Nilienda kanisa fulani leo kumsindikiza rafiki, mavazi ya mabinti kadhaa yamenishangaza. Kwao wanajidanganya Mungu anaangalia roho si mavazi

Thread za kushambulia dini za watu humu zimekuwa nyingi sana
Na JF administration wanaziacha Tu
Maxence Melo
Hakika nimegonga ndipo, Ulipoona hizo picha na ukakumbuka kwamba unachoamini ni kwamba kinachoangaliwa ni roho na si mavazi umekasirika eeh ??

Ndio hoja yangu hio, kama ni mavazi yoyote yanaweza kuvaliwa je hayo ya kwenye picha ni ruksa ?
 
Mbona hata kina mwajuma , Asha, Amina, wamejaa sana mitaani wamevaa mavazi kama hayo
 
Hizo picha zako zimekaa kimitego na uchochezi
 
Dini kitu complicated sana.

Anaeza tokea mtu akapinga hoja yako na ushahidi akatoa kwenye bibilia, vilevile anaeza tokea wa kukubali na ushahidi akatoa kwenye bibilia...
 
Leo siku ya pasaka nilimuahidi rafiki kwamba nitampa kampani kwenda kanisani kwao (ni kanisa mojawapo marufu duniani) lakini pia nami niweze kujionea shghuli zinazofanyika katika siku hii pamoja na kusikiliza maneno takatifu.
kishundu
 
Wakristo Huwa ni wajinga sana,majitu hayaheshimu maadili kabisa ,wanavaa Vimini nk

Mimi ni mkristo ila nilishaacha kwenda sababu zake na Hilo ni Miongoni kwake.
 
Mitaani ni sawa na nyumba ya ibada (msikitini / kanisani ) ???

Jibu la swali lako ni Sio sawa.

Swali la nyongeza Je Katika hizo picha za wanawake zilizowekwa Kuna mdada hapo yupo kanisani?
 
KANISA ni MTU aaminiye.

Madhabahu ni MOYO wa aminiye .

HEKALU ni MWILI wa aaminiye.

Ukienda kwenye kusanyiko la namna hiyo na ukatoa SADAKA Badala ya Kupata baraka, utaondoka na LAANA.

Muulize Roho mtakatifu akupe KIBALI wapi pa kwenda kukusanyika na MAKANISA mengine Kwa IBADA.
 
Mtoa mada lengo lake ni kuchafua Imani za watu na sio uhalisia aliokutana nao yeye.
Uvaaji wa kikahaba umeingia ktk kusanyiko la Wana wa Mungu,

TUZIKEMEE Roho hizo za mbwa.

Imeandikwa, Amtamaniye mwanamke Kwa kumwangalia, amekwisha kuzini naye moyoni.

Mtu huyo akiingia ktk nyumba hizo anamsaidia Ibilisi kuwatoa watu katika uwepo wa Mungu.

Amen
 
Are u sure?
Au una ropoka?
Haya Kuna mwarabu ama mzungu na Wang ama Toyota. Wewe kama umeshaamini tamaduni za watu wengine mpaka majina inaitwa ya kwao mpaka Aina ya chakula plus na mavazi unavaa auto unaona Kama ndio vazi linalopendeza machoni wa aliyeumba viumbe vyote.
Wewe ishi kwa Imani zao mkuu najua nikigusa hapo nakuwa Kama nakugusa personality yako Mana umeaminishwa ivyo tokea ukiwa mdogo so imeshaota kwenye mizizi ya ubongo wako.

Wewe huoni hata wahindi Wana sehemu zao za kuabudu sie waafrika wengi mno wamerubuniwa kuwa asili yao ama tamaduni zao Ni za kishetani na wao wakaamini kweli.


Yani mkuu sie tumeshikwa pabaya mindset, beliefs, lifestyle,culture.
Am sure hata wanao hujawaita majina ya kabila lako Mana unaliona Kama halifai.

Niambie Kama Kuna mzungu kabisa anaitwa Kumar, ama Masawe ,okechukwu.


Kubali umeshaolewa na umeshikwa pabaya na huwezi chomoa Kama unavyoaminisha mtt ama mwanamke kuwa wewe ndiye unampenda na unazo nguvu na Mali so anakuamini hawezi enda kwenye mwanaume mwingine.


Elewa kila Taifa Lina tamaduni zao ama unabisha na dini ikiwepo Ni aina ya tamaduni
 
Are u sure?
Au una ropoka?
Ila mpaka nakuhurumia pia naumia waafrika wamegawanywa Kama wakoloni walivyotugawana ili watutumie vizuri.

Yaani Kama wewe kichwa usikute ukiishi London ama Oman ndio utajisikia ufahari mno kuliko Kijijini kwenu huko ambako Kuna mifupa ya mababu zako hata kizazi Cha mia kutoka kwako.


Ama unapenda new Delhi ama Ni Tokyo mana waafrika huwa wanawapenda Sana vya wenye ngozi za nguruwe kuliko vya kwako.

Kwanza nahisi naongea na mwafrika Ila ana fikra za wenye ngozi za nguruwe
 

Mavazi ni utamaduni na hayana uhusiano na dini. Wakati wa Yesu na sasa watu wanajifunika zaidi hata ya miaka ile. Tatizo ni fikra yule ambaye anafikiria kimatusi ndiye mwenye dhambi sio mvaaji.
 
Hi
Kanisa sio kwa watukufu pekee lipo kuwaokoa hao unao waona.
Wakielimishwa wakaelimika wanabadilika.
Si ajabu mtukufu kuishia motoni Malaya akaona pepo.
Am out.
Hivi kuna moto wa jehanamu 🀣🀣🀣🀣
 
We umekwenda kusali au kuangalia biashara za watu
 
Mavazi ni utamaduni na hayana uhusiano na dini. Wakati wa Yesu na sasa watu wanajifunika zaidi hata ya miaka ile. Tatizo ni fikra yule ambaye anafikiria kimatusi ndiye mwenye dhambi sio mvaaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…