Nilichoshuhudia ni aibu, viongozi BAVICHA ni weupe kichwani, CHADEMA mna kazi sana ya kuwafundisha kujenga hoja na kufanya utafiti

Nilichoshuhudia ni aibu, viongozi BAVICHA ni weupe kichwani, CHADEMA mna kazi sana ya kuwafundisha kujenga hoja na kufanya utafiti

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Niweke wazi kwanza sina chama nimekuwa nikipiga spana pande zote, na unaweza kucheki profile yangu kuthibitisha hilo.

So napenda hoja yangu isijadiliwe kishabiki bali objectively

Ni kuhusu vijana wa Chadema, hawa wapo wengi sana mtandaoni kuliko vijana wa vyama vingine, ACT, CUF, CCM n.k hapa Chadema niwapongeze kwa kuwa na base kubwa mtandaoni

Lakini tatizo kubwa la hawa vijana ni kuwa hawawezi kujenga hoja zaidi ya mashambulizi ya dhihaka na matusi, hoja zipo kidogo sana.

Nitatoa mifano michache, juzi kulikuwa na taarifa kuwa umeme umepandishwa bei, waliokuwa wakisambaza habari hizi ni vijana wa Chadema akina Martin, Mdude, Pambalu n.k kucheki kwenye simu yangu nikaona haujapanda bei, lakini sikuridhika maana umeme unauzwa kwa bei tofauti kwa miji tofauti nikasema labda utakuwa umepanda mikoa mingine maana jamaa walikuwa wakilaani kwa nguvu na kujiamini sana.

Sasa Bungeni likaulizwa hilo swali na Makamba akajibu umeme haujapanda na hauwezi kupandishwa kimyakimya na waliotangaza wachukuliwe hatua.

Kule Twitter nikaona pia Nape kaandika kuwa waliosambaza hizo taarifa wachukuliwe hatua.

Sasa nilitegemea vijana wa Chadema ambao ndio walikuwa mstari wa mbele kusambaza taarifa zile wangetoa maelezo kuwa Serikali imedanganya na kuleta ushahidi.

Mfano waambatanishe na msg zs LUKU kuwa umeme wilaya fulani ulikuwa ukinunua wa 10k unapata unit 40 lakini sasa ukinunua unapata unit 20 na screen shot za msg ili kumuumbua Makamba, au labda kama ulipandishwa kisha baada ya kelele za watu ukashushwa basi pia watoe hayo maelezo pamoja na evidence.

Lakini hawakufanya chochote kama hicho, badala yake wakawa wanamshambulia Makamba na Nape kuwa wasiwatishe wao hawatishiki, mara walipiga magoti kwa Magufuli na blah blah kibao.

Sasa najiuliza hiki ni chama kinachotegemea watu wenye akili watakaa wawasikilize na kuwachukulia serious kweli? Maana wanafanya vitu kihuni sana.

Tundu Lissu pamoja na yeye kuwa na lugha za dhihaka, lakini anajenga hoja vizuri na kuweka na facts mara nyingi, sasa hawa vijana kwa nini asiwafundishe?

Jana pia kulikuwa na mjadala Clubhouse ambapo msemaji wa Serikali Gerson Msigwa alikuwa akiulizwa maswali, aliulizwa maswali na watu wengi sasa kuna vijana wa Chadema kuna Mwaipaya, Pambalu na yule Rose Mayemba nao wakapewa nafasi waulize, nilitegemea kwa kuwa wao ni viongozi kwenye siasa wangembana Msigwa kwa maswali magumu na yaliyofanywa utafiti, ila dah ilikuwa ni aibu, jamaa kwanza hawajui hata kujenga hoja ya swali, kwenda wanazunguuka hadi kero, na maswali yenyewe ni famba tupu, mfano yule Pambalu aliuliza "Msigwa tujibu ndio au hapana, Samia yupo nyuma ya kinachoendelea Loliondo?"

Mwaipaya nae hivyo hivyo, kulikuwa na yule dogo wa ACT anaitwa Abdul Nondo kidogo huyu alikuwa na swali la maana, maana alimuuliza Msigwa kuhusu serikali kukiuka amri ya mahakama kuhusu mgogoro wa Loliondo, kuna kesi iliyofunguliwa na watu wa loliondo ambapo serikali iliamriwa isifanye chochote mpaka kesi itolewe hukumu. Msigwa hakuweza kujibu hili.

Halafu kingine ni hawa vijana ambao ndio viongozi wa vijana wengine kukosa busara kama watoto, unakuta hawajaridhika labda na jibu badala ya kuonyesha maturity wanaanza kuropoka hovyo bila mpangilio. Dah!
 
Hata wazee chadema nao hamna kitu.

Yule benson kigaila nae ameitisha Press Comference juzi na anatangazia umma kwamba Mfalme wa Oman [emoji1190] ndie anamiliki eneo kule Ngorongoro.

Kwamba aliingia tokea mwaka 1992.Kama Proffesional hunter tourist, na baadae akalinunua eneo hilo rasmi.

Wakati ukweli ni kwamba Alieingia pale kupitia Ottelo Business Company.

Alikuwa na mpaka sasa ni mwana mfalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu.

United Arab Emirates [emoji1256].

Na eneo husika sio Ngorongoro bali eneo husika ni Loliondo.

NCAA Ngorongoro Conservation Area Authority.
Eneo lake ni kilomita za mraba 8,292.

Na hilo eneo la Mwarabu sio sehemu ya NCAA.

Chadema mnakwama wapiii?
 
Wana bidii wajitathimini wajipime na kuja na Mkakati thabiti wa kujinusuru na kuanza kuzalisha Watoa hoja badala ya Vioja. Na shida ukiwaeleza ukweli wanakimbilia matusi then wanajisifu kuweka mtu kabatini.
 
Niweke wazi kwanza sina chama nimekuwa nikipiga spana pande zote, na unaweza kucheki profile yangu kuthibitisha hilo.

So napenda hoja yangu isijadiliwe kishabiki bali objectively

Ni kuhusu vijana wa Chadema, hawa wapo wengi sana mtandaoni kuliko vijana wa vyama vingine, ACT, CUF, CCM n.k hapa Chadema niwapongeze kwa kuwa na base kubwa mtandaoni

Lakini tatizo kubwa la hawa vijana ni kuwa hawawezi kujenga hoja zaidi ya mashambulizi ya dhihaka na matusi, hoja zipo kidogo sana.

Nitatoa mifano michache, juzi kulikuwa na taarifa kuwa umeme umepandishwa bei, waliokuwa wakisambaza habari hizi ni vijana wa Chadema akina Martin, Mdude, Pambalu n.k kucheki kwenye simu yangu nikaona haujapanda bei, lakini sikuridhika maana umeme unauzwa kwa bei tofauti kwa miji tofauti nikasema labda utakuwa umepanda mikoa mingine maana jamaa walikuwa wakilaani kwa nguvu na kujiamini sana.

Sasa Bungeni likaulizwa hilo swali na Makamba akajibu umeme haujapanda na hauwezi kupandishwa kimyakimya na waliotangaza wachukuliwe hatua.

Kule Twitter nikaona pia Nape kaandika kuwa waliosambaza hizo taarifa wachukuliwe hatua.

Sasa nilitegemea vijana wa Chadema ambao ndio walikuwa mstari wa mbele kusambaza taarifa zile wangetoa maelezo kuwa Serikali imedanganya na kuleta ushahidi.

Mfano waambatanishe na msg zs LUKU kuwa umeme wilaya fulani ulikuwa ukinunua wa 10k unapata unit 40 lakini sasa ukinunua unapata unit 20 na screen shot za msg ili kumuumbua Makamba, au labda kama ulipandishwa kisha baada ya kelele za watu ukashushwa basi pia watoe hayo maelezo pamoja na evidence.

Lakini hawakufanya chochote kama hicho, badala yake wakawa wanamshambulia Makamba na Nape kuwa wasiwatishe wao hawatishiki, mara walipiga magoti kwa Magufuli na blah blah kibao.

Sasa najiuliza hiki ni chama kinachotegemea watu wenye akili watakaa wawasikilize na kuwachukulia serious kweli? Maana wanafanya vitu kihuni sana.

Tundu Lissu pamoja na yeye kuwa na lugha za dhihaka, lakini anajenga hoja vizuri na kuweka na facts mara nyingi, sasa hawa vijana kwa nini asiwafundishe?

Jana pia kulikuwa na mjadala Clubhouse ambapo msemaji wa Serikali Gerson Msigwa alikuwa akiulizwa maswali, aliulizwa maswali na watu wengi sasa kuna vijana wa Chadema kuna Mwaipaya, Pambalu na yule Rose Mayemba nao wakapewa nafasi waulize, nilitegemea kwa kuwa wao ni viongozi kwenye siasa wangembana Msigwa kwa maswali magumu na yaliyofanywa utafiti, ila dah ilikuwa ni aibu, jamaa kwanza hawajui hata kujenga hoja ya swali, kwenda wanazunguuka hadi kero, na maswali yenyewe ni famba tupu, mfano yule Pambalu aliuliza "Msigwa tujibu ndio au hapana, Samia yupo nyuma ya kinachoendelea Loliondo?"

Mwaipaya nae hivyo hivyo, kulikuwa na yule dogo wa ACT anaitwa Abdul Nondo kidogo huyu alikuwa na swali la maana, maana alimuuliza Msigwa kuhusu serikali kukiuka amri ya mahakama kuhusu mgogoro wa Loliondo, kuna kesi iliyofunguliwa na watu wa loliondo ambapo serikali iliamriwa isifanye chochote mpaka kesi itolewe hukumu. Msigwa hakuweza kujibu hili.

Halafu kingine ni hawa vijana ambao ndio viongozi wa vijana wengine kukosa busara kama watoto, unakuta hawajaridhika labda na jibu badala ya kuonyesha maturity wanaanza kuropoka hovyo bila mpangilio. Dah!
Andiko ndeefu ila ndani ni upumbavu mtupu! Umepata wapi huu muda wa kuandika hii takataka?
 
Hata wazee chadema nao hamna kitu.

Yule benson kigaila nae ameitisha Press Comference juzi na anatangazia umma kwamba Mfalme wa Oman [emoji1190] ndie anamiliki eneo kule Ngorongoro.
Kwamba aliingia tokea mwaka 1992.Kama Proffesional hunter tourist, na baadae akalinunua eneo hilo rasmi.

Wakati ukweli ni kwamba Alieingia pale kupitia Ottelo Business Company.

Alikuwa na mpaka sasa ni mwana mfalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu.

United Arab Emirates [emoji1256].

Na eneo husika sio Ngorongoro bali eneo husika ni Loliondo.

NCAA Ngorongoro Conservation Area Authority.
Eneo lake ni kilomita za mraba 8,292.

Na hilo eneo la Mwarabu sio sehemu ya NCAA.

Chadema mnakwama wapiii?
Yaani wanajisemea tu vitu hovyo hovyo bila utafiti, bali habari za kuokota
 
Wana bidii wajitathimini wajipime na kuja na Mkakati thabiti wa kujinusuru na kuanza kuzalisha Watoa hoja badala ya Vioja. Na shida ukiwaeleza ukweli wanakimbilia matusi then wanajisifu kuweka mtu kabatini.
Hata kwenye hii thread si unawaona tayari wameshaanza.

Jamani ni kweli tumeichoka CCM, ila hawa ndio tuwakabidhi nchi?
 
Yaani wanajisemea tu vitu hovyo hovyo bila utafiti, bali habari za kuokota

Mkuu sitaki kupinga yote uliyosema, je hao unaotaka waulizwe maswali magumu wana uwezo wa kuyajibu? Maana umesema Abdul Nondo wangalau aliulizwa swali la msingi, je alijibiwa?
 
Hata wazee chadema nao hamna kitu.

Yule benson kigaila nae ameitisha Press Comference juzi na anatangazia umma kwamba Mfalme wa Oman [emoji1190] ndie anamiliki eneo kule Ngorongoro.
Kwamba aliingia tokea mwaka 1992.Kama Proffesional hunter tourist, na baadae akalinunua eneo hilo rasmi.

Wakati ukweli ni kwamba Alieingia pale kupitia Ottelo Business Company.

Alikuwa na mpaka sasa ni mwana mfalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu.

United Arab Emirates [emoji1256].

Na eneo husika sio Ngorongoro bali eneo husika ni Loliondo.

NCAA Ngorongoro Conservation Area Authority.
Eneo lake ni kilomita za mraba 8,292.

Na hilo eneo la Mwarabu sio sehemu ya NCAA.

Chadema mnakwama wapiii?

Mkuu uko sahihi kabisa kuwa hata wazee wa CDM wote hamna kitu, na udhaifu wao umeuweka wazi. Tuje CCM kwenye wasomi. Wakati wa JK, CCM wote kuanzia wasomi hadi wasiosoma, wazee kwa vijana walisema umeme wa gas ndio habari ya mjini, na umeme wa maji tatizo ni mabadiliko ya tabia nchi. Na mapambio yote yakaimbwa, hadi wananchi wa Mtwara waliogoma gas kupisha mradi, yakawakuta yanayowakuta Wamasai wa ngorongoro leo.

Alipokuja Magufuli habari ya umeme wa gas ikawekwa kwapani, wimbo ikawa ni bwawa la JHNNP ndio mkombozi wetu, lile kundi lote la CCM hakuna aliyesema porojo ya mabadiliko ya tabia nchi wala nini! 6.5t ikawekezwa kwenye umeme wa maji wenye mabadiliko ya tabia nchi, wakaipotezea gas kwa kauli rahisi kuwa gas sio yetu imeuzwa! Mpaka leo hawajaweka wazi nani Kauza gas na kwanani.

Hebu tusaidie hapo kwenye hayo makundi mawili, ni kundi lipi ujinga wake uko wazi kuliko kundi jingine?
 
Niweke wazi kwanza sina chama nimekuwa nikipiga spana pande zote, na unaweza kucheki profile yangu kuthibitisha hilo.

So napenda hoja yangu isijadiliwe kishabiki bali objectively

Ni kuhusu vijana wa Chadema, hawa wapo wengi sana mtandaoni kuliko vijana wa vyama vingine, ACT, CUF, CCM n.k hapa Chadema niwapongeze kwa kuwa na base kubwa mtandaoni

Lakini tatizo kubwa la hawa vijana ni kuwa hawawezi kujenga hoja zaidi ya mashambulizi ya dhihaka na matusi, hoja zipo kidogo sana.

Nitatoa mifano michache, juzi kulikuwa na taarifa kuwa umeme umepandishwa bei, waliokuwa wakisambaza habari hizi ni vijana wa Chadema akina Martin, Mdude, Pambalu n.k kucheki kwenye simu yangu nikaona haujapanda bei, lakini sikuridhika maana umeme unauzwa kwa bei tofauti kwa miji tofauti nikasema labda utakuwa umepanda mikoa mingine maana jamaa walikuwa wakilaani kwa nguvu na kujiamini sana.

Sasa Bungeni likaulizwa hilo swali na Makamba akajibu umeme haujapanda na hauwezi kupandishwa kimyakimya na waliotangaza wachukuliwe hatua.

Kule Twitter nikaona pia Nape kaandika kuwa waliosambaza hizo taarifa wachukuliwe hatua.

Sasa nilitegemea vijana wa Chadema ambao ndio walikuwa mstari wa mbele kusambaza taarifa zile wangetoa maelezo kuwa Serikali imedanganya na kuleta ushahidi.

Mfano waambatanishe na msg zs LUKU kuwa umeme wilaya fulani ulikuwa ukinunua wa 10k unapata unit 40 lakini sasa ukinunua unapata unit 20 na screen shot za msg ili kumuumbua Makamba, au labda kama ulipandishwa kisha baada ya kelele za watu ukashushwa basi pia watoe hayo maelezo pamoja na evidence.

Lakini hawakufanya chochote kama hicho, badala yake wakawa wanamshambulia Makamba na Nape kuwa wasiwatishe wao hawatishiki, mara walipiga magoti kwa Magufuli na blah blah kibao.

Sasa najiuliza hiki ni chama kinachotegemea watu wenye akili watakaa wawasikilize na kuwachukulia serious kweli? Maana wanafanya vitu kihuni sana.

Tundu Lissu pamoja na yeye kuwa na lugha za dhihaka, lakini anajenga hoja vizuri na kuweka na facts mara nyingi, sasa hawa vijana kwa nini asiwafundishe?

Jana pia kulikuwa na mjadala Clubhouse ambapo msemaji wa Serikali Gerson Msigwa alikuwa akiulizwa maswali, aliulizwa maswali na watu wengi sasa kuna vijana wa Chadema kuna Mwaipaya, Pambalu na yule Rose Mayemba nao wakapewa nafasi waulize, nilitegemea kwa kuwa wao ni viongozi kwenye siasa wangembana Msigwa kwa maswali magumu na yaliyofanywa utafiti, ila dah ilikuwa ni aibu, jamaa kwanza hawajui hata kujenga hoja ya swali, kwenda wanazunguuka hadi kero, na maswali yenyewe ni famba tupu, mfano yule Pambalu aliuliza "Msigwa tujibu ndio au hapana, Samia yupo nyuma ya kinachoendelea Loliondo?"

Mwaipaya nae hivyo hivyo, kulikuwa na yule dogo wa ACT anaitwa Abdul Nondo kidogo huyu alikuwa na swali la maana, maana alimuuliza Msigwa kuhusu serikali kukiuka amri ya mahakama kuhusu mgogoro wa Loliondo, kuna kesi iliyofunguliwa na watu wa loliondo ambapo serikali iliamriwa isifanye chochote mpaka kesi itolewe hukumu. Msigwa hakuweza kujibu hili.

Halafu kingine ni hawa vijana ambao ndio viongozi wa vijana wengine kukosa busara kama watoto, unakuta hawajaridhika labda na jibu badala ya kuonyesha maturity wanaanza kuropoka hovyo bila mpangilio. Dah!
Una akili timamu ?
 
Back
Top Bottom