Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nilichoona mke wa mtu anafanya: Leo rasmi ninawaunga mkono team kataa ndoa

Nimesoma heading tu , nasikitika kusema kuwa akili huna pamoja na team unayoisapoti .

Kwa nini hamuachi kupelekea watoto wenu kwa yanayoendelea kwa Wanafunzi vyuoni ?

Kwa nini hamuachi kufanya Biashara kwa yanayotokea kwa biashara nyingi ?

Maarasssss poor you and your team.
Ngoja siku utombew(e) ndio utatuelewa.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Back
Top Bottom