Huyo ameshanusa kwenye unabii feki kuna fedha nyingi ndiyo anajisogeza hivyo baada ya mwaka utamsikia naye kafungua madhabahu yake anajiokotea hela za wajinga.
Ungeweza ukauliza kawaida tu swali lako na ukaeleweka pasipo kuonyesha dharau zako zisizo na maana?? Ungetumia akil ungegundua kuwa jibublako liko ndani ya maelezo marefu niliyoyaweka kama maswali