Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
HahahahahaNawe ushaoa?
Soma mpaka mwisho halafu niambie "KOSA LANGU NI NINI?"Kanuni za KARMA unazifahamu lakini? Kama huzijui muulize Ole Sabaya au Humphrey Polepole.
Baada ya kujua kua ni mke wa mtu na wewe kuendelea kumkula.Soma mpaka mwisho halafu niambie "KOSA LANGU NI NINI?"
#YNWA
Mkeo akienda chuo sijui kujiendeleza hesabu maumivu tu mmaee!Ila hiv vyuo bas tu
Mkeo akienda chuo sijui kujiendeleza hesabu maumivu tu mmaee!
Atabambiwa na madogo wa 4m4 na 4m6 leaver walio festi yia.
Yan ni tabu sana inahitaji mtu aliekomaa kiakili kwel kwelMkeo akienda chuo sijui kujiendeleza hesabu maumivu tu mmaee!
Atabambiwa na madogo wa 4m4 na 4m6 leaver walio festi yia.
Mi sijaelewa....Baada ya kujua kua ni mke wa mtu na wewe kuendelea kumkula.
Na bado mmepanga akija masters muendeleze ka mchezo kenu.
Karma haitakuacha salama
π³π³π³π³π³ Nikatafute nini huko kwenye NDOA!?Nawe ushaoa?
UmeanzaNawe ushaoa?
Mkumbushe SLOGAN ni ileile "USIOE" kwa maana "DUNIA HAIELEWEKI"Umeanza
Nini?Umeanza
Lini mvulana akaoa?Nini?