Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Hii post ungeandika kwa herufi kubwa.
 
Hahahaha
 
Pumzika

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Nakuelewa saana mkuu
 
Sielewi hata unatetea nn
Sasa insecurity za mwanaume ndo ajihami? Tukubaliane hapakua na Mapenzi hapa. Kila mru abaki na chake

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hayo si maandiko yameagiza hivyo? Mnapenda sana kulelewa mkuu?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Hayo si maandiko yameagiza hivyo? Mnapenda sana kulelewa mkuu?

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Tufanye mimi sijui haya,niambie ww viapo vya ndoa vinasemaje?

Nani anapenda kulelewa........? hivi partner wako umeanza mahusiano yupo vizuri kiuchumi na huduma anatoa vizuri....... ila kuna vipindi (vinaweza kuwa virefu au vifupi) anapitia changamoto za kiuchumi.... hivi huyu utasema anapenda kulelewa?

Ila si shangai kwenye swala 50/50 mnalolipigania hali include kipato chenu bali cha mwanaume.
 
Kosa ulilofanya hapo ni moja tu, KUKUBALI KUWA ULIMSALITI. Hakuna mwanaume anaweza kuvumilia mwanamke hususan mke wake kumsaliti.Hata akikusamehe bado maumivu ya kumbukumbu yataitafuna ndoa yenu directly au indirectly
 

Wajinga hivyo vikazi vyenu ndo hua vinawatia kiburi na jeuri. Wewe huwezi kuona ila amini nakwambia huyo mume wako ndio alikua mvumilivu kuishi na wewe na wewe haukua na uvumilivu wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…