Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Nilidanganywa kumbe chuo hamna mademu

Watalalaje wakati sisi course tunayosoma kuna dem mmoja na tupo 56.Demu mwenyewe wa hovyoo course yenyewe ni Mech eng.
😀😀😀
Mkuu embu kuwa na huruma na mbavu zetu aisee maana sio kwa kicheko hiki
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Umepata Mkopo?

Baada ya mwaka huu kwisha utakuja na uzi unaosema (lecture amekufelisha kisha demu) wait and see
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi

Walikua wanawa encourage wapenda madem Msome kwa bidii ili mhustle mfike chuo..by the way chuo kuna madem sanaaa yan sema huwezi waona kama hauna ela..madem wazuri wanaonekana kwenye sehem zenye hela hela,,andaa house party,nenda club pendwa ya chuo chenu na kipindi mkirudi for supplimentary..
 
Wapi wewe, achakujipaisha kwani madaktari awapendwagi
Fuata jinsi mada inavyokwenda.Sio kwamba mademu hawapendi ila wanapendwa na wanatafutwa. Mimi nasema hivi: Nikiwa chuoni sina taimu na mtu; ni mimi na masomo yangu tu basi.
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
Chuo umefwata nini mkuu, mademu au umeenda kusoma? Soma tu, mademu wapo tu
 
Chuo hakuna mademu[emoji15] [emoji15] ww unasoma nchi gani kwani apa Tanzania kuna vyuo vya wanaume watupu
 
Aisee nilivyokuwa nasoma sekondari nilidanganywa ukifika chuo lazima upate demu kwa njia yoyote ile tena mademu wanakushobokea wenyewe na wanakutongoza wenyewe

Kulaleki kumbe walikuwa wananidanganya bana chuo hamna cha demu wala nini lazima uhaso kama vile sekondari tu yani mademu hakuna kabisa kama nilivyodhania

Nilijua nikifika chuo nitapata demu wa burebure kumbe hamna kitu kulaaaaaleki daah hapa nilipo nawaza ile kishenzi

Madogo wa seko ambao mpo humu msidanganywe chuo hamna mademu kabisa mademu wapo mtaani basi
naona umeenda kukua wewe hujaenda kusoma
 
Back
Top Bottom