Nilijikuta napendwa sana kisa kusema ahsante kila ninunuapo bidhaa kwake

Nilijikuta napendwa sana kisa kusema ahsante kila ninunuapo bidhaa kwake

Hee yaani wapigwe waseme asante?aisee mi silei mtoto kizembe!tena nishawaambia mtu akikupiga pambana usikae kizembe,ila usichokoze wenzio na kuwapiga bila sababu...
Hapo kwenye kushukuru wako vizuri sana kwenye kumshukuru Mungu ila baada ya chakula nawasikiaga mara waseme asante mara wasiseme asante..nitawakazania

Umejibu vizuri Ila nadhani haukunielewa nini nimemaanisha

Kuhusu kupigwa - mtoto wako unapokuwa umempatia kiboko na sio kugombana na watu

Na hili wasigombane na watu wanabidi kujengwa vizuri katika kuwa EI (emotional intelligence)

So hilo neno pambana huongelewa na aina fulani ya wazazi ambao ni immature katika kufikiri
 
Umejibu vizuri Ila nadhani haukunielewa nini nimemaanisha

Kuhusu kupigwa - mtoto wako unapokuwa umempatia kiboko na sio kugombana na watu

Na hili wasigombane na watu wanabidi kujengwa vizuri katika kuwa EI (emotional intelligence)

So hilo neno pambana huongelewa na aina fulani ya wazazi ambao ni immature katika kufikiri
Hii dunia ya sasa inabidi twende kwa mifumo ya ki babylon....hapo bora tu niitwe immature
 
Kuna kitabu kinaitwa THE MAGIC, kinaelezea the power of practice gratitude in everyday life and how life change through it..

For everything whether good or bad but Gratitude is must.

Anakwambia hata kama umepoteza ela au jambo gani baya limekutokea you must stay positive and practice gratitude through it ndipo mambo mengine makubwa yatatokea maishan mwako
Mkuu naomba pdf ya hiki kitabu kama unacho
 
Wakuu Ikumbukwe hakuna formula.Usiige na tusiigane.

Niliwahi pendwa sana na muuza duka jinsia ya kike asee kisa na mkasa nilikuwa na tabia ya kusema ahsante sana kila anapo nihudumia.

Ni umri wa makamo kiasi kwamba anaweza kuwa mama bila shaka kabisa. Huyu maza alinielewa sana akaona isiwe taabu akachukua hadi no za wazazi wangu kuwashukuru namna walivyo nilea.

Siku moja alinambia wewe ni mteja mzuri sana kwangu nikauliza kwanini mama akasema mimi ndo napaswa nikushukuru kuja kunichangia hapa na badala yake wewe ndo hushukuru kana kwamba umepewa bure ni nadra sana kuona watu kama wewe.

Hivyo kwa kupitia uteja huu akawa kama mama yangu pale kitaa hadi mmewe akajulishwa. Siku moja ilikuwa imekaribia Xmass mara yule mmewe akanipigia simu na sikuwa na no yake baada ya kujitambulisha tukafahamiana akaniomba niende kwake hapo ilikuwa saa11 jioni akanimbia nipite dukani then twende naye anipeleke.

Sikupoteza muda dk0 nikawa pale. Alikuwa na gari ya kuzugia sio kali tukapanda hatukuchelewa tukafika.

Jamaa alikuwa na bonge la mjengo kumbe lile duka la takataka lilikuwa na mke wake tu yeye ana maduka ya ELECTRONICS na pikipiki. nilishangaa ila ndo hivyo tena.

Baada ya kukaa wakaja mabinti 2 mmoja beki3 ndo mkubwa umri tunaendana ama naweza mzidi kama miaka2-3 hivi.

Akawaambia huyu ni kaka yenu wakanisalimu wakaondoka then akawauliza kuku mmewapa dawa?

Wakajibu ndio, nikamuuliza mzee unakuku? akasema ninao sasa wanaumwa siku ya3 na sijui ugonjwa gani.

Nikamwambia tunaweza kuwaona akasema kuwa huru hapa ni nyumbani kabisa nikazama nae bandani na kumwambia kuku wako wana kipindupindu hivyo mwambie mama aje na dawa hii.

Nikampa na ushauri kama wote. alifurahi sana yule father kitaa. Muda huo sijui nini nilichoitiwa pale na inaelekea saa1 hivi mara mama nae kafika.

Alipofika tu akaniuliza mimi akaja tukapiga story nae akawaita wale wadada2 akawaambia the same issue kama alivyofanya mzee. sijakaa sawq wakaja vijana 3 wanauza kwenye pikipiki na elect.

Mama akasema naishi hapa naomba uwe unakuja mwanangu wadogo zako wanasoma ila kesho watakuja kwa ajiri ya sikukuu maana walifunga wakaenda tuition tunakuomba siku ya Xmass ujumuike nasi hapa bila shaka ushapajua huhitaji kuuliza tena. Nikajibu nikweli mama na nina shukuru sana kupafahamu hapa.

Father kitaa akadakia umeleta ile dawa ya kuku sasa? Mama akakubali eee ipo father kitaa akasema huyu ndo mtaalamu sasa kawaangalia na kuniambia wanaumwa kipindupindu na dawa yake ni hii mimi nilkuwa sijui kama kuku nao wanauguaga kipindupindu.

INSHORT..

Father kitaa akanisindikiza hadi geto muda huo kaniuliza mishe zangu japo hata mama aliwahi niuliza.

Siku ya xmass ikafika nikatimba baada ya simu za mama kuzidi hatukuoni. Niliwakuta madogo wapo mmoja wa form1 mwingine advance huko.

Walinipa heshima kama kaka yao kweli na wakawa wanakuja hadi geto nikiwepo yaani full maupendo.

Nikawaomba niende nao kijijini kwetu wala hawakukatazwa niakenda nao wote 3 yaani yule dada na hawa 2 wakiume

Vitu tulivyo beba sukari kg50
ngano kg25
mafuta lita 10
sabuni ya unga mfuko1 sikumbuki kg ngapi
wax sijui ndo majava ama nini sijui yalikuwa pair kama 4 hivi na kitambaa cha mzee cha suti
hela cash 200k. na ndizi za kupika viazi mviringo nk

kwa kitendo hicho tulipofika kwetu kijijni nikiwa na boda 4 zimesheheni ilibidi majirani waje kwanza washuhudie ujio wangu.Huku nikiulizwa kazi ninayo fanya nk.

Uzuri mama alikuwa wakiwasiliana vyema kabisa na mama kitaa hivyo maandalizi hayakuwa haba
Walikula sana mbuzi ilichinjwa kuku zilichinjwa miwa ililiwa na vingine vingi vya kijijni na kwa sababu tumepakana na msitu na kuna ngedere mle basi madogo walitamani walale msituni kabisa washuhudie
ngedere analalaje juu ya mti bila kuanguka?

Madogo siku za kwenda skull zilifika lkn waligoma kabisa siyo wa kike maana ndo mkubwa yeye alikuwa college huko
Mimi mwenyewe ilibidi ni vumilie tu maana tulipitiliza siku za kurudi kwenye mishe zangu.

Father kitaa aliwachimba mkwara hatimae tukarudi wakiwa na gunia la mchele uliokobolewa na nyama iliyobanikwa kama nusu mbuzi maana zilifika mbuzi 2 zikihatarisha maisha kwa ujio wa madogo.

Kupitia mama yule tulitengeneza udungu wa karibu sana. Nilitoka kule nakuendelea kujitafuta huku tukiwasiliana
kiana kama mjuavyo fimbo ya mbali haiuwi nyoka.Bado hadi sasa mawasiliano yapo lkn sio kivile.

Niliugua nikalazwa yule mama alikuwa msaada mkubwa sana kwangu sikuwa na bima lakini gharama alitoa yeye mama mzazi alikuja kuniona alifikia pale na kulala kama siku2 akarudi.

Huyu mama kitaa alikuwa ladhi afunge duka aje anione na sikuwahi kumfanyia chochote cha maana tofauti na kusema AHSANTE kila ninapo nunua mahitaji kwakwe. Sijui Father kitaa aliambiwa nini hadi nae akanikubali vilevile!

Bado naitumia sana hii AHSANTE lakini bado sijawahi kukubaliwa tena namna hii
Mkuu hii Ndio inshort kwel
 
Sio ladhi, ni radhi
Hujatuambia ulikula nini ulipoitwa, ulienda mkoa gani na ulitokea mkoa gani ulipobebeshwa mizigo ya nyumbani kwenu, kwanini katlka maelezo umetaja mawasiliano ya mama yako na mama muuza dukani baba yako vp umelelewa na single Maza , je hadi leo bado unaenda hapo dukani? Nitarudi tena naenda Bwagamoyo kidogo
 
Ni jambo la uungwana na makuzi tu. Hata mimi kusema asante au samahani ni kawaida japo kwa Dar nimejifunza kupunguza maana wengi wakikuona una uungwana wanakuchukulia kama zoba la kucheza nalo.
Watoto wa Dar miyeyusho sana, wanachukulia Ukaribu kama uboya fulani hivi na ushamba.

Mimi nina tabia ya kuita kaka, bro au dada hata kwa niliowazidi umri. Na sipendelei kutumia lile jina la demu kumuwakilisha msichana. Sasa nikiwa huko huwa wanahisi mimi kama mbugila hivi kumbe mi nawachora tu.

Uzuri nina kipaji cha kukabia chini, nakuacha uoneshe ujanja wako wala sikupingi halafu nakuja kukupiga counter attack.
Napenda sana mtu akinichukulia poa mara nyingi huwa inanirahisishia malengo.

Inshort kama wewe ni muungwana, mtu wa kuheshimu kila mtu, mtu wa kushukuru endelea hivyo hivyo. Asitokee kiazi fulani ajaribu kukutoa kwenye reli.

Heshima sio unyonge, Upendo sio unyonge.
 
asante,

kuna mke wa mtu kakolea hapa kisa tu nikinunua kitu dukani kwao namwambiaga "asante madam"

kuna mwingine huwa naagiza tu bidhaa kwa simu anampa boda aniletee, juz kat kaniambia anatamani siku moja anione live, nilipomuuliza kulikoni akjbu "unaongeaga kistaarabu sana"
Vipi mume wake sio shabiki wa Ajax?
 
Wengine hizi bahati mnazipataje? Mimi hata pesa ya kueleweka sijawahi kuokota,semina zinanipita hivi hivi wanaenda wengine, kiujumla mambo nayoyapata mimi ni mambo ya hovyo tu daah mungu anione na mimi Aisee
Mkuu shukuru angalau una kazi.
 
Yaani ninunue halafu niseme asante?alooooh watu mmelelewa malezi bora sana
We itakua umetokea kwa kina MK254, hao jamaa dukani hawasemi naomba sabuni, wanasema nataka sabuni.

Kwenye daladala zao hawasemi naomba kupita, utasikia em pisha huko.
 
Wakuu Ikumbukwe hakuna formula.Usiige na tusiigane.

Niliwahi pendwa sana na muuza duka jinsia ya kike asee kisa na mkasa nilikuwa na tabia ya kusema ahsante sana kila anapo nihudumia.

Ni umri wa makamo kiasi kwamba anaweza kuwa mama bila shaka kabisa. Huyu maza alinielewa sana akaona isiwe taabu akachukua hadi no za wazazi wangu kuwashukuru namna walivyo nilea.

Siku moja alinambia wewe ni mteja mzuri sana kwangu nikauliza kwanini mama akasema mimi ndo napaswa nikushukuru kuja kunichangia hapa na badala yake wewe ndo hushukuru kana kwamba umepewa bure ni nadra sana kuona watu kama wewe.

Hivyo kwa kupitia uteja huu akawa kama mama yangu pale kitaa hadi mmewe akajulishwa. Siku moja ilikuwa imekaribia Xmass mara yule mmewe akanipigia simu na sikuwa na no yake baada ya kujitambulisha tukafahamiana akaniomba niende kwake hapo ilikuwa saa11 jioni akanimbia nipite dukani then twende naye anipeleke.

Sikupoteza muda dk0 nikawa pale. Alikuwa na gari ya kuzugia sio kali tukapanda hatukuchelewa tukafika.

Jamaa alikuwa na bonge la mjengo kumbe lile duka la takataka lilikuwa na mke wake tu yeye ana maduka ya ELECTRONICS na pikipiki. nilishangaa ila ndo hivyo tena.

Baada ya kukaa wakaja mabinti 2 mmoja beki3 ndo mkubwa umri tunaendana ama naweza mzidi kama miaka2-3 hivi.

Akawaambia huyu ni kaka yenu wakanisalimu wakaondoka then akawauliza kuku mmewapa dawa?

Wakajibu ndio, nikamuuliza mzee unakuku? akasema ninao sasa wanaumwa siku ya3 na sijui ugonjwa gani.

Nikamwambia tunaweza kuwaona akasema kuwa huru hapa ni nyumbani kabisa nikazama nae bandani na kumwambia kuku wako wana kipindupindu hivyo mwambie mama aje na dawa hii.

Nikampa na ushauri kama wote. alifurahi sana yule father kitaa. Muda huo sijui nini nilichoitiwa pale na inaelekea saa1 hivi mara mama nae kafika.

Alipofika tu akaniuliza mimi akaja tukapiga story nae akawaita wale wadada2 akawaambia the same issue kama alivyofanya mzee. sijakaa sawq wakaja vijana 3 wanauza kwenye pikipiki na elect.

Mama akasema naishi hapa naomba uwe unakuja mwanangu wadogo zako wanasoma ila kesho watakuja kwa ajiri ya sikukuu maana walifunga wakaenda tuition tunakuomba siku ya Xmass ujumuike nasi hapa bila shaka ushapajua huhitaji kuuliza tena. Nikajibu nikweli mama na nina shukuru sana kupafahamu hapa.

Father kitaa akadakia umeleta ile dawa ya kuku sasa? Mama akakubali eee ipo father kitaa akasema huyu ndo mtaalamu sasa kawaangalia na kuniambia wanaumwa kipindupindu na dawa yake ni hii mimi nilkuwa sijui kama kuku nao wanauguaga kipindupindu.

INSHORT..

Father kitaa akanisindikiza hadi geto muda huo kaniuliza mishe zangu japo hata mama aliwahi niuliza.

Siku ya xmass ikafika nikatimba baada ya simu za mama kuzidi hatukuoni. Niliwakuta madogo wapo mmoja wa form1 mwingine advance huko.

Walinipa heshima kama kaka yao kweli na wakawa wanakuja hadi geto nikiwepo yaani full maupendo.

Nikawaomba niende nao kijijini kwetu wala hawakukatazwa niakenda nao wote 3 yaani yule dada na hawa 2 wakiume

Vitu tulivyo beba sukari kg50
ngano kg25
mafuta lita 10
sabuni ya unga mfuko1 sikumbuki kg ngapi
wax sijui ndo majava ama nini sijui yalikuwa pair kama 4 hivi na kitambaa cha mzee cha suti
hela cash 200k. na ndizi za kupika viazi mviringo nk

kwa kitendo hicho tulipofika kwetu kijijni nikiwa na boda 4 zimesheheni ilibidi majirani waje kwanza washuhudie ujio wangu.Huku nikiulizwa kazi ninayo fanya nk.

Uzuri mama alikuwa wakiwasiliana vyema kabisa na mama kitaa hivyo maandalizi hayakuwa haba
Walikula sana mbuzi ilichinjwa kuku zilichinjwa miwa ililiwa na vingine vingi vya kijijni na kwa sababu tumepakana na msitu na kuna ngedere mle basi madogo walitamani walale msituni kabisa washuhudie
ngedere analalaje juu ya mti bila kuanguka?

Madogo siku za kwenda skull zilifika lkn waligoma kabisa siyo wa kike maana ndo mkubwa yeye alikuwa college huko
Mimi mwenyewe ilibidi ni vumilie tu maana tulipitiliza siku za kurudi kwenye mishe zangu.

Father kitaa aliwachimba mkwara hatimae tukarudi wakiwa na gunia la mchele uliokobolewa na nyama iliyobanikwa kama nusu mbuzi maana zilifika mbuzi 2 zikihatarisha maisha kwa ujio wa madogo.

Kupitia mama yule tulitengeneza udungu wa karibu sana. Nilitoka kule nakuendelea kujitafuta huku tukiwasiliana
kiana kama mjuavyo fimbo ya mbali haiuwi nyoka.Bado hadi sasa mawasiliano yapo lkn sio kivile.

Niliugua nikalazwa yule mama alikuwa msaada mkubwa sana kwangu sikuwa na bima lakini gharama alitoa yeye mama mzazi alikuja kuniona alifikia pale na kulala kama siku2 akarudi.

Huyu mama kitaa alikuwa ladhi afunge duka aje anione na sikuwahi kumfanyia chochote cha maana tofauti na kusema AHSANTE kila ninapo nunua mahitaji kwakwe. Sijui Father kitaa aliambiwa nini hadi nae akanikubali vilevile!

Bado naitumia sana hii AHSANTE lakini bado sijawahi kukubaliwa tena namna hii
Tabia njema ni silaha
 
Back
Top Bottom