Nilikamatwa Morogoro stesheni ya SGR nikituhumiwa kusafirisha chupa ya mil.500 ya maji ya kunywa!

Nilikamatwa Morogoro stesheni ya SGR nikituhumiwa kusafirisha chupa ya mil.500 ya maji ya kunywa!

Mkuu, hizo ni sheria kwenye biashara, hata kwenye ndege hupandi na maji, uwe ulaya au bongo,
Na huko ni CCM ?
Wabongo wanapenda sana kulalamika. It's simple hununui wala kula chakula au maji yao. Trip ya masaa matatu na nusu usipokula au kunywa maji utakufa? Wakikutaza maji yako kunywa yaishe au yamwage uwakomoe 🤣🤣
 
Ijumaa tarehe 20 saa 1:15 asubuhi haikuwa siku njema kwangu, nilifika stesheni ya SGR nikiwa na furaha ya kuanza safari ya kuelekea Dar es Salaam, baada ya kukaguliwa tikiti yangu nikaambiwa niweke begi kwenye mtambo wa ukaguzi kisha nikaenda upande wa pili wa mtambo kulipokea begi.

Nilipofika upande wa pili nikasikia askari akitaka kumjua mwenye begi ambalo ni langu, nikajitokeza, kwa mshituko nikajikuta nipo kati ya askari watatu kijasho kilanitoka, nikaambiwa ndani ya begi kuna chupa ya maji, nikatakiwa niitoe, nikaitoa. Nikawaambia hayo ni maji yangu ya kunywa endapo nitahitaji kama ikitokea, wakati huo watu wameacha mazungumzo yao wakishuhudia kukamatwa kwa msafirishaji wa maji ya kunywa mil.500!

Kitendo cha kunihoji kijinai kilitaka kunifanya nivunje safari yangu ya SGR, baada ya mahojiano niliamriwa hiyo chupa ya maji mil.500 niiache kwenye kaunta yao alipo askari! Ndugu zangu hapo ndipo nilipojua si lazima uwe mwizi ili uende jela, mmoja wa askari aliniambia kosa hilo endapo ningeingia nayo ndani ya treni ni faini ya shilingi 500,000/=! Ninajuta kupanda SGR.
Hiyo siyo offense bosi, mbona kwenye ndege pia huwa hatupandi nayo labda yale ambayo umeshanunua baada ya kuchek in. Kuzuia maji ni kuzuia ugaidi basi
 
Ijumaa tarehe 20 saa 1:15 asubuhi haikuwa siku njema kwangu, nilifika stesheni ya SGR nikiwa na furaha ya kuanza safari ya kuelekea Dar es Salaam, baada ya kukaguliwa tikiti yangu nikaambiwa niweke begi kwenye mtambo wa ukaguzi kisha nikaenda upande wa pili wa mtambo kulipokea begi.

Nilipofika upande wa pili nikasikia askari akitaka kumjua mwenye begi ambalo ni langu, nikajitokeza, kwa mshituko nikajikuta nipo kati ya askari watatu kijasho kilanitoka, nikaambiwa ndani ya begi kuna chupa ya maji, nikatakiwa niitoe, nikaitoa. Nikawaambia hayo ni maji yangu ya kunywa endapo nitahitaji kama ikitokea, wakati huo watu wameacha mazungumzo yao wakishuhudia kukamatwa kwa msafirishaji wa maji ya kunywa mil.500!

Kitendo cha kunihoji kijinai kilitaka kunifanya nivunje safari yangu ya SGR, baada ya mahojiano niliamriwa hiyo chupa ya maji mil.500 niiache kwenye kaunta yao alipo askari! Ndugu zangu hapo ndipo nilipojua si lazima uwe mwizi ili uende jela, mmoja wa askari aliniambia kosa hilo endapo ningeingia nayo ndani ya treni ni faini ya shilingi 500,000/=! Ninajuta kupanda SGR.
Mhu! Ni kinyume cha sheria kuwa na maji ya kunywa kwenye treni ya SGR au sijaelewa?
 
naamini vyakula vutakuwepo
hata hivyo kutoka dar kwenda moro ni lisaa na nusu sijui kama mtu anahitaji kula au pengine kutoka dar kwenda Dodoma ni masaa 3 naona kama sio muda mrefu sana japo kula ni uamuzi wa mtu na bajeti yake
Wanachekesha sana hawa. Safari ya masaa matatu unataka kula? Kwamba ukisubiri ufike utakufa na njaa au kiu?
 
Kwamba ukipanda na vyakula inakuwa nini naona sheria imekaa kimchongo kuna kigogo kapewa tenda ya umamantilie auze kwa bei ya kukomoana wanachojali wao ni mifuko yao tu
Mkuu kumbuka utamaduni wa tz , kumbuka hii treni inapopita , unataka watu wajiharishie ndani ya sgr, waulizeni wamiliki wa mabasi yanayopita huko kwenda mwanza ni shida TUpu.

Ukimwachilia mswali mshamba afanye anavyotaka sgr itanuka mavi na kunguni.

Tuendelee kuintuza sgr yetu
 
Kubeba vimiminika na vyakula hata mimi sikubaliani navyo maana wakisharuhusu mle ndani kutakuwa pachafu sana na ni ngumu kucontrol bora kama wangekuwa wanagawa wenyewe kama kwenye ndege.

Ila namna ambayo ukikutwa na hivyo vitu unakuwa treated ndo sijapenda hata Airport ambapo ni high risk zaidi ila wanakuwaga wastaarabu sana. May be mzee umetunisha sana misuli na ukavaa kizibao 🤠🤠
 
Hiyo siyo offense bosi, mbona kwenye ndege pia huwa hatupandi nayo labda yale ambayo umeshanunua baada ya kuchek in. Kuzuia maji ni kuzuia ugaidi basi
Ugaidi wa chupa ya maji ambayo imethibitishwa kuwa ni maji! Kaombe kazi polisi utunyoreshe.
 
Wewe ilibidi ufungwe hata mwezi mmoja jela kwa upumbavu wako. Sheria hapo ni kutopanda na maji halafu kwa makusudi unataka uingie na chupa ya 500ml ulitaka wakuchekee? Wangekulima faini ili iwe fundisho kwa wengine wasiotaka kufuata utaratibu.
 
Kubeba vimiminika na vyakula hata mimi sikubaliani navyo maana wakisharuhusu mle ndani kutakuwa pachafu sana na ni ngumu kucontrol bora kama wangekuwa wanagawa wenyewe kama kwenye ndege.

Ila namna ambayo ukikutwa na hivyo vitu unakuwa treated ndo sijapenda hata Airport ambapo ni high risk zaidi ila wanakuwaga wastaarabu sana. May be mzee umetunisha sana misuli na ukavaa kizibao 🤠🤠
Kiti nilichokaa sehemu ya kuweka miguu kulikuwa na pakiti ndogo ya kahawa, kikombe cha karatasi na kipakiti kidogo cha sukari vilivyotumika vikatupwa chini, niliwaita wahudumu waondoe lakini mpaka nafika Dar hawakuviondoa.
 
Walikuona mlugaluga. Walitakiwa wakuambie uyaache tu hayo maji usipande nayo treni. Hao walinzi hawana common sense. Wao wako kama Bobby akiambiwa shika anashika.
Kabisa ni swala la common sense tu, hapo wameonyesha hawana tofauti na mashine.
 
Wabongo wanapenda sana kulalamika. It's simple hununui wala kula chakula au maji yao. Trip ya masaa matatu na nusu usipokula au kunywa maji utakufa? Wakikutaza maji yako kunywa yaishe au yamwage uwakomoe 🤣🤣
😂😂😂😂😂 Kaka hii imenikumbusha siku jamaa alipiga lita moja chap pale Nyerere. Bahati mbaya nikakaa naye seat moja na mle ndani akagonga bia mbili alipiga route sana za toilet.
 
Ijumaa tarehe 20 saa 1:15 asubuhi haikuwa siku njema kwangu, nilifika stesheni ya SGR nikiwa na furaha ya kuanza safari ya kuelekea Dar es Salaam, baada ya kukaguliwa tikiti yangu nikaambiwa niweke begi kwenye mtambo wa ukaguzi kisha nikaenda upande wa pili wa mtambo kulipokea begi.

Nilipofika upande wa pili nikasikia askari akitaka kumjua mwenye begi ambalo ni langu, nikajitokeza, kwa mshituko nikajikuta nipo kati ya askari watatu kijasho kilanitoka, nikaambiwa ndani ya begi kuna chupa ya maji, nikatakiwa niitoe, nikaitoa. Nikawaambia hayo ni maji yangu ya kunywa endapo nitahitaji kama ikitokea, wakati huo watu wameacha mazungumzo yao wakishuhudia kukamatwa kwa msafirishaji wa maji ya kunywa mil.500!

Kitendo cha kunihoji kijinai kilitaka kunifanya nivunje safari yangu ya SGR, baada ya mahojiano niliamriwa hiyo chupa ya maji mil.500 niiache kwenye kaunta yao alipo askari! Ndugu zangu hapo ndipo nilipojua si lazima uwe mwizi ili uende jela, mmoja wa askari aliniambia kosa hilo endapo ningeingia nayo ndani ya treni ni faini ya shilingi 500,000/=! Ninajuta kupanda SGR.
Ulaya huku kwenye maendeleo na IQ kubwa unaingia hadi na soda na big mac chocolate mazagazaga kibao ya msosi. Ila nyie thed weld dwellers bana yani maji tu. Ndo maana hiyo treni ya SRG iliyogharimu trillion 17 za mkopo inakatiza vichakani huko watu wanapokunya.
 
Ni utaratibu wa kawaida wa kuzia watu wasiingie na vitu ambavyo ni hatarishi kwa sgr, ili kuilinda sgr .

Kumbukeni hautakiwa kupanda na vyakula au vinywaji vyovyote vile kwenye sgr.

Vinywaji na vitafunwa utavikuta humohumo ndani ya sgr.
Pole kwa usumbufu ankoli.
Inaelekea unawaogopa sana police
Naomba maelekezo hapa Kuna tatizo Gani kupanda na maji yangu sgr na kununua maji sgr?

Nini utofauti na maji yangu yanaweza iharibu vipi sgr na ya ndani ya sgr yasiiharibu?
 
Mkuu, hizo ni sheria kwenye biashara, hata kwenye ndege hupandi na maji, uwe ulaya au bongo,
Na huko ni CCM ?
Ulaya huku kwenye maendeleo na IQ kubwa unaingia hadi na soda na big mac chocolate mazagazaga kibao ya msosi. Ila nyie thed weld dwellers bana yani maji tu. Ndo maana hiyo treni ya SRG iliyogharimu trillion 17 za mkopo inakatiza vichakani huko watu wanapokunya.
Nani mkweli hapa?
 
Back
Top Bottom