Niliishi na mwanamke kwa miaka 2 bila kujua ni mke wa mtu

Mkeo akienda chuo sijui kujiendeleza hesabu maumivu tu mmaee!

Atabambiwa na madogo wa 4m4 na 4m6 leaver walio festi yia.
Mkeo akienda chuo sijui kujiendeleza hesabu maumivu tu mmaee!

Atabambiwa na madogo wa 4m4 na 4m6 leaver walio festi yia.
Yan ni tabu sana inahitaji mtu aliekomaa kiakili kwel kwel
 
Baada ya kujua kua ni mke wa mtu na wewe kuendelea kumkula.
Na bado mmepanga akija masters muendeleze ka mchezo kenu.
Karma haitakuacha salama
Mi sijaelewa....
Kwani Karma ni yangu au ya mchepukaji.

Kama angesema "NO" tungefika hapa?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…