Niliishi na mwanamke kwa miaka 2 bila kujua ni mke wa mtu

Niliishi na mwanamke kwa miaka 2 bila kujua ni mke wa mtu

Wajumbee salamaaa....
Liverpool tumeingia Nusu fainali bana ya Carabao cup [emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]..

Heko kwa Klop..!!

Tuache hayo.

Niliajiriwa 2013 nikiwa na Diploma.
Baada ya kukaa mwaka mmoja tu nikaenda kusoma..!!
Ndio ni mwaka mmoja tu, hata barua ya kuthibitishwa niliipata nikiwa darasani Nina ruhusa ya kusoma..!!

Basi bana 2014 nilivyoingia chuo sikutaka kujulikana kuwa Mimi ni Mtumishi wa Umma.

Kwa kwa umri wangu kipindi kile (24 Yrs) wengi ilikua rahisi kuamini kuwa nimeunga kutoka Chuo/Shule.

Kuna yale masomo mnasoma course nyingi.

Sasa pale chuoni kulikua na Somo fulani lina hesabu sanaa tulikua tukilisoma course 5..!!!

Sasa kwenye course nyengine kulikua na dada mmoja hivi alikua anasema hamuelewi mwalimu.
Basi bana katika kutafuta nani atamsaidia kuelewa "ampige tuition" masela wa darasa lake wakamlengesha kwangu..

Akaja kwangu na kujieleza, na kwakuwa Mimi kusoma nilikua naona uvivu nikaona "hapa ndio paku fanya rough paper ili nielewe zaidi"

Tulipanga tuition yetu itakuaje.
Tukaelewana "Kwakuwa Mimi naishi hostel na yeye off campus, basi nitakua naenda kwake kumpigia pindi muda wa jioni/usiku"

Basi bana nikawa natimba kila siku kufundisha.

Mara nakuta kapika, tukimaliza pindi tunakula dinner.

Huyu dada alikua ni mwanajeshi. Hivyo mashara ulikuwepo.
Ila sikuwahi kumwambia kuwa Mimi ni Mtumishi wa Umma.

Maisha yaliendelea.
Kuna siku tulipiga kwake assignment ya group (two individuals) ghafla tukashangaa imefika saa 6 usiku.

Nikalalamika mi siwezi kwenda hostel sasa hivi naogopa, na isitoshe mlinzi atakua kashafunga geti.

Basi bana tuliishia kulana tu.
Na kulana kuliendelea.

Tukiwa third Yr nilihisi kama ana mimba.

Siku hiyo nika m surprise kwa kipimo cha mimba.

Aligoma kidogo, ila at the end of the day alikubali.

Majibu yalionyesha "positive"

Tulikua kama mwezi hivi, Ndio siku hiyo akaomba meeting na Mimi..!!!

Ndio hapo sasa akanichana kuwa "Yeye ni mke wa mtu"
Alifunga ndoa na HR mmoja wa halmashauri X tokea 2003, kwahiyo kwa kipindi kile ndoa yake ilikua ya mke 10 yenye mtoto mmoja wa darasa la kwanza.

Tulikubaliana tuendelee kutanua njia ya mtoto na ili kuokoa Ndoa yake.

Nilichokuja kugundua, kumbe liKizo ya semister ya kwanza (Ile ya wiki 1) iliangukia kwenye siKu zAKE ZA HaTaRI.
KwahiYO TUligONGANA na pia alienda likizo akagongana na mumewe.

Kwahiyo yoyote aliweza kuwa baba ake mtoto.

Ila pia alinipiTa miaka 5, kwahiyo hata ningemuharibia ndoa, NISINGEWEZA KUMUOA.

Mwisho wa siku tuliendeleza penzi letu na tuligraduate akiwa na mimba kubwaa.

Alienda kuzalia kwake na mumewe.

Ila mpaka leo tuna mawasiliano, na Kaomba masters aje kusomea mkoa niliopo ili tuliendeleze penzi letu.

Sikujua kama ni mke wa mtu, na nilivyojua nilihuzunika sanaa ila NIMESHINDWA KUMWACHA.

Sababu kubwa ni kwamba "Anayajua mambo kitandani hasa na akifika kileleni ni full kufungulia Bomba"

Halikua kosa langu na haliwezi kuwa kosa langu.

Nadhani angejitambulisha mapema kipindi kile tunatongozana "NISINGEFIKA HAPA"

Ila mpaka leo amegoma kunitumia picha za mtoto.
Anasema akija kusoma Masters ataniletea picha niziview..!!!!

Mtoto kwasasa anaitwa Angel na anatumia ubin wa mumewe..!!!

Japo wote wawili tulilala nae wiki ya siku za hatari ila roho inaniambiaga "Huyu mtoto ni wangu"

...................

Nimeikumbuka hii story baada ya kuona Uzi wa Analyse ...!!! !


X-Mass njema wadau.

Kuoa KUNA CHANGAMOTO SANAA.

TAFUTA SANA PESA ILI UEPUKE NA KUDHARAULIWA KISHAMBA.

#YNWA
Ila mkuu, muonee huruma mwenye mke. Kama wataachana, haitakuwa vizuri ww kuwa sababu.
 
Anayajua mambo kitandani hasa na akifika kileleni ni full kufungulia bomba........mkuu ni hapa tu ndio nimepaelewa na pameamsha wazimu wangu, samahani unaweza kunisaidia namba yake ili nikakuchunguzie kama yule mtoto ni wako au wa HechiAra
 
Mla vya wenzie na vyake huliwa kama anavyo!!!
Hujajibu swali....
Mfano:-
Ukiwa wewe ni muislamu, nikakukaribisha kwangu kula, nikwkupa nyama ya kitimoto bila wewe kujua.

Wewe mlishwa utakua na dhambi yoyotee??

#YNWA
 
Wajumbee salamaaa....
Liverpool tumeingia Nusu fainali bana ya Carabao cup 🥳🥳🥳🥳..

Heko kwa Klop..!!

Tuache hayo.

Niliajiriwa 2013 nikiwa na Diploma.
Baada ya kukaa mwaka mmoja tu nikaenda kusoma..!!
Ndio ni mwaka mmoja tu, hata barua ya kuthibitishwa niliipata nikiwa darasani Nina ruhusa ya kusoma..!!

Basi bana 2014 nilivyoingia chuo sikutaka kujulikana kuwa Mimi ni Mtumishi wa Umma.

Kwa kwa umri wangu kipindi kile (24 Yrs) wengi ilikua rahisi kuamini kuwa nimeunga kutoka Chuo/Shule.

Kuna yale masomo mnasoma course nyingi.

Sasa pale chuoni kulikua na Somo fulani lina hesabu sanaa tulikua tukilisoma course 5..!!!

Sasa kwenye course nyengine kulikua na dada mmoja hivi alikua anasema hamuelewi mwalimu.
Basi bana katika kutafuta nani atamsaidia kuelewa "ampige tuition" masela wa darasa lake wakamlengesha kwangu..

Akaja kwangu na kujieleza, na kwakuwa Mimi kusoma nilikua naona uvivu nikaona "hapa ndio paku fanya rough paper ili nielewe zaidi"

Tulipanga tuition yetu itakuaje.
Tukaelewana "Kwakuwa Mimi naishi hostel na yeye off campus, basi nitakua naenda kwake kumpigia pindi muda wa jioni/usiku"

Basi bana nikawa natimba kila siku kufundisha.

Mara nakuta kapika, tukimaliza pindi tunakula dinner.

Huyu dada alikua ni mwanajeshi. Hivyo mashara ulikuwepo.
Ila sikuwahi kumwambia kuwa Mimi ni Mtumishi wa Umma.

Maisha yaliendelea.
Kuna siku tulipiga kwake assignment ya group (two individuals) ghafla tukashangaa imefika saa 6 usiku.

Nikalalamika mi siwezi kwenda hostel sasa hivi naogopa, na isitoshe mlinzi atakua kashafunga geti.

Basi bana tuliishia kulana tu.
Na kulana kuliendelea.

Tukiwa third Yr nilihisi kama ana mimba.

Siku hiyo nika m surprise kwa kipimo cha mimba.

Aligoma kidogo, ila at the end of the day alikubali.

Majibu yalionyesha "positive"

Tulikua kama mwezi hivi, Ndio siku hiyo akaomba meeting na Mimi..!!!

Ndio hapo sasa akanichana kuwa "Yeye ni mke wa mtu"
Alifunga ndoa na HR mmoja wa halmashauri X tokea 2003, kwahiyo kwa kipindi kile ndoa yake ilikua ya mke 10 yenye mtoto mmoja wa darasa la kwanza.

Tulikubaliana tuendelee kutanua njia ya mtoto na ili kuokoa Ndoa yake.

Nilichokuja kugundua, kumbe liKizo ya semister ya kwanza (Ile ya wiki 1) iliangukia kwenye siKu zAKE ZA HaTaRI.
KwahiYO TUligONGANA na pia alienda likizo akagongana na mumewe.

Kwahiyo yoyote aliweza kuwa baba ake mtoto.

Ila pia alinipiTa miaka 5, kwahiyo hata ningemuharibia ndoa, NISINGEWEZA KUMUOA.

Mwisho wa siku tuliendeleza penzi letu na tuligraduate akiwa na mimba kubwaa.

Alienda kuzalia kwake na mumewe.

Ila mpaka leo tuna mawasiliano, na Kaomba masters aje kusomea mkoa niliopo ili tuliendeleze penzi letu.

Sikujua kama ni mke wa mtu, na nilivyojua nilihuzunika sanaa ila NIMESHINDWA KUMWACHA.

Sababu kubwa ni kwamba "Anayajua mambo kitandani hasa na akifika kileleni ni full kufungulia Bomba"

Halikua kosa langu na haliwezi kuwa kosa langu.

Nadhani angejitambulisha mapema kipindi kile tunatongozana "NISINGEFIKA HAPA"

Ila mpaka leo amegoma kunitumia picha za mtoto.
Anasema akija kusoma Masters ataniletea picha niziview..!!!!

Mtoto kwasasa anaitwa Angel na anatumia ubin wa mumewe..!!!

Japo wote wawili tulilala nae wiki ya siku za hatari ila roho inaniambiaga "Huyu mtoto ni wangu"

...................

Nimeikumbuka hii story baada ya kuona Uzi wa Analyse ...!!! !


X-Mass njema wadau.

Kuoa KUNA CHANGAMOTO SANAA.

TAFUTA SANA PESA ILI UEPUKE NA KUDHARAULIWA KISHAMBA.

#YNWA
Nyie mnaotangaza kila siku kutafta pesa unadhani pesa inauwezo wa kununu kila kitu, kama ni hivo ingenunu roho ya mtu akifa ili arudi tena,
 
Mwaka jana nilipata demu ambaye alinitega. Alikuwa anakuja kimbwetani anakaa ile sehemu ya juu ananiongelesha na hapo kavaa sketi au gauni jepesi na upaja wa kutosha anao. Kuna siku nikamla kimasihara ingawa yeye alijipanga, tulikuwa na group assignment tukaimaliza usiku hivi na yeye alikuwa chuo. Akaniita nimsindikize nikamfata kimbwetani yuko mwenyewe na giza limeingia. Kumkiss na touch akanambia anaogopa tutoke pale nikaenda nae ghetto.

Ikawa ndio michezo yetu. Badae nikaona amepost mtoto status kumbe mwanae ana kama 5yrs, amezaa na mwanajeshi fulani kipindi kile alikuwa Dodoma ila sahivi kahamia Arusha. Hawajaoana ila wanapendana na huyo demu nimeachana nae nikamblock kasoro WhatsApp. Hata juzi nilikuwa naye
 
Noma sana,nina jamaa yangu mke wake alienda shule kujiendeleza.Akiwa huko walianza mgogoro, mwanamke kamaliza chuo na karudi na Mimba..now wamesha break up..jamaa alizaa watoto wawili na huyo Dada..hivyo huyo wa tatu ndo kazalishwa huko chuo.
 
Noma sana,nina jamaa yangu mke wake alienda shule kujiendeleza.Akiwa huko walianza mgogoro, mwanamke kamaliza chuo na karudi na Mimba..now wamesha break up..jamaa alizaa watoto wawili na huyo Dada..hivyo huyo wa tatu ndo kazalishwa huko chuo.
 
Back
Top Bottom