Andiko lako linatufanya tusome kwa kupanua Pupil hadi mwisho ndio lieleweke.
Hongera kwa kuazimisha 40 mbili tofauti.
Kuhusu suala la mapacha kupata kwa nia yako na ukapata, nitahitaji unielimishe kwani uelewa wangu siwezi kuutumia kuforce nipate mapacha
Kati ya vitu vilinisumbua wiki hii hapa JF ni kujua uwepo wako Pisi kali bahati mbaya huwa siendi PM kwa mtu. Nilitaka kukwambia mojawapo ya maelekezo yako pale Kariakoo nimeyatekeleza na mwanzo sio mbaya.
Hongera kupata mtoto. Alafu sikujua kama uko Mwanza
Hyo sindano bongo ipo nataka mapacha kwa mkupuo nipumzike kuwa mteja wa kudumu wa laborWakati wenzako wanakimbizana na umande kwenda shule kupata maarifa wewe unakimbilia kuchunga ng'ombe
Mwisho wake ndo huu Kila jambo unaona ni utapeli kumbe ni kukosa maarifa.
Mpuuzi mmoja wewe.View attachment 1823102
Ameen napokea hizo ng'eee ng'eee😂😍Congratulations honey.
Mungu akubariki familia Yako na awajaalie uzao Mwema.
Wasio na watoto Mungu awabariki pia na awafute chozi lenu. Ipo siku ng'eeeee ng'eeeee zitatawala kwenye nyumba zenu.
InshaAllah Dear. Zitatawala nyumba Yako kwa amri ya Mwenyezi Mungu.Ameen napokea hizo ng'eee ng'eee😂😍
Hongera na pole .kuhusu mapacha nasikia kuna mahala Rukwa ukipiga kambi ukanywa maji ya mto fulani mapacha yanakuhusu. Otherwise msaada zaidi uko mikononi mwako kama unaweza changanya DNA usijuvunge makamanda tupo wengi humu .Yangu ni hayo mengi ni sumu.Asanteni woteeeeee sorry kwa uandishi mbaya
Nina furaha hata sijui naandika nini
Mwanangu wa kwanza alifariki,
Mungu amenibariki na mtoto mwingine na kesho ndio tunatoka 40
Asanteni tena na tena
Mtuombee[emoji1431][emoji1431]
Sawa bhana..kila la kheri.Bado
Na nataka kumzalia mapacha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweli kichwa maji logic na yote yalioandikwa sijaelewa hebu okoa jahazi kwa kunielewesha.Hongera na Mungu akukuzie kijana wako [emoji120]
Bado napata mkanganyiko kidogo.Asanteni woteeeeee sorry kwa uandishi mbaya
Nina furaha hata sijui naandika nini
Mwanangu wa kwanza alifariki,
Mungu amenibariki na mtoto mwingine na kesho ndio tunatoka 40
Asanteni tena na tena
Mtuombee[emoji1431][emoji1431]
Mwanza kubwa,tupe locationNianze kwa kumshukuru Mungu hadi kufika hapa
Kesho ni 40 ya mwanangu, my boy
tangu kufariki my first child my queen rest well my angel [emoji1431][emoji1431]
Nimepata a health baby boy na kesho ndio 40 yake
Karibuni sanaaaaaaaa location Mwanza[emoji12][emoji12]
Tukifisha 6months nahitaji kupata mapacha kwa uwezo wa Allah[emoji2972][emoji2972] yeyote anayefahamu jinsi ya kupata twins
Niko na furaha ee Mungu umejua kunifuta machozi nilindie kipenzi changu malaika wako[emoji2972]
Safari yangu as usual ilikua ya furaha sana na uoga ndani yake
Furaha niliyonayo[emoji1430][emoji1430] I cant explain it
Nawaombea wote wenye uhitaji Mungu awabariki mpakate na nyinyi
Mungu atukuzie[emoji1431][emoji1431]