Nilifiwa na mwanangu wa kwanza, namshukuru Mungu nimepata mtoto mwingine wa kiume

Nilifiwa na mwanangu wa kwanza, namshukuru Mungu nimepata mtoto mwingine wa kiume

Usimchukulie mtoto mpya kama compensation ya ambaye hayupo ukifanya hivyo utakua una criticise mno pia itafanya uexperience depression.

Mimi nawapenda. Anaitwa nani?

Abdulrahim (mama abdu, mama Rahim au mama imu[emoji7][emoji7])
 
Hongera na pole .kuhusu mapacha nasikia kuna mahala Rukwa ukipiga kambi ukanywa maji ya mto fulani mapacha yanakuhusu. Otherwise msaada zaidi uko mikononi mwako kama unaweza changanya DNA usijuvunge makamanda tupo wengi humu .Yangu ni hayo mengi ni sumu.

Haha nilionaga unaitwa mto pacha Kama sikosei
 
Bado napata mkanganyiko kidogo.

Nimepitia uzi wako wa nyuma uliotoa taarifa ya kumhusu yule wa mwanzo aliyetangulia. Uzi ulikuwa wa mwaka Jana Sept 28, ulidai kuwa aliondoka akiwa na siku 2.

Kwa mahesabu kuanzia mwezi wa 10 mwaka Jana hadi mwezi huu Juni mwaka huu jumla ni miezi 9. Kama ulibeba ujauzito baada ya yule kuondoka, hadi sasa ndio ilikuwa muda wa kujifungua.

Sasa kama unasema mtoto huyu ndio anafikisha 40, je hii imekaaje?, au alizaliwa kabla hajafikisha miezi 9? Naomba unisaidie muongozo

Nilijifungua muda tu

Sio kila kitu napost exactly siku hiyo hiyo au miezi hiyo hiyo nilianza kushika simu nina miezi3 tangu kufariki mtoto

Na hata huyu nimepost sio kama kazaliwa jana now tunaelekea miezi miwili

Kweli mtoto alikaa siku3 na hadi kupost ilipita miezi Ndio nikapost

Mengine sio kila kitu napost at the same time my dear

Kwasababu.....
 
Asanteni sana sana sanaaaa furaha niliyonayo natamani hata kupost pics zetu humu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mniombee furaha idumu [emoji1431][emoji1431]

Namuangalia my kid moyoni nalia kwa furaha

Mtoto raha jamani

Nawaombea wote wenye uhitaji Mungu awabariki msichoke[emoji2972][emoji2972]

Voda fasta wenzangu tuungane[emoji1787][emoji1787] November[emoji2224][emoji2224]nampa yote baba chanja
 
Nilijifungua muda tu

Sio kila kitu napost exactly siku hiyo hiyo au miezi hiyo hiyo nilianza kushika simu nina miezi3 tangu kufariki mtoto


Na hata huyu nimepost sio kama kazaliwa jana now tunaelekea miezi miwili


Kweli mtoto alikaa siku3 na hadi kupost ilipita miezi Ndio nikapost

Mengine sio kila kitu napost at the same time my dear

Kwasababu.....
Ahsante kwa muongozo.

Kila la kheri!
 
Nianze kwa kumshukuru Mungu hadi kufika hapa


Kesho ni 40 ya mwanangu, my boy

tangu kufariki my first child my queen rest well my angel [emoji1431][emoji1431]

Nimepata a health baby boy na kesho ndio 40 yake

Karibuni sanaaaaaaaa location Mwanza[emoji12][emoji12]


Tukifisha 6months nahitaji kupata mapacha kwa uwezo wa Allah[emoji2972][emoji2972] yeyote anayefahamu jinsi ya kupata twins

Niko na furaha ee Mungu umejua kunifuta machozi nilindie kipenzi changu malaika wako[emoji2972]


Safari yangu as usual ilikua ya furaha sana na uoga ndani yake

Furaha niliyonayo[emoji1430][emoji1430] I cant explain it

Nawaombea wote wenye uhitaji Mungu awabariki mpakate na nyinyi

Mungu atukuzie[emoji1431][emoji1431]
Mtafute mjane wa Mengi atakusaidia kupata mapacha
 
Bado napata mkanganyiko kidogo.

Nimepitia uzi wako wa nyuma uliotoa taarifa ya kumhusu yule wa mwanzo aliyetangulia. Uzi ulikuwa wa mwaka Jana Sept 28, ulidai kuwa aliondoka akiwa na siku 2.

Kwa mahesabu kuanzia mwezi wa 10 mwaka Jana hadi mwezi huu Juni mwaka huu jumla ni miezi 9. Kama ulibeba ujauzito baada ya yule kuondoka, hadi sasa ndio ilikuwa muda wa kujifungua.

Sasa kama unasema mtoto huyu ndio anafikisha 40, je hii imekaaje?, au alizaliwa kabla hajafikisha miezi 9? Naomba unisaidie muongozo

Hahah, mkuu wakati mwingine hapa jeiefu we soma mada weka komenti halafu sogea kwenye uzi mwingine...

Unaweza ukakuta hata mwandishi wa huu uzi ni shangazi wa mtoto, mambo ya kuficha code kitaa...
 
Hahah, mkuu wakati mwingine hapa jeiefu we soma mada weka komenti halafu sogea kwenye uzi mwingine...

Unaweza ukakuta hata mwandishi wa huu uzi ni shangazi wa mtoto, mambo ya kuficha code kitaa...
Hahahahaa, ni kweli mkuu.

Hata hivyo tayari kashanipa muongozo
 
Asanteni woteeeeee sorry kwa uandishi mbaya

Nina furaha hata sijui naandika nini


Mwanangu wa kwanza alifariki,

Mungu amenibariki na mtoto mwingine na kesho ndio tunatoka 40

Asanteni tena na tena

Mtuombee[emoji1431][emoji1431]
Hii ni sawa. Hongera
 
Bado napata mkanganyiko kidogo.

Nimepitia uzi wako wa nyuma uliotoa taarifa ya kumhusu yule wa mwanzo aliyetangulia. Uzi ulikuwa wa mwaka Jana Sept 28, ulidai kuwa aliondoka akiwa na siku 2.

Kwa mahesabu kuanzia mwezi wa 10 mwaka Jana hadi mwezi huu Juni mwaka huu jumla ni miezi 9. Kama ulibeba ujauzito baada ya yule kuondoka, hadi sasa ndio ilikuwa muda wa kujifungua.

Sasa kama unasema mtoto huyu ndio anafikisha 40, je hii imekaaje?, au alizaliwa kabla hajafikisha miezi 9? Naomba unisaidie muongozo
Humu ndani kuna watu makini sana.

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom