Nilichokikuta kwenye simu ya mpenzi wangu nimebaki njia panda, niendelee naye au nimuache?

Nakushauri piga chini huyo Atakuletea shida.Alafu mwanamke usiwekeze sana kwake utaumia...wekeza kwa ajili ya maisha yako
 
Maamuzi yakuendelea au kupiga chini yako mikononi mwako;kwa hali ya kawaida tu huyo hakufai
 
Amekuachia Matadhi!! Ww ni kilaza wa darasani kama upo chuo na utahitimu kwa GPA 35, viwanda tutavisikia kwa majirani kama vyuo ndio hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
thread yako na majibu yako unayotoa....tunatambua ni jinsi gani ulivyo mbumbumbu....kama umeshindwa kuamua nini cha kumfanya huyo mwasherati mwenzio......huko UDOM unafanya nini......umeona sasa jamaa la moro linavyomkula mutoto wa tanga,,, weee umeng'aa macho tuu...mwenzio alishakuacha kitambooo.......endelea kuhack.....
 
ushauri wangu jipime kama wewe uko msafi asilimia 100 ukiona wewe hujawai kumcheat au chukulia kuwa angekuwa ameinstall hiyo application kwake asingekuta kitu huyo muache ila kama wewe pia ni mwizi sema tu hujakamatwa usimuache na uondoe hyo app.....otherwise muache huyo kwa kuwa ana michepuko mi2 then uwe mchepuko wa mwingine na yeye uweke hiyo app kwa simu yake then utupe mrejesho tena ... waaminifu hakuna duniani na kama wapo ni wa muda tu .. kwa mfano kutoka mwezi wa saba mwaka jana mpaka mwezi january sikuwa na mahusiano na mtu yeyote zaidi ya wife niulize now sasa najipanga kuiacha mitatu nirudi utakatifu wangu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kijana hana awezalo, mapenzi hawezi na masomo hayawezi!
Sio "mess up with" ni mess with
Na sio "unus"ni anus[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Naona nakuongezea hasira tu mkuu. Pole sana ila hawa wanawake wa sikuhizi ni kwenda nao kwa akili sana. Pole kijana

Ushauri wangu PIGA CHINI HAKUFAI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv kabla ya Kuja humu ulijua lengo la udukuzi wako liwe nin?
 
Hayo mambo huwa yapo tu achilia mbali wewe hujaowa hata walio owa huwa wanapigiawa tu cha msingi ongea nae kwanza ukiona hakuelewi piga chini

Ila pia embu toa madini hapa ulifanyaje fanyaje ukapata chat zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeandika vizuri huenda watu wange focus kwenye jambo uliloleta, badala yake mtu anaanza kuulinganisha upeo wako wa kufikiria na namna ya kufanya maamuzi na vile unavyoandika maandishi yenye kukushusha hadhi.
 
Kama uliamua kudukua simu yake maana yake humuamini, so ya nini ukae roho juu!? Amini nakwambia, kama amekucheat sasa, hata ukimsamehe atakucheat tena na tena. Fimbo ya mbali haiui nyoka, akili kichwani mwako
 
Nashukuru Mimi ktk mahusiano sjawai kuspend kiasi cha pesa Mpaka niumie . Mlishakatazwa kusomesha mademu. Halafu unasomeshea boom. Hauna akili.distance relationship Haijawai kuwa salama. Lazima wajanja wale mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na angejuaje kwamba sio sahihi kwake bila kumchunguza? Siungi mkono njia aliyotumia ila kuchunguzana muhimu aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani haujawahi kuona club kubwa za Mpira wa miguu ina msajili mchezaji kwa gharma kubwa lakini haonyeshi kiwango MF: bebe Manchester united.kinacho fuata club in move on .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…