Nilichokikuta kwenye iPhone sicho nilichokitarajia

Hiyo itawekwa mwaka 2030 na vikondoo vitarukaruka na kushangilia kuwa aifoni wameleta feature mpya 😁😁
 
Well samsung wanaelekea huko
Kuanzia A23,33,53 mpaka alina S23 zote hazina headphone jack

Wenyewe apple walifanya hivyo wakiamini wanaweza expand iphone storege so no need for sd cards

Good thing ni kwamba unaweza ukatumia C type slot kuchomeka headphone/earphone ambazo ni c-type...
 
😂😂😂kwenye mshono.Safi mkuu
 
Watumiaji wengi wa iPhone wanatumia simu zao kwa matumizi haya:

1. Kupiga na kupokea simu
2. Kutuma na kupokea SMS
3. Social networking kwenye common apps
4. Camera na multimedia (music & video)
5. Mengineyo (showoffs kwa waafrika)

Sasa kwa watu ambao ni wapenzi wa tech unajipata kuwa android ndio mpango mzima, unaweza ukafanya tech tricks nyingi, ukaenjoy tons of apps, na vitu vingine mob...
 
Kwa nini usirudi android mkuu!? Kuna haja ya kulalamika ilihali unajua alternative!?
 
Good thing ni kwamba unaweza ukatumia C type slot kuchomeka headphone/earphone ambazo ni c-type...

The same to iphone power port inaweza tumika pia kwa headphone (only og zinazo support) even though originaly haikuwa intended for that
 

Ulichotaja hapo ni common use ya smartphone zote. Even android devices

While siwez ongea kwa wengine, kwangu naenda deep zaid kwenye matumizi, kuna apps for professional uses ambazo na push iphone to max uses.
Now natumia kwa kazi gani that up to me, but then iphone ina uwezo wa kufanya vitu vingi it happens wengi hawajui how or hawataki kujisumbua
 
Kitu nimegundua watu wengi WA apple huwa wanatoka kwenye infinix ,Tecno itel za TSH 500,000/= kushuka chini na hizo ni simu za ovyo zinatengenezwa Kwa ajili ya Afrika tu.binafsi Mimi namiliki Samsung A54 NI kama maduka mengi niliuliza zilikuwa 1200,0000/= lakin nlichukuwa 950,000/= ambapo NI simu ya Kati nzur sasa check picha yake apa chini afu uniambie ukinunua ya M2+ itakuaje.
 
Izoom hii picha mara moja tu.

Kisha angalia picha details zinaonekanaje.

Baadhi ya simu hata ukizoom bado details zinakua nzuri kama ukiwa haujazoom
 
Izoom hii picha mara moja tu.

Kisha angalia picha details zinaonekanaje.

Baadhi ya simu hata ukizoom bado details zinakua nzuri kama ukiwa haujazoom
Yaan mkuu apo hata quality yake imepungua sababu unapo upload picha huku jforum inapunguzwa nusu ya MB zake walio upload wanaelewa
 
Labda kwa manamba ya uongo uongo ila kwenye reality performances iphone ni moto wa kuotea mbali kaka sio iphone tu apple device ni next level chief
Kawadanganye vilaza huko wa chuo, eti apple device ni next leve? WTF?
 
Dyadyaa kwann usemee nimeolekaa?
Niliolekaa tangu mdaa, ila kwa sasa ndo naishi na shem wakoo.

Afu majukumu ya kutafuta maokotooo, yanafanya tupotee JF kwa muda.

Mic u mnoo [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Aririiiii harusi tunayooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…