bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Alianza kuuza mafuta na maji nae sijui aliishia wapi naona Mzee wa kawe kamfunikaSharifu majini yuko wapi siku hizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alianza kuuza mafuta na maji nae sijui aliishia wapi naona Mzee wa kawe kamfunikaSharifu majini yuko wapi siku hizi?
nimesoma shule ya kanisa. maswali ya mitihani yalikuwa ya kujaza mapengo, kwa hivyo nimezoea hivyoWatz waoga sana, sasa kumtaja huyo mheshimiwa unaogopa au?
Chezea kufilisika.Kuna dalili zote Masha anataka kuingia kwenye huu utapeli wa hawa manabii wa uongo.
Na anakunywa pombe kama hana akili nzuri. Huyu baada ya mwaka utamsikia naye ni nabii anapiga hela za wajinga.Chezea kufilisika.
Aongee na swahiba wake rizimoja amuombee msamaha kwa mama alambe teuzi
Kaambiwa September atakuwa juu kabisa i- Mchungaji kamwambia hivyoNa anakunywa pombe kama hana akili nzuri. Huyu baada ya mwaka utamsikia naye ni nabii anapiga hela za wajinga.
Ila joh punguza mbegeLau walimroga pale Ufipa st 🐼
Atamfungulia na yeye kilinge chake aanze kuagua na kupiga hela.Kaambiwa September atakuwa juu kabisa i- Mchungaji kamwambia hivyo
Huyo bangi ya Njombe ndiyo inamuwehushaIla joh punguza mbege
Poa mdogo wangu.Haya 😂😂😂🔥
... TUSOGEZEENI BASI HIYO CLIP, AU NDO YALE MAMBO YA KUKOSA MAWAKILI WASOMI?Nimeshangaa kweli kweli kuona ile clip. Huyu ndiyo alikuwa waziri. Kweli dunia hadaa.
Shehe wakristu wengi tunajua huu ni utapeli na ushirikina kama ushirikina mwingine.nimeona Clip moja ya Mchungaji Mmoja akimpaka mafuta na kumuombea mali na kumuonyesha matatizo ya Mheshimiwa waziri mstaafu wa Mambo ya Ndani Mr X. katika clip hio Mchungaji anamuliza maswali haya
mchungaji - Anna unamjua
Mheshimiwa mstaafu- Namjua ni Mke wangu
Mchungaji - Ania unajuma
Mheshimiwa - ndio huyo huyo jina la mke wangu
Mchungaji - Najua unaumwa na mkono
mheshimiwa - Ndio
Waumini wanashangilia kuamini kwamba mchungaji hayo yote kaoteshwa.
Ukweli
huyo Anna mkewe mHeshimiwa kila mtu anamjua kwa sababu kapost sana katika mitandao yeye na mkewe. kwa hivyo hata huyu mchungaji anamjua kwa sababu ya kutembelea account za mheshimwa
kuumwa na miguu hata marafiki na ndugu wanajua kwamba mheshimiwa anumwa na miguu
View attachment 3042061
Bahati mbaya yeye siyo ustazi teuzi asahauChezea kufilisika.
Aongee na swahiba wake rizimoja amuombee msamaha kwa mama alambe teuzi
Na hata kuita sehemu hiyo Kanisa ni kosa kabisa,hicho ni kilinge tu.Shehe wakristu wengi tunajua huu ni utapeli na ushirikina kama ushirikina mwingine.
nimeona Clip moja ya Mchungaji Mmoja akimpaka mafuta na kumuombea mali na kumuonyesha matatizo ya Mheshimiwa waziri mstaafu wa Mambo ya Ndani Mr X. katika clip hio Mchungaji anamuliza maswali haya
mchungaji - Anna unamjua
Mheshimiwa mstaafu- Namjua ni Mke wangu
Mchungaji - Ania unajuma
Mheshimiwa - ndio huyo huyo jina la mke wangu
Mchungaji - Najua unaumwa na mkono
mheshimiwa - Ndio
Waumini wanashangilia kuamini kwamba mchungaji hayo yote kaoteshwa.
Ukweli
huyo Anna mkewe mHeshimiwa kila mtu anamjua kwa sababu kapost sana katika mitandao yeye na mkewe. kwa hivyo hata huyu mchungaji anamjua kwa sababu ya kutembelea account za mheshimwa
kuumwa na miguu hata marafiki na ndugu wanajua kwamba mheshimiwa anumwa na miguu
View attachment 3042061kuwa waziri hakumfanyi mtu kufuta ujinga alio zaliwa nao. Hela za kukwapuwa kodi za watu masikini haziwezi kumfanya mtu kuwa tajiri. Hela za wizi wa kodi unaweza kumfanya mwizi kuonekana tajiri kwa mda tu lakini umasikini wake utamsubili tu. Ukichemusha maji kwa masaaa sita saa moja bada ya kuzima moto yanarudi kwenye ubaridi wake wa asiri.
Bangi asubuhi yote hii, ikifika jioni si utawehuka!Lau walimroga pale Ufipa st 🐼