Nilichokiona Kanisani nimeshangaa sana kwa mwanasiasa na msomi huyu

Nilichokiona Kanisani nimeshangaa sana kwa mwanasiasa na msomi huyu

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
nimeona Clip moja ya Mchungaji Mmoja akimpaka mafuta na kumuombea mali na kumuonyesha matatizo ya Mheshimiwa waziri mstaafu wa Mambo ya Ndani Mr X. katika clip hio Mchungaji anamuliza maswali haya
mchungaji - Anna unamjua
Mheshimiwa mstaafu- Namjua ni Mke wangu
Mchungaji - Ania unajuma
Mheshimiwa - ndio huyo huyo jina la mke wangu
Mchungaji - Najua unaumwa na mkono
mheshimiwa - Ndio
Waumini wanashangilia kuamini kwamba mchungaji hayo yote kaoteshwa.
Ukweli
huyo Anna mkewe mHeshimiwa kila mtu anamjua kwa sababu kapost sana katika mitandao yeye na mkewe. kwa hivyo hata huyu mchungaji anamjua kwa sababu ya kutembelea account za mheshimwa
kuumwa na miguu hata marafiki na ndugu wanajua kwamba mheshimiwa anumwa na miguu

1720948083213.png
 
nimeona Clip moja ya Mchungaji Mmoja akimpaka mafuta na kumuombea mali na kumuonyesha matatizo ya Mheshimiwa waziri mstaafu wa Mambo ya Ndani Mr X. katika clip hio Mchungaji anamuliza maswali haya
mchungaji - Anna unamjua
Mheshimiwa mstaafu- Namjua ni Mke wangu
Mchungaji - Ania unajuma
Mheshimiwa - ndio huyo huyo jina la mke wangu
Mchungaji - Najua unaumwa na mkono
mheshimiwa - Ndio
Waumini wanashangilia kuamini kwamba mchungaji hayo yote kaoteshwa.
Ukweli
huyo Anna mkewe mHeshimiwa kila mtu anamjua kwa sababu kapost sana katika mitandao yeye na mkewe.
kuumwa na miguu hata marafiki na ndugu wanajua kwamba mheshimiwa anumwa na miguu
Dunia bila wajinga haiwezi zunguka vizuri kwenye muhimili wake! Wajinga ndiyo waliwao!!
 
nimeona Clip moja ya Mchungaji Mmoja akimpaka mafuta na kumuombea mali na kumuonyesha matatizo ya Mheshimiwa waziri mstaafu wa Mambo ya Ndani Mr X. katika clip hio Mchungaji anamuliza maswali haya
mchungaji - Anna unamjua
Mheshimiwa mstaafu- Namjua ni Mke wangu
Mchungaji - Ania unajuma
Mheshimiwa - ndio huyo huyo jina la mke wangu
Mchungaji - Najua unaumwa na mkono
mheshimiwa - Ndio
Waumini wanashangilia kuamini kwamba mchungaji hayo yote kaoteshwa.
Ukweli
huyo Anna mkewe mHeshimiwa kila mtu anamjua kwa sababu kapost sana katika mitandao yeye na mkewe. kwa hivyo hata huyu mchungaji anamjua kwa sababu ya kutembelea account za mheshimwa
kuumwa na miguu hata marafiki na ndugu wanajua kwamba mheshimiwa anumwa na miguu
Masha anataka kuchanganyikiwa
 
nimeona Clip moja ya Mchungaji Mmoja akimpaka mafuta na kumuombea mali na kumuonyesha matatizo ya Mheshimiwa waziri mstaafu wa Mambo ya Ndani Mr X. katika clip hio Mchungaji anamuliza maswali haya
mchungaji - Anna unamjua
Mheshimiwa mstaafu- Namjua ni Mke wangu
Mchungaji - Ania unajuma
Mheshimiwa - ndio huyo huyo jina la mke wangu
Mchungaji - Najua unaumwa na mkono
mheshimiwa - Ndio
Waumini wanashangilia kuamini kwamba mchungaji hayo yote kaoteshwa.
Ukweli
huyo Anna mkewe mHeshimiwa kila mtu anamjua kwa sababu kapost sana katika mitandao yeye na mkewe. kwa hivyo hata huyu mchungaji anamjua kwa sababu ya kutembelea account za mheshimwa
kuumwa na miguu hata marafiki na ndugu wanajua kwamba mheshimiwa anumwa na miguu

View attachment 3042061
Huyo jamaa siyo mchungaji bali ni tapeli tu anayewapiga wajinga hela. Huyo mtu ni raia wa DRC na jina lake halisi ni Hassan Wamba,hilo jina la Dominick ni la kupigia hela tu.
 
Back
Top Bottom