Basi iwekwe option ya watu ku-dislike ili ujumbe uende kwa wahusika,haileti maana naandika ujinga halafu nipewe likes kwa hivi nitazidi kuonyesha ujinga wangu maana najua wapo wanaokubaliana na mimi.Like wakati mwingine ni kuonyesha umeona post
Kwahiyo ukiandika pumba unaambiwa tumeona pumba zako
Haijawahi kukutokea umeandika ujinga aki-like mtu mnayeheshimiana unaogopa sana?
Mi napenda kuzururia mitaa ya mbali na ninapoishi ndiyo maana mtaani kwangu sina kazi yoyote.mkuu unakwma wapi mbn hawa viumbe wametapakaa kila kona , ila hata hivy kwa watoto wa kigogo sikushaur mana ni Break p*mbu tu ndio utaambulia
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Hold hiyo alama ya 'Thanks' itakuletea option na 'Dislike' utaiona.Basi iwekwe option ya watu ku-dislike ili ujumbe uende kwa wahusika,haileti maana naandika ujinga halafu nipewe likes kwa hivi nitazidi kuonyesha ujinga wangu maana najua wapo wanaokubaliana na mimi.
Mods tunaomba hiki kitu,DISLIKE BUTTON iwepo.
Cc:invisible
Yah mkuu nimeona,ila kwa wanaotumia app dislike haipo ingefaa huku nako ikawekwa ili kuwa rahisi.Hold hiyo alama ya 'Thanks' itakuletea option na 'Dislike' utaiona.
Kuna app mpya hiyo ina option ya kudislikeYah mkuu nimeona,ila kwa wanaotumia app dislike haipo ingefaa huku nako ikawekwa ili kuwa rahisi.
Naipataje hiyo?Kuna app mpya hiyo ina option ya kudislike
Naipataje hiyo?
Nakuhakikishia kuwa huyo mtoto wa kiume anakuja kuwa zigo na utajuta kumzaa!
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
SahihiBasi iwekwe option ya watu ku-dislike ili ujumbe uende kwa wahusika,haileti maana naandika ujinga halafu nipewe likes kwa hivi nitazidi kuonyesha ujinga wangu maana najua wapo wanaokubaliana na mimi.
Mods tunaomba hiki kitu,DISLIKE BUTTON iwepo.
Cc:invisible
Mzee mimi nimesoma saikolojia. Najua juu ya malezi ya mtoto katika saikolojia inatarajiwa nini kiwe na nini kisiwe.
Hoja yako ya mtoto kua karibu na mama siyo tatizo as katika saiokoloji inatarajiwa mtoto wa kike awe karibu na baba, hii huitwa Electra complex, na wa kiume awe karibu na mama, hii huitwa Oedipus complex.
So there is nothing wrong huyo mtoto akiwa karibu na mama.
Mtoto/ binadamu tabia anaidevelop. Inakua shaped kuanzia ndani mpaka nje anapoenda, huyo mtoto kua mzigo kutategemea zaidi na treatment anayogewa na wazazi na wenzake anaokua nao na siyo hiko mnachowaza.
Mnachowaza ni tamthilia na muvi ndiyo zinatoa hizo notions.
kanisa la anglican lilitokana na mambo hayohayo ya kutaka mtoto wa kiumeHali hii hutokea katika ndoa nyingi. Mke anazaa watoto wa jinsia moja tu mfululizo, ama wa kike au wa kiume tu. Wazazi wengi huwa wanapenda wapate watoto wa jinsia zote. Kwa sababu hiyo inapotokea wanapata watoto wa kiume tu au wa kike tu huanza kutafuta njia ya kutatua 'tatizo' hilo. Wengine huenda kwa madaktari kutafuta ushauri wa kisayansi na kufanikiwa kupata mtoto wanayemtaka; lakini wengine ushauri wa kisayansi bado hauwasaidii kupata mtoto wa kiume au wa kike.
Wazazi wanapofikia hali hiyo wengine huenda kwa waganga wa kienyeji na huko huishia kuchanganyikiwa tu kutokana na masharti magumu wanayoambiwa na mganga. Jaribu kuwaza mtu anaambiwa apeleke kwa mganga kinyesi "fresh" cha tembo ndio apate dawa!
Nakumbuka mme fulani alisababisha mgogoro katika ndoa yake baada ya kumgombeza mke wake kwanini anazaa watoto wa kike tu. Na waume wengine huamua kuwaacha wake zao au kuoa mke wa pili ili wajaribu kama watapata watoto wanaowataka kwa njia hiyo. Njia zote hizo zinaposhindikana hubaki na huzuni isiyokoma.
Mimi pia nimepitia hali hiyo. Mara ya kwanza mke wangu alipata mtoto wa kike. Mara ya pili akajifungua tena mtoto wa kike. Tulikuwa tunajitahidi angalau tupate mtoto kila baada ya miaka miwili. Mara ya tatu mke wangu akazaa tena mtoto wa kike. Hee nikaanza kufadhaika, maana nilitamani na mimi niwe na mtoto wa kiume. Sikumlaumu wala kumgombeza mke wangu kwanini anazaa watoto wa kike tu kwa sababu najua kisayansi mwanaume ndiye anayehusika zaidi kufanya mtoto wa jinsia ipi azaliwe.
Katika kutafakari nifanyeje nikakumbuka yale maneno ya Mungu yasemayo "Ombeni nanyi mtapewa" Nikakumbuka pia habari za mama mmoja katika Biblia aliyekuwa hapati kabisa watoto lakini baada ya kumwomba Mungu akapata.
Kwa sababu hiyo na mimi nikaanza kumwomba Mungu kwa juhudi kwamba mke wangu atakapojifungua mtoto wa nne, awe wa kiume. Ndugu zangu, Mungu hana upendeleo, alisikia maombi yangu na kutupatia mtoto wa kiume. Kinachotakiwa tu ni kuhakikisha mahusiano yetu na Mungu ni mazuri na kuomba kwa imani, pasipo shaka. Yote yawezekana kwake aaminiye(Mk 9:23).
Hakuna kitu mbaya kwa baba kama kuzaa watoto wa kike tu. Bora mara milioni kuzaa wa kiume tu
kiukweli mm noambea tu nipate wakiume tupu, mambo ya kuja kuona mwanangu anavuliwa chupi mara amkatikie mtu mauno kitandani mara ageuzwe geuzwe sijui dog style sijui popo kanyea mbingu aah sitaki hata kusikia mana kwangu mm hilo halijanikalia sawa kabisa. Mtoto wa kike raha sana kulea akiwa mdogo huwa hawsumbui hata kidogo lkn sas ngojea akishaanza kuota chuchu uone balaa lake, hlf kibaya zaidi siku hiz watu hawaelewi kama huyu ni mtoto au vip yani wahuni wanaweka tu.
Sent from my SM-G900I using JamiiForums mobile app
Oohh halleluyaah nami ni muhanga wa jinsia nina watatu wa kiume nawish Mungu asikie kilio changu wa4 awe dada wa vijana wangu
Mungu nikumbuke nami kama ulivyomkumbuka kaka huyu [emoji120]
Si vizuri kuchagua Gender. Lakini tuwe wakweli watu wengi hupenda watoto mchanganyiko.
Issue siyo mtoto wa kike, Hata ukizaa watoto wa kiume pekee huwezi kufurahia.