Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

Nilifuma SMS za mapenzi kwenye simu ya mke siku yetu ya ndoa, bado nikamuoa lakini sasa nahisi kuchanganyikiwa sielewi nifanyeje?

Kwema Wadau?

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.

Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.

Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.

She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....

Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....

WENU KATIKA MTIHANI MZITO
Ushauri wangu inabidi hapo ulieee sana machozi yakitoka ukinyamza hutafanya tena upuuzi kama huo.
 
Kwa apa ndugu umeongeza tatizo, watu hushauri kutokana na experience zao au utani utani tu ila wewe unazidi kuumia ...kaa na mkeo chini mlijadili uone kama ana mwelekeo wa kubadilika, mpe msimamo Yako ukiwa very serious, na unamwambia hii ni last chance akirudia ajue ndo mwisho wa mahusiano yenu
ahsante kaka
 
Kwema Wadau?

Naombeni ushauri wenu ndugu zangu,Nilikutana na Ex wangu ambaye aliniacha way back akaolewa but hakudumu ndoani alikaa 5 months only then after sometime akaolewa tena lakini hakudumu pia.Sababu ya ndoa zote kutodumu ilikuwa kutopata Mimba kiasi kwamba akasema hawezi kuolewa tena hadi abebe mimba,ajifungue ndio ataolewa.

Nilikutana nae Last Year kwenye mwezi wa Saba na tukarudisha mawasiliano na akaibuka Maghetoni nakumbuka ilikuwa tarehe 30/07/2023 akastay home kwangu kama three days akaondoka then after 2 days akarudi tena ikawa ndo kamchezo yaani anakuja week anaondoka then anarudi mwisho tukaanza kuishi pamoja.

Mwezi wa 9 hivi akanambia hajaona siku zake anahisi ana Mimba maana alivyokuja First Time alikuwa kwenye siku za hatari lakini hawezi kushangilia maana alishakutana na hizo mbanga mara nyingi lakini mwisho wa siku bila bila so tuvute subira hadi kitumbo kitoke ndo tukapime tuthibitishe kitu ambacho baadae tulikifanya na ikaonekana kweli mjamzito na kwa uwezo wake MUNGU akajifungua tarehe 19/04/2024.

She was so Happy kufanikiwa kupata mtoto na tukakubaliana tufanye kuhalalisha tu kwa ndoa simple tu maana yeye alishaolewa mara 2 so hataki tena mbwembwe.Kwahiyo Ijumaa ya tarehe 10/5/2024 tulifunga ndoa.Lakini kabla ya kufunga ndoa hiyo,asubuhi ya siku hiyo ya harusi/Ndoa nilichukua simu yake nitumie kumpigia mshenga wangu ili kupanga ratiba vizuri ya shughuli ndo nilipokutana na jambo ambalo limefanya niombe USHAURI HUU....

Nilikuta SMS anachati na jamaa anaomba Hela ya Matumizi akimwambia jamaa kuwa mtoto hana Pampers na pia Kodi yake alipopanga Imeisha.Tena anamuita mume wake kabisa "TUNAOWAAMINI NDO WANAOTUUMIZA" Kiukweli niliumia sana maana hata nilipomuuliza alianza kwa kukana kuwa hizo SMS za zamani lakini nilipombana zaidi akakiri kwamba jamaa ni Ex wake na alikuwa anamdanganya tu na wala jamaa hakutuma hela na pia wameishablokiana.Kiufupi ndoa tumefunga Fresh lakini mie sina IMANI wala AMANI kabisa yaani nawaza mengi hadi nahisi kuchanganyikiwa so guys please naomba ushauri wenu.....

WENU KATIKA MTIHANI MZITO
Mwamba hapo umepigwa 100%, jiandae kwa maumivu makali zaidi ndani ya ndoa. Hizo mbanga huwa sio za kukimbilia kuzioa, hizo waachie wazee waliofiwa na wake zao, watu wazima waliochana na wake zao nk.

Ulikubali vipi kizembe hivyo kuingia kichwa kichwa na kuoa?
Ulilogwa?
 
Na bado..
Ila huyo mkewako ana nyota ya ndoa sana ..
Inaonekana kakudanganya mengi sana
.
Haya na wewe muache akaolewe kwingine
Upuuzi mtupu ..
 
Mungu aliamua kukusaidia kwa kukuonyesha kitu kikubwa kibaya kabla ya kumuoa, sasa ikawaje tena ukapuuzia?

Hiyo issue ya Sms ulipoipata siku ile, ilipaswa kwanza uhairishe suala la kuoa, ungepiga break na kusikilizia kwa muda zaidi.
 
Narudia tena kuwaonya vijana, ukishaona cheche, chenga chenga au Red light kwenye njia ya kuelekea kuoa, unapaswa mara mara kupiga break, vuta kabisa na hand break, subiri zaidi na tafakari upya. Huenda mtu anayetaka kumuoa/kukuoa sio sahihi au wakati wa kuoa sio sahihi.
 
Narudia tena kuwaonya vijana, ukishaona cheche, chenga chenga au Red light kwenye njia ya kuelekea kuoa, unapaswa mara mara kupiga break, vuta kabisa na hand break, subiri zaidi na tafakari upya. Huenda mtu anayetaka kumuoa/kukuoa sio sahihi au wakati wa kuoa sio sahihi.
sure ndugu yangu
 
Ushauri wangu wa kukusaidia tu kwa sasa ni huu, please zingatia zaidi.
Mosi, kaa kwa tahadhari kubwa, ishi kwa hekima, kuwa mwerevu zaidi na makini. Fanya hivi kwa at least miaka mitatu.
Pili, muombe sana Mungu kuhusu hatma yako na hatma ya ndoa yako.
Mwisho, endelea kuishi na mkeo wa amani na furaha, subiri muda na nature iamue.
 
Ushauri wangu wa kukusaidia tu kwa sasa ni huu, please zingatia zaidi.
Mosi, kaa kwa tahadhari kubwa, ishi kwa hekima, kuwa mwerevu zaidi na makini. Fanya hivi kwa at least miaka mitatu.
Pili, muombe sana Mungu kuhusu hatma yako na hatma ya ndoa yako.
Mwisho, endelea kuishi na mkeo wa amani na furaha, subiri muda na nature iamue.
ahsante sana kaka
 
ahsante sana kaka
Wewe ni mwanaume, hii issue nina uhakika utatoboa tu, kujua tatizo na kuomba ushauri hiyo ni hatua kubwa umeweza kuifikia, the rest ni muda, umakini na uvumilivu.
Mwanaume kukosea katika maamuzi ya ndoa sio jambo la ajabu, wanaume waliofanikiwa kwenye ndoa ni wale walioweza kupambana kurekebisha makosa waliyoyafanya.
 
Wewe ni mwanaume, hii issue nina uhakika utatoboa tu, kujua tatizo na kuomba ushauri hiyo ni hatua kubwa umeweza kuifikia, the rest ni muda, umakini na uvumilivu.
Mwanaume kukosea katika maamuzi ya ndoa sio jambo la ajabu, wanaume waliofanikiwa kwenye ndoa ni wale walioweza kupambana kurekebisha makosa waliyoyafanya.
Nashkuru sana kaka maana umenipa nguvu na moyo naamini nikijipa muda kwa umakini,busara na uvumilivu nitatoboa inshaallah maana MUNGU yuko pamoja na wenye SUBRA.Nashkuru sana ndugu yangu
 
Back
Top Bottom