Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Kanunue viagra utumie kabla ya sex...huo mshipi utasimama vizuri na utachelewa kumwaga. Pia tafuta mke uoe itakusaidia kuondokana na mawazo hayo ya kishetani
Kumbuka pia Viagra unakunywa kwa ushauri wa daktari ambapo yeye anaona aibu kwenda hospitali maana anaweza kupiga Viagra kumbe ana tatizo la moyo.

Ila pole yake aisee
 
2nasikitika kukupoteza
 
cc Bharka mwenzio huyu😠
 
1. Inabidi ujikubali wewe ni mwanaume na unapaswa uishi kiume.
2. Omba toba kwa Mungu wako, kwa maisha ulio ishi apo mwanzo, kwa kadiri ya imani yako. Ili Mungu alete mabadiliko kwenye maisha yako.
3. Jisamehe mwenyewe na uamini ya kwamba yale yalikuwa ya kale na sasa wewe ni mtu mpya.
4. Ishi maisha ya kawaida kama mtu mpya au mtu mwingine ambaye hakuwahi kupitia maisha hayo.

najua itakuwa ngumu ila unaweza kuleta mabadiliko kwenye maisha yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…