Nilichokiona Kanisani nimeshangaa sana kwa mwanasiasa na msomi huyu

Nilichokiona Kanisani nimeshangaa sana kwa mwanasiasa na msomi huyu

Una umri gani kiasi cha kudhani kuwa mtu akishapiga hatua kiuchumi hawezi tena kupitia changamoto za kiuchumi?
Ungeweza ukauliza kawaida tu swali lako na ukaeleweka pasipo kuonyesha dharau zako zisizo na maana?? Ungetumia akil ungegundua kuwa jibublako liko ndani ya maelezo marefu niliyoyaweka kama maswali
 
Back
Top Bottom