Suala sio nani mwenye dhambi, ukweli unabaki kuwa ukweli kuwa umekula nguruwe ambayo ni nyama haramu!!!Hujajibu swali....
Mfano:-
Ukiwa wewe ni muislamu, nikakukaribisha kwangu kula, nikwkupa nyama ya kitimoto bila wewe kujua.
Wewe mlishwa utakua na dhambi yoyotee??
#YNWA