Hivi kwa nini umeamua kunichekesha?kuna mtu kasoma hadi aya ya mwisho akitafuta mahali umeandika umemnyandua huyo mama 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwa nini umeamua kunichekesha?kuna mtu kasoma hadi aya ya mwisho akitafuta mahali umeandika umemnyandua huyo mama 🤣
Nyi majambazi yasiyotumia silaha ni kawaida kwani hata pesa ya kuhongwa unaona ni halali yako kupewaYaani ninunue halafu niseme asante?alooooh watu mmelelewa malezi bora sana
uzi ulikuwa unaelekea huko kabisa, gafla script ikabadilika 🥴Hivi kwa nini umeamua kunichekesha?
Ni kweli aseeTabia njema ni silaha
Kuku Wana kipindupindu.. . Daaah.....Ukifa utanipa namba ya mke wako.
Kuna jambo nataka nizungumze nae.
🤣🤣🤣🤣🤣Dah!kwani kuhongwa sio haki yangu?Nyi majambazi yasiyotumia silaha ni kawaida kwani hata pesa ya kuhongwa unaona ni halali yako kupewa
Nani kaandika?IMEANDIKWA, shukuru kwa kila jambo
Hongo ni kwa wote hata mwanamke anastahiri kuonga na ndio maana kuna Mishangazi.🤣🤣🤣🤣🤣Dah!kwani kuhongwa sio haki yangu?