Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Mimi nitakuja kuoa kwa lengo la kujenga familia bora that why sikulupuki naenda mdogo mdogo kwanza mwanamke nikiwa naongea nae mda wote akiwa anaongelea mapenzi simu yake kupokea hasau lazima ongelee maisha na kupima uwezo wake wa kufikiri
 
Mimi nitakuja kuoa kwa lengo la kujenga familia bora that why sikulupuki naenda mdogo mdogo kwanza mwanamke nikiwa naongea nae mda wote akiwa anaongelea mapenzi simu yake kupokea hasau lazima ongelee maisha na kupima uwezo wake wa kufikiri
Haha hatari u naogopa kufanya adverse selection eeh
 
Ushakutana na mke wa mtu anayedaiwa kikoba wewee?? Mda huo hisa zinatakiwa??
Hahaha ngoja tufiche Siri za kambi.
Kwa ufupi wanawake wenye ndoa wanagawa kuliko walio single (kwa zile cases ambazo ninazifahamu)
πŸ˜€Kuna makubwa na magumu Kumbe siyatambui...Mwaga maji ayo
 
Watu ndivyo walivyo
 
Wanawake wanaliwa sana kimasikhara kwenye mazingira ya hovyo kabisa. Kuna maza mmoja nilikua namheshim sana na mwanae ni rika langu kabisa, kuna nyumba mumewe alikua anajenga na mara chache mmewe akitingwa na ratiba alikua anaenda site, nilishuhudia kwa macho yangu mawili akibinjuliwa na fundi jua likizama saa 12 kasoro jioni.

Sijui kama aliniona maana nilikua napita mdogo mdogo na earphone zangu masikioni. Mpaka nahama mtaa ule alikua ananionea aibu sana na ni baada ya tukio lile.
 
Alhamdulillah... Tumsifu Kristo...
Team Kataa Ndoa campaign yetu imeanza kueleweka sasa.
KATAA NDOA uishi kwa amani uimarike kiuchumi... Ndoa ni ushetani umasikini upuuzi ushamba uoga utoto ushenzi na kupoteza muda...

KATAA NDOA πŸ€΅βŒπŸ‘°
 
Ndoa ni utapeli na kurudishana nyuma kimaendeleo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…