Jaribu kukaa nae umshauri tena akikataa achana nae utakuwa hujapata mume mwenye akili atakuwa bwege tu huyo AUNdugu nilishakaa nae nikamwambia kila mwisho wa mwezi anipe laki 2 tu nami niongeze za kwangu angalau kila mwezi tunafanya kitu,,, akakubalu ila nimiez 5 tangu tukubaliane hivyo hajafanya kitu kama icho
Mtengenezee mazingira ya kuacha kupeleka hela kwao si kumwambia akupe hela wewe!!! Ukifanya hivyo maanake atatuma tu na utakuwa hujatatua tatizo mwambie awaambie kuwa saizi hata kazi katumbuliwaJaman mi sijui namsaidiaje sababu tulishakaa nikamwambia kila mwisho wa mwezi anipe laki 3 au 2 tufanye maendeleo lkn hataki ikafikia hatua alipoona namwambia maendeleo ikabidi anifiche kipato chake,,,mshahara ukiingia siambiwi wala akipata semina haniambii kapata ngapi mi nafanyaje?
Kwa haraka haraka huyo jamaa yako ni mpumbafu kiwango cha lamiNilichogundua jamaa hana jinsi hata ya kujitetea kila kitu anakubali,,, kuna dada zake wametoka kwa wame zao wamekuja kusalimia wakamwambia hatuna nauli ya kurudi wala hatuna cm za mawasiliano jamaa katoa hela kawapa......na nguo kawaliwanunulia. , jamaa hana cha kujitetea
Hameni mtaa mbali kama ni karibu na home au kama ni mbali lakin ndugu wanapajua hamien mtaa mwingine badilishen Namba za Simu kwishaaSiku zote nimekua nikilalamika hum mme/mwenzangu kutohufia nyumban na kuhamishia nguvu kwao ila nilichokiona mpaka nimemuonea huruma
Iko hivi mi na mwenzangu tulikua tunaishi pamoja tangu mwaka Jana,,,,,
Mwaka huu wazazi wakaamua wakamilishe taratibu zote ikabaki ndoa tu
Sasa katika maisha na mwenzangu wajibu wake ndan umekua mdogo maendeleo hakuna hafanyi
Nimeenda kwao likizo nimechoka mwili na roho nimepoteza ndoto za kua na maisha mazuri kabisa
Jamaa ukoo mzima iwe shangazi, mjomba,Dada zake hata walioolewa yeye ndio anawahudumia
Nimemuonea huruma maana sio ombi nilazima,,
Familia ile,,,dada zake wavae aanunulie nguo kila siku
Ikifika mwisho wa mwez hela zote zinaenda kwao ikifika tarehe 10 mshahara umeisha,,,,,
Nilikua nachukia namuona hana akil za maendeleo lkn kwa hali nilivyoiona hata yeye hana jinsi
Jmn nishaur nifanyeje tue na maendeleo na sisi? sababu kipato changu ni lak 3 binafsi mwenzangu yeye anapokea mil 1.4_5 lkn majukum ni mengi kwao hawez kufanya chochote
Nifanyeje jmn?
Nianze na msemo wa kiswahili unaosema kuwa "Ni kosa la kiufundi kuwa na huruma ya mshumaa ktk maisha". Mshumaa unatusaidia kutoa mwanga lakini wenyewe unateketea.Siku zote nimekua nikilalamika hum mme/mwenzangu kutohufia nyumban na kuhamishia nguvu kwao ila nilichokiona mpaka nimemuonea huruma
Iko hivi mi na mwenzangu tulikua tunaishi pamoja tangu mwaka Jana,,,,,
Mwaka huu wazazi wakaamua wakamilishe taratibu zote ikabaki ndoa tu
Sasa katika maisha na mwenzangu wajibu wake ndan umekua mdogo maendeleo hakuna hafanyi
Nimeenda kwao likizo nimechoka mwili na roho nimepoteza ndoto za kua na maisha mazuri kabisa
Jamaa ukoo mzima iwe shangazi, mjomba,Dada zake hata walioolewa yeye ndio anawahudumia
Nimemuonea huruma maana sio ombi nilazima,,
Familia ile,,,dada zake wavae aanunulie nguo kila siku
Ikifika mwisho wa mwez hela zote zinaenda kwao ikifika tarehe 10 mshahara umeisha,,,,,
Nilikua nachukia namuona hana akil za maendeleo lkn kwa hali nilivyoiona hata yeye hana jinsi
Jmn nishaur nifanyeje tue na maendeleo na sisi? sababu kipato changu ni lak 3 binafsi mwenzangu yeye anapokea mil 1.4_5 lkn majukum ni mengi kwao hawez kufanya chochote
Nifanyeje jmn?
Sasa anayebeti na huja mume wanatofauti gani??Kwer Mkuu hiyo laki 3,ni mtaji safi sana kila siku anabet timu 3..mpaka mwisho wa mwezi ni milionea..
NB:Onyo beting ni hatari kwa kipato chako.
Achane naye mtafute mwingine uanze naye maisha.Siku zote nimekua nikilalamika humu mme/mwenzangu kutohudumia nyumbani na kuhamishia nguvu kwao ila nilichokiona mpaka nimemuonea huruma
Iko hivi mi na mwenzangu tulikua tunaishi pamoja tangu mwaka Jana mwaka huu wazazi wakaamua wakamilishe taratibu zote ikabaki ndoa tu sasa katika maisha na mwenzangu wajibu wake ndani umekua mdogo maendeleo hakuna hafanyi
Nimeenda kwao likizo nimechoka mwili na roho nimepoteza ndoto za kua na maisha mazuri kabisa jamaa ukoo mzima iwe shangazi, mjomba,Dada zake hata walioolewa yeye ndio anawahudumia
Nimemuonea huruma maana sio ombi nilazima familia ile dada zake wavae aanunulie nguo kila siku ikifika mwisho wa mwezi hela zote zinaenda kwao ikifika tarehe 10 mshahara umeisha nilikua nachukia namuona hana akili za maendeleo lakini kwa hali nilivyoiona hata yeye hana jinsi
Jamani nishauri nifanyeje tue na maendeleo na sisi? sababu kipato changu ni lak 3 binafsi mwenzangu yeye anapokea mil 1.4_5 lakini majukumu ni mengi kwao hawezi kufanya chochote
Nifanyeje jamani?
Ni vile hujui wengi wa zaman wamesoma kwa michango ya ndugu na jamaa unaweza kuta dadazake walipigana kufa na kupona asome leo useme asiwahudumie kweli mkuu.Dhaaa........huo nao ni upofu, yaani mtu umesota kusoma umepata kazi kisha unaanza kununulia nguo dada zako, hii ndio akili gani sasa. Jambo analopaswa kufanya ni moja tu. Aachanr na familia na ashughulike kwa kiasi tu na baba na mama yake pekee kwa kiwasaidia makazi bora chakula wapambane wenyewe. Hao ndugu wapambane na hali zao tu. Hiyo lazima kuwasaidia imewekwa na nani. Otherwise mtayumba sana na huyo mwanaume asiye na msimamo