Niliharibiwa, nimepata uraibu wa kutamani Wanaume. Naomba msaada niweze kuacha

Dah pole sana. Kama mzazi nimeumia sana
 
Cha kusikitisha ni kwamba, huyu jamaa amekuwa genuine na kaja kuomba msaada lakini cha ajabu uzi huu nao ulifutwa. Nilijua kuwa huu ndiyo uzi uliofutwa sababu niliona uzi mwingine ukilalamikia kitendo cha uzi huu kuondolewa.
Aliyeuondoa aliona ni bora mwenye uzi aendelee kugongwa kuliko kuuacha uzi ili watu waweze kumsaidia kuondokana na hiyo hali.
 
Pole Kwa hiyo changamoto unayopitia....

Suala la wewe kufika mshindo kabla ya dakika 1 lisiwe jambo la kukukatisha tamaa na kufanya uendelee kutamani kuingiliwa na Wanaume wenzako.

Tupo Wanaume wenzako wengi tu ambao pamoja na kumwaga Chini ya dakika 1 lakini bado tunaendelea kufurahia Uanamme wetu

Nashauri kama una hilo tatizo la kumwaga Chini ya dakika 1, hakikisha Mpenzi wako mnaandaana Kwa yeye kukunyonya Ub****o wako hadi umwage

Baada ya hapo, muombe akufute na kitambaa cha Maji ya moto kisha akusinge (Akumasaji) mb***o yako hadi inaposimama tena

Ikiwa kwenye hali hiyo hiyo ya kusimama, mwambie aikalie mkifanya huku mnaangaliana usoni ili kuongeza hisia Kwa huyo girlfriend wako

Hakuna raha Kwa Mwanaume kama kuendelea kuwa Mwanaume
 
Dah babu uko wapi kwani.....🫦
 
Dah....!

Msaada wako uko Kwa Yesu....!
SHETANI alifanikiwa kufanya kitu ukiwa Tumboni...!
That's why ulipoanza kukua hukuitaji wewe kuwaambia watu una feel Nini, ulikua una feel wewe, then wao Wana take Action....!

Issue za Ushoga na Usagaji ni mpango wa SHETANI, na zinakua planted toka Mimba.....!
Lengo la SHETANI kuharibu Watoto kama wewe....!

Sikujui wewe ila najua tu wewe sio mtu wa kawaida, na hautakua mtu wa kawaida, I mean utakua Mtu Mkuu baadaye..... !
Vile utavyokua SHETANI aliona kabla, ili kuzuia usiwe yule alifanya kile kilifanya uwe ulivyokua...!

Yesu tu atakuponya na Makovu na Maumivu yote....! Na utakua Mwanaume kama Wengine...!

Ulichonacho ni Evil Spirit, ikiondoka utakua huru...!

Mungu akusaidie.
 
Mtoa mada pole kwa unayopitia
Ntakuuliza maswali machache tujue tunaanzia wapi

1 Ukiwa unaingiliwa unapata erection na unafika mshindo?
2 Ukikaa na vijana wenzako wa kiume unakua na hali gani UNAJIAMINI? HAUHISI UOGA KUA INFERIOR?
3 Mtu gani unamuangalia kama Idol wako
 
Hv Mwinya255 Umefurahishwa na nn kwenye situation km hii?
 
Wewe umeshakubuhu huna haja ya kuacha tena! Fungua matawi mikoani upate wateja wengi
 
Aloooooooo.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…