Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Umesoma by doing. Practice make petfect. Ila utakuwa una Ombwe ya theory behind. Hujaonesha vitabu ulivyosoma. Hizo website zinadokoa dokoa vitu vta muhimu tu hazizami deep down and cultivate the knowledge. Ukiwa mwalimu hutaweza kujibu maswali mengi ya Why this...?Nilijifunza matumizi ya internet kwanza
Nikatumia muda mwingi kujifunza mambo mengi ya namna ya kunufaika mtandaoni
Nikaona habar ya kumiliki website, kununua sina uwezo nikajifunza html kama week 4 nikachoka nikaaacha
Nikaona kuna suala la kununua hosting siliwez
Nikahamia c nikajifunza sana
Nikaona implementation yake ni ngumu
Kila kitu hapo juu nilikuwa na soma theory
Nilivyo pata kuwa na kompyuta nikaanza na java
Kuna YouTube channel moja inaitwa freevodecamp niliangalia sana tutorial zao zile ndefu ndefu nilitumia gharama kubwa sana kwenye kununua bando.
Nilitumia muda mwingi nikiangalia tutorial zile code anazo kuwa anaziandika mfundishaji kwenye computer yake nakuwa naziandika kwenye daftari zote daftari likijaa na pause video naenda kununua lingine nikimaliza naingia kwenye IDE mara yakwanza zilikuwa hazileti majibu mara siku moja majibu yakaja kama ya mfundishaji nikafurahi sana
Tangu siku hiyo nikaacha kuandika nikawa nafungua IDE na video kwa pamona nakuwa na practice
Nikaacha kuangalia video
Nikatafuta website
Moja inaitwa geekforgeeks.com,javatpoint.com, w3school.com
Nikaja kugundua kumbe programming sio peke yangu ninaye pitia changamoto yaan bugs kumbe kuna sehemu watu wanna share matatizo yao na yana jibiwa na walio tangulia site hiyo inaitwa stackoverflow.com ni site maarufu self taught yoyote lazima anaifahamu na hata ambaye sio self taught
Nikapata ujasiri hadi wa ku edit full project ya mtu naifanya ninavyo taka
Yaan naweza chukua source code nikatengeneza products nyingi kutoka kwenye hiyo
Baada ya hapo nikawa na uwezo wa kufikilia na kutenge eza program kama niliyo waza
Baada ya hapo nikawa na uwezo huu wa kuangalia au kusikiliza tatizo la mtu na kutengeneza kwa kadri anavyo taka.
PIA SOMA
- Elewa kuhusu taaluma au ujuzi wa Programming
Soma na vitabu basi ili ukamilishe hio safari. Vile vile certify your skilll set sehemu kama Oracle nk ili uwe proffsessional na kutumia cheti.
Nakupongeza sana kuwa self motivated. I mydelf self learner ila mie mie nimepitia zaidi books, website na Quora. Nataka kudevelop game moja hivi lilmezoeleka mtaani.
What is your vision na what is your current projects?