Nilifiwa na mwanangu wa kwanza, namshukuru Mungu nimepata mtoto mwingine wa kiume

Nilifiwa na mwanangu wa kwanza, namshukuru Mungu nimepata mtoto mwingine wa kiume

Nianze kwa kumshukuru Mungu hadi kufika hapa.

Kesho ni 40 ya kifo cha mwanangu my boy, tangu kufariki my first child my queen rest well my angel [emoji1431][emoji1431] lakini nimepata tena a health baby boy na kesho ndio 40 yake. Karibuni sanaaaaaaaa location Mwanza[emoji12][emoji12]

Niko na furaha ee Mungu umejua kunifuta machozi nilindie kipenzi changu malaika wako[emoji2972]. Safari yangu as usual ilikua ya furaha sana na uoga ndani yake.

Furaha niliyonayo[emoji1430][emoji1430] I cant explain it. Tukifisha 6months nahitaji kupata mapacha kwa uwezo wa Allah[emoji2972][emoji2972] yeyote anayefahamu jinsi ya kupata twins.

Nawaombea wote wenye uhitaji Mungu awabariki mpakate na nyinyi.

Mungu atukuzie[emoji1431][emoji1431]
Hapa Umeandika nini?

Kesho ni 40 ya kifo cha mwanangu my boy, tangu kufariki my first child my queen rest well my angel [emoji1431][emoji1431] lakini nimepata tena a health baby boy na kesho ndio 40 yake. Karibuni sanaaaaaaaa location Mwanza
 
Sio lazima muelewe Kila kitu, Elewa ulivyoelewa!!!
 
Nianze kwa kumshukuru Mungu hadi kufika hapa.

Kesho ni 40 ya kifo cha mwanangu my boy, tangu kufariki my first child my queen rest well my angel [emoji1431][emoji1431] lakini nimepata tena a health baby boy na kesho ndio 40 yake. Karibuni sanaaaaaaaa location Mwanza[emoji12][emoji12]

Niko na furaha ee Mungu umejua kunifuta machozi nilindie kipenzi changu malaika wako[emoji2972]. Safari yangu as usual ilikua ya furaha sana na uoga ndani yake.

Furaha niliyonayo[emoji1430][emoji1430] I cant explain it. Tukifisha 6months nahitaji kupata mapacha kwa uwezo wa Allah[emoji2972][emoji2972] yeyote anayefahamu jinsi ya kupata twins.

Nawaombea wote wenye uhitaji Mungu awabariki mpakate na nyinyi.

Mungu atukuzie[emoji1431][emoji1431]
Pole sana mkuu, na hongera pia kwa new baby
 
Japo mtoto wa kiume hupaswi kumwita queen . Furaha isivuke mipaka ukamvunjia heshima huyo mwanevu, ''jembe".

Apumzike kwa amani.

Aidha hongera kwa kupata kijana mwingine.
 
Congratulations honey.

Mungu akubariki familia Yako na awajaalie uzao Mwema.

Wasio na watoto Mungu awabariki pia na awafute chozi lenu. Ipo siku ng'eeeee ng'eeeee zitatawala kwenye nyumba zenu.
Japo wengine mimba walitupa chooni. Lkn Hawa Mungu awasamehe pia!
 
Japo mtoto wa kiume hupaswi kumwita queen . Furaha isivuke mipaka ukamvunjia heshima huyo mwanevu, ''jembe".

Apumzike kwa amani.

Aidha hongera kwa kupata kijana mwingine.

Aliyefariki alikua wa kike, huyu wa sasa wa kiume
 
Back
Top Bottom