majam19
JF-Expert Member
- Nov 13, 2024
- 900
- 971
Daah yaan nmemvulia kama miez 5 saiz ila ninamademu weng ila yule mtoto amekaza mpak ndoa hatak kuguswa kabisaHakuna muolewaji hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah yaan nmemvulia kama miez 5 saiz ila ninamademu weng ila yule mtoto amekaza mpak ndoa hatak kuguswa kabisaHakuna muolewaji hapo
Kawaida bwana ndio maisha.We bwana wewe unataka ugawe hisa na vvu 😅
Hahahaha JF kunamamboMe ndo nakwambia
Ukiingia huko unafurahia umekutana na seal kumbee Mchina
UjambananishaDaah yaan nmemvulia kama miez 5 saiz ila ninamademu weng ila yule mtoto amekaza mpak ndoa hatak kuguswa kabisa
Zuchu mambo?Lakini pia mimi ni mtu wa taarabu kwa vile mziki wa kwetu watu wa pwani ya bahari ya Hindi ni taarabu
Zuchu mambo?Lakini pia mimi ni mtu wa taarabu kwa vile mziki wa kwetu watu wa pwani ya bahari ya Hindi ni taarabu
Hii ligi ngumu sanaaMpaka sasa kataa Ndoa 3- wengine 0
Ngoja tuone itakavyokua
Uuwiiiii!Ameshapita na joto hasira huko juu
Hujamuona?
Ngoja siku utombew(e) ndio utatuelewa.Nimesoma heading tu , nasikitika kusema kuwa akili huna pamoja na team unayoisapoti .
Kwa nini hamuachi kupelekea watoto wenu kwa yanayoendelea kwa Wanafunzi vyuoni ?
Kwa nini hamuachi kufanya Biashara kwa yanayotokea kwa biashara nyingi ?
Maarasssss poor you and your team.
Weh! Kataa ndoa ni kama simba mkuu huoni Wanaongoza ligi?Hii ligi ngumu sanaa
Kataa ndoa lazima wachukue kombe.
#YNWA
#YANGA_BINGWA