George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
- Thread starter
-
- #101
Gharama za kuwatumia DHL zikoje kiongozi?Ebay & Amazon via DHL huduma yao safi kabisa....nimeanza kutrade nao 2014.
Gharama inategemea na mzigo unaonunua na kama je unaunganisha as Packages ama package ya Mtu mwingine au lah...so inategemea ila palepale watakuonesha gharama zao yaani shipping costGharama za kuwatumia DHL zikoje kiongozi?
Okay, tufanye nimeagiza package yenye LAPTOP ndani yake, gharama yao inakuwaje.?Gharama inategemea na mzigo unaonunua na kama je unaunganisha as Packages ama package ya Mtu mwingine au lah...so inategemea ila palepale watakuonesha gharama zao yaani shipping cost
Yaani ukiingia pale kwny mfumo ht sshv na kuona pic ya product/Products zako na kuselect...katika kuanza process ya kununua utachagua njia utakayotumia kununua, kwa mfano mimi huwa natumia Paypal kuniconnect na bank yangu kwa kadi maalum ya NMB ya Online shopping....Okay, tufanye nimeagiza package yenye LAPTOP ndani yake, gharama yao inakuwaje.?
Hii kitu naelewa mkongwe, mara nyingi wauzaji wengi wa eBay wanatumia "ebay international shipping" sio DHL, nikicheki bidhaa za masoko ya ulaya mara nyingi ndio naona huwa hawatumii "ebay international shipping".Yaani ukiingia pale kwny mfumo ht sshv na kuona pic ya product/Products zako na kuselect...katika kuanza process ya kununua utachagua njia utakayotumia kununua, kwa mfano mimi huwa natumia Paypal kuniconnect na bank yangu kwa kadi maalum ya NMB ya Online shopping....
chini yake watakuambia hiyo gharama ya product imeinclude gharama ya usafiri (Shipping cost) au haiinclude
So utaona palepale gharama ya usafirishaji mpk ikufikie ulipo, siwezi kukuambia kwa sasa kwasababu bei inavary Ila ukiingia wewe utaona
NB: Products zingine hazifiki Bongo kutokana na regulations na conditions za hovyo za TZ So Paypal haifanikishi malipo
Ila Ebay wako poa sana
I hope umenipata
Hii Ina maana gani mkuuOkay, mimi nafahamu kuagiza bidhaa kwa kutumia mtandao wa ebay.
Hatua ya kwanza kabla haujaanza kuagiza bidhaa ebay, unatatakiwa ujiunge na mtandao wa ebay, yaani ufungue akaunti ili uweze kufanya manunuzi.
Utajisajili hapa kwenye hii link.
Security Measure
Hatua ya pili, baada ya kuwa umejisajili. Utatakiwa kuweka taarifa za mahali ambapo unahitaji mzigo utumwe endapo utafanya manunuzi.
View attachment 3101114
Ukishakamilisha usajili utaingia kwenye akaunti yako, kisha utabonyeza hako kamshkaji nilikokazungushia duara.
Itakuletea hivi.
View attachment 3101115
Ikikuletea hivi utabonyesha hapo palipoandikwa Account, nimezungushia duara nyekundu.
Ukibonyeza hapo, itakuleta hapa
👇👇👇
View attachment 3101118
Hapa utajaza taarifa zako binafsi kama vile email na namba za simu, pia sehemu unapoishi na Zip Code, Zip Code utagoogle tu, kwa mfano kama unaishi Mtama, utaenda google utaandika "Mtama Zip Code" zitakuja zip code za Mtama, utachagua iliyosahihi kulingana na eneo unaloishi.
Ukishamaliza hiki kipengere, utarudi tena hapo kwenye kimtu, utabonyeza tena kwenye neno Account, kisha utabonyeza kwenye payments (duara nyekundu).
Yaani hapa 👇👇👇
View attachment 3101121
Hapo utapewa njia za malipo, utaweka namba zako za kadi ya benki, kama unatumia Paypal unaweza pia kuweka taarifa zako za PayPal(email).
Ukikamilisha hivi vipengere vyote unakuwa upo tayari kununua bidhaa yoyote katika mtandao wa ebay.
Hatua ya pili, kutafuta vitu unavyotaka kununua.
Ebay homepage utakutana na hii sehemu iliyozungushiwa duara nyekundu.
View attachment 3101142
Hapo andika kitu unachokitaka. Kwamfano tunaandika "laptop", kisha tunasearch.
Watatuletea matokeo ya "laptop" kama hivi. 👇👇👇
View attachment 3101152
Ukiangalia hapo juu unaona kuna duara nyekundu nimezungusha, ina maneno All, Auction, Buy It Now. Yeah, uzuri wa ebay ni kuwa kuna vitu huwa vinauzwa kwa mnada, kwa hiyo kama unataka kuona laptops ambazo zinauzwa kwa njia ya mnada utabonyeza hapo palipoandikwa Auction, kama unataka vitu vinavyouzwa kawaida utabonyeza hapo palipoandikwa Buy It Now, kama unataka kuona vitu mchanganyiko utaacha hapo kwenye All.
Tufanye umechagua bidhaa ambayo inauzwa kawaida, sio mnada yaani Buy It Now.
Itakuleta hapa 👇👇👇
View attachment 3101173
Utabonyeza hapo palipoandikwa Buy It Now.
Itakuleta kwenye sehemu inayoitwa Checkout, hapa utathibitisha mahali unapotaka mzigo utumwe, na njia unayotaka kutumia kufanya malipo utaithibitisha ama kuibadilisha hapa.
Itakuwa kama hivi 👇👇👇
View attachment 3101174
Ukishakubaliana na hizo taarifa hapo juu, utabonyeza hapo palipoandikwa "confirm and pay"
Tufanye umechagua bidhaa ambayo inauzwa kwa njia ya Auction.
Itakuletea hivi 👇👇👇
View attachment 3101156
Kama bidhaa umeipenda na unataka kuipigania, utabonyeza hapo palipoandikwa place bid. Ukishabonyeza hapo utaingiza kiasi ambacho upo tayari kutoa, lakini kumbuka kiasi utakachoingiza ni lazima kiwe kikubwa kuliko mtu wa mwisho. Nadhani unaelewa namna mnada unavyofanya kazi. Ukishinda mnada utatakiwa kuilipia bidhaa.
🤔🤔🤔Pia bila kusahau, ebay wana kitu inaitwa eBay money back guarantee, yaani hapa mzee ikitokea umepokea mzigo na ukakuta upo tofauti na maelezo na picha za muuzaji, una uwezo wa kufungua madai na kurudishiwa pesa zako.
eBay Money Back Guarantee
Aisee, mkongwe nimejitahidi sana kukuelekeza japo kuna mambo mengi sana pia nimeyaacha, kuna mengine utajifunza kwa njia ya AAANHA KUMBE CONCEPT 😂😂😂
Kama kuna sehemu haujaelewa utauliza swali, tutasaidiana na wadau wengine kukujibu.
Haya masuala ya mtandao/techical issues, ngoja tumuite Chief-MkwawaHii Ina maana gani mkuu
Jaribu kubadili browser, ama kama kuna capture ya kusolve ijibu ili uendelee. Ukiahindwa kabisa tumia app.Hii Ina maana gani mkuu
Inategemea Mkuu.Haina shida mkuu iko sawa tu,halafu huko ebay unauziwa vifaa vingine kutoka hukohuko china kwa bei ya juu wakati aliexpress ungeipata kwa bei ya chini,mfano kaangalie bei ya frem ya miwani pure titunium kwa bei ya ebay na aliexpress with same quality utaona tofauti kubwa sana katika bei, pia shiping cost ebay iko juu compared to aliexp.pia alexp wana agent ambao unachukua mzigo free bila charger walio chini ya speedof wakati ebay lazima upitie posta na lazima posta wakucharge storage achilia mbali ishu ya kodi
Hao ebay nawaunganishaje na posta au wanajuanaDuuuh, umesoma nilivyoviandika pamoja na michango mingine ya wadau lakini haujapata kitu kabisa!?
Elimu gani unahitaji mkongwe!?
Ukienda tawi lolote la nmb wanakuunga na kadi wanakupaNatumia NMB hiyo huduma ya Paypal unajiunga au?
Hiyo signature yako mkuu itapelekea utekwe.Niliwahi kuagiza speaker ndogo za ndani za Tv aisee wanikikata hela ndefu hadi nikashangaa, bei ya spika ilifika usd 25, lakini nilikatwa 5900 ya Posta, 18% ya kodi, clearing fee, jumla nilikatwa kama , 28/29000. Iliniuma sana. Then tudude twenyewe tudogo tu!!
Sidhani kama ni serious kiasi hicho...kiukweli kipofu haoni na kumuona daktari (Kukutana na daktari) kwenye Hospitali binafsi kuna hela kwa ajili ya kumuona! Sasa kipofu anamuonaje daktari! ni sehemu ya ucheshi tu!!Hiyo signature yako mkuu itapelekea utekwe.
Tuna maajabu mengi likiwemo na hili na mengine mengi mkuu.Sidhani kama ni serious kiasi hicho...kiukweli kipofu haoni na kumuona daktari (Kukutana na daktari) kwenye Hospitali binafsi kuna hela kwa ajili ya kumuona! Sasa kipofu anamuonaje daktari! ni sehemu ya ucheshi tu!!
SIjawahi kuwatumia hao Ebay Shipping ila kwa DHL njoo PM nikupe staff wao mmoja akupe maelekezo zaidiHii kitu naelewa mkongwe, mara nyingi wauzaji wengi wa eBay wanatumia "ebay international shipping" sio DHL, nikicheki bidhaa za masoko ya ulaya mara nyingi ndio naona huwa hawatumii "ebay international shipping".
Hapo juu umenishauri kuwa hawa DHL wako vizuri kwenye huduma ya shipping, ndio nataka kujua ninawezaje kuwatumia na gharama zao zipoje?
Yaani nataka unielekeze, nikichagua bidhaa ya kununua eBay, nawezaje kuchagua kuwatumia DHL kwa shipping? Na gharama za hawa DHL zikoje kulinganisha na eBay default shipping?
Na me nataka kuagiza PC mkuu eBayEbay wako vizuri nimewahi agiza PC huko mwaka juzi
Agiza kakaNa me nataka kuagiza PC mkuu eBay
Mbona cost zao eBay zinataka kufanana na Tanzania Sasa maana shipping na mzigoo wenyewe inarudi Ile ile TU ya bongo🤣Agiza kaka