Nilichoona kwenye nguo za mume wangu! Kuuliza kaniambia fikiri utakachomua kufikiri

Mmmmm pole shosti,ni mda gani tangu muowane? mna watoto? ndio mara ya kwanza kukujibu hivi au hua anatabia yakujibu anavyo jisikia? ukiwa kama mwanamke kustahamili wajibu lakini usizidi sana akakufanya mjinga,kumpe mume sio ujinga tena ni Thawabu kwa mungu,jaribu kumkuta yuko na mood nzuri umweleze unavyo jisikia au wasiwasi uliokua nao na hicho ulicho kiona,huenda ikawa sivyo unavyo fikiria....pole sana...
 
asante kwa ushaur kaka. mimi mwaminifu kwake asilimia mia na pia he was, huenda akawa ametamani as a man lakini jibu lake la fikiria utakavyoamua ndilo linalonipa doubt, namtanguliza sana mungu na naamini pia atanshndia hili
 
Kwa hiyo sisi tusiochepuka tuna matatizo ya kisaikolojia? Mkuu una hakika na hili? We psychologist?
 
asante mpendwa ila yani hapa cjajua cha kufanya naamka asubuh namwandalia kama kawaida anakwenda kazn nami natoka jioni namfanyia vyote lakin natamani hata nimchome kisu

Mchome kisu watoto wabaki yatima bila mama ndiyo utafahamu hasira hasara
 
hakuwah kuchelewa, pia ninakawaida ya kumwogesha mume wangu usiku kwan asubuh kila mtu anawah kazin, sikupekua nguo zake ila namvua na kumpeleka bafun

Eee bwana eeeee.... Wamkogesha baby afu anachepuka??? Haaaa a good man is hard to find....
 

ni miaka mi3 kwnye ndoa and he never gives the damn answers to me, i real love my husband na sijawah hata kuhisi anadem nje. yeye mwnyewe akitoka job straight hom saturdays n sundays we spend together, hata mtu akimtumia msg anamtaka ananiambia
 
Siku hizi ndoa zimepoteza maana kwa kuwa hata hao wanaoamua kuoana hawajui nini maana ya ndoa nini maana ya kuwa mke na mume......
Wengi wanaoana kwa sababu ambazo hazipo kwenye misingi ya mahaba ya dhati bali kwa mihemko na matamanio ya kimaumbile........ndio maana haishangazi kukuta mtu anatoa sifa za mke au mume amtakae utadhani kamuumba yeye........

Kuishi na mtu chumba kimoja katika kipindi chote cha maisha yako mpaka pale kifo kitakapo watenganisha sio jambo dogo.........
Ni jambo linalotaka busara na hekima za hali ya juu....ni jambo lisilotaka papara hata chembe katika kumpata yule umtakaye......

Vijana wengi bado wanajua misingi ya kuishi kwenye ndoa ni kugegedana kwa muda mrefu....la hasha kumbe ni zaidi ya hivyo........

Kaa chini na mumeo muangalie namna ya kulitatua hilo tatizo kuendelea kukaa kimya ilhali unakereka ni kulikuza tatizo na mwisho wake utakuwa mbaya ambao wote mtaujutia.....
 
Hapa sasa ndoa ndiyo imekuwa real. Mwisho wa njonzi
 
ni miaka mi3 kwnye ndoa and he never gives the damn answers to me, i real love my husband na sijawah hata kuhisi anadem nje. yeye mwnyewe akitoka job straight hom saturdays n sundays we spend together, hata mtu akimtumia msg anamtaka ananiambia

Mnashea hata mkitongozwa.. Owkey. Tuashumu ndo ameanza kamchezo kabaya chs muhimu kaa nae chini ongea nae kwa upole kama alichepuka atakuambia tu kama anavyoshea mengine. Kama ni kweli akiomba msamaha msamehe maisha yaendelee, trust me, kama cheating ingekuwa inavunja ndoa ndoa nyingi zisingekuwepo, life has to go on sweetheart!!!
 

Ukitoka kujamiiana huwa kuna uchafu gani? Wewe utakuwa mchafu wewe sio bure
 
Shukuru Mungu alirudii,
Isikuumize kichwa hiyoo,
Na usikute kamwaga kutokana na kkumiss
 
Kaa chini na mumeo muangalie namna ya kulitatua hilo tatizo kuendelea kukaa kimya ilhali unakereka ni kulikuza tatizo na mwisho wake utakuwa mbaya ambao wote mtaujutia.....[/QUOTE]

ni kweli kaka nikitulia ntamuuliza sababu, hayo ya kutaka mtu awe ameumbikaje mi siyapi kipaumbele kwangu kitu ninachoangalia awe na hofu ya mungu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…