua kifikra. Bado una utoto kichwani, wanasema matumizi yasizidi mapato.
 
Yupo jirani yng mmoja ana maisha magumu Sana,,
Ila mtu wa mashauzi sn,,

Jamaa anai mwanae yupo english medium.
Kuna kipindi ada inasumbuwa na mtoto anafukuzwa shule,,
Basi jamaa anaamuwa kumfungia mtoto hata mwezi mzima asitoke ndani asubuhi,, during school hours.0600 - 1500hrs jioni anamfungulia mlango akacheze nje...
Mradi mtoto aonekane amekwenda shule.


Shida yote ya nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…