Niliishi na mwanamke kwa miaka 2 bila kujua ni mke wa mtu

Ila mkuu, muonee huruma mwenye mke. Kama wataachana, haitakuwa vizuri ww kuwa sababu.
 
Anayajua mambo kitandani hasa na akifika kileleni ni full kufungulia bomba........mkuu ni hapa tu ndio nimepaelewa na pameamsha wazimu wangu, samahani unaweza kunisaidia namba yake ili nikakuchunguzie kama yule mtoto ni wako au wa HechiAra
 
Mla vya wenzie na vyake huliwa kama anavyo!!!
Hujajibu swali....
Mfano:-
Ukiwa wewe ni muislamu, nikakukaribisha kwangu kula, nikwkupa nyama ya kitimoto bila wewe kujua.

Wewe mlishwa utakua na dhambi yoyotee??

#YNWA
 
Nyie mnaotangaza kila siku kutafta pesa unadhani pesa inauwezo wa kununu kila kitu, kama ni hivo ingenunu roho ya mtu akifa ili arudi tena,
 
Mwaka jana nilipata demu ambaye alinitega. Alikuwa anakuja kimbwetani anakaa ile sehemu ya juu ananiongelesha na hapo kavaa sketi au gauni jepesi na upaja wa kutosha anao. Kuna siku nikamla kimasihara ingawa yeye alijipanga, tulikuwa na group assignment tukaimaliza usiku hivi na yeye alikuwa chuo. Akaniita nimsindikize nikamfata kimbwetani yuko mwenyewe na giza limeingia. Kumkiss na touch akanambia anaogopa tutoke pale nikaenda nae ghetto.

Ikawa ndio michezo yetu. Badae nikaona amepost mtoto status kumbe mwanae ana kama 5yrs, amezaa na mwanajeshi fulani kipindi kile alikuwa Dodoma ila sahivi kahamia Arusha. Hawajaoana ila wanapendana na huyo demu nimeachana nae nikamblock kasoro WhatsApp. Hata juzi nilikuwa naye
 
Noma sana,nina jamaa yangu mke wake alienda shule kujiendeleza.Akiwa huko walianza mgogoro, mwanamke kamaliza chuo na karudi na Mimba..now wamesha break up..jamaa alizaa watoto wawili na huyo Dada..hivyo huyo wa tatu ndo kazalishwa huko chuo.
 
Noma sana,nina jamaa yangu mke wake alienda shule kujiendeleza.Akiwa huko walianza mgogoro, mwanamke kamaliza chuo na karudi na Mimba..now wamesha break up..jamaa alizaa watoto wawili na huyo Dada..hivyo huyo wa tatu ndo kazalishwa huko chuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…