Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
-
- #121
Maji ya kunywa hayasimamiwi na bodi ya vileo, maji ya kunywa ni haki ya kila kiumbe kilicho hai na ruhusa kunywa wakati wowote na mahali popote.usipaki gari hapo wewe unapaki. Tusikukamate kweli?
usipite hapa kuna mbwa wakali, wewe unapita. Mbwa wakali watakuacha kweli?
Ni muhimu kua makini na kuuliza vitu vinavyokwenda maeneo mbalimbali nchini π
Ni ili ukanunue maji ya wakulungwa ndani ya treniKwamba hata maji ya kunywa hawataki? Yani nimenunua chupa yangu ya lita moja, nikainywa robo ikabaki robo tatu, hawataki nipande nayo?
Kwani shida ni nini?
Haha,Kesho napanda na maji lita moja nione watanifanyaje
Nikajua chupa ya milioni 500πππ.Ijumaa tarehe 20 saa 1:15 asubuhi haikuwa siku njema kwangu, nilifika stesheni ya SGR nikiwa na furaha ya kuanza safari ya kuelekea Dar es Salaam, baada ya kukaguliwa tikiti yangu nikaambiwa niweke begi kwenye mtambo wa ukaguzi kisha nikaenda upande wa pili wa mtambo kulipokea begi.
Nilipofika upande wa pili nikasikia askari akitaka kumjua mwenye begi ambalo ni langu, nikajitokeza, kwa mshituko nikajikuta nipo kati ya askari watatu kijasho kilanitoka, nikaambiwa ndani ya begi kuna chupa ya maji, nikatakiwa niitoe, nikaitoa. Nikawaambia hayo ni maji yangu ya kunywa endapo nitahitaji kama ikitokea, wakati huo watu wameacha mazungumzo yao wakishuhudia kukamatwa kwa msafirishaji wa maji ya kunywa mil.500!
Kitendo cha kunihoji kijinai kilitaka kunifanya nivunje safari yangu ya SGR, baada ya mahojiano niliamriwa hiyo chupa ya maji mil.500 niiache kwenye kaunta yao alipo askari! Ndugu zangu hapo ndipo nilipojua si lazima uwe mwizi ili uende jela, mmoja wa askari aliniambia kosa hilo endapo ningeingia nayo ndani ya treni ni faini ya shilingi 500,000/=! Ninajuta kupanda SGR.
Nusu lita (500 millilitres)Mil. 500 ndo nini?
Sawa mkuuVyoo vipo mkuu
Hii Sgr haina buffet car, ila kila behewa linajitegemea na huduma za vinywaji na cha kula na utahudimiwa na mhudumu husika kwa behewa husika.Inaonesha haujawahi kusafiri kwa treni, ndani ya treni imo baa inauza pombe.
Hizo sheria zililetewaBtw, hizo sheria ni za kipuuzi, ila ndio hivyo zipo inabidi tuzifuate
Maji ni uhai na kwakweli ni muhimu mno kwa kila moja.Maji ya kunywa hayasimamiwi na bodi ya vileo, maji ya kunywa ni haki ya kila kiumbe kilicho hai na ruhusa kunywa wakati wowote na mahali popote.
500 mills au nusu lita ni 500/- hiyo 1000/ ni maji makubwa....sijui hiyo marketing strategy yao ikoje.. mabus mengi ya mikoani maji na soda na biskuti ni free...
1000 si bei ya kawaida au?
Hapa ndipo CCM ilipofikisha watanzania? Kuna kosa gani la mtu kusafiri na maji ya kunywa? Kubeba maji imekuwa marufuku siku hizi? Lengo ni ili wanunuwe bidhaa za ndani ya treni ili vigogo waliojiwekea miradi yao wafaidike? Kweli Tanzania ni nchi yenye wananchi makondoo lakini ole wa hawa watawala. Kna siku watapata wanachokitafuta.
You dont see the correlation? Anyways, I think many tanzanians are like you!Ccm inahusikaje hapa??
Muwe mnasoma masharti,
Sgr inakataza kupanda na vyakula na vinywaji, wew unapanda nayo, ukipigwa fine hata Million ni uzembe hutakiwi kulalamika,
Btw, hizo sheria ni za kipuuzi, ila ndio hivyo zipo inabidi tuzifuate
Mkuu soma masharti ya kupNda SGR.Ijumaa tarehe 20 saa 1:15 asubuhi haikuwa siku njema kwangu, nilifika stesheni ya SGR nikiwa na furaha ya kuanza safari ya kuelekea Dar es Salaam, baada ya kukaguliwa tikiti yangu nikaambiwa niweke begi kwenye mtambo wa ukaguzi kisha nikaenda upande wa pili wa mtambo kulipokea begi.
Nilipofika upande wa pili nikasikia askari akitaka kumjua mwenye begi ambalo ni langu, nikajitokeza, kwa mshituko nikajikuta nipo kati ya askari watatu kijasho kilanitoka, nikaambiwa ndani ya begi kuna chupa ya maji, nikatakiwa niitoe, nikaitoa. Nikawaambia hayo ni maji yangu ya kunywa endapo nitahitaji kama ikitokea, wakati huo watu wameacha mazungumzo yao wakishuhudia kukamatwa kwa msafirishaji wa maji ya kunywa mil.500!
Kitendo cha kunihoji kijinai kilitaka kunifanya nivunje safari yangu ya SGR, baada ya mahojiano niliamriwa hiyo chupa ya maji mil.500 niiache kwenye kaunta yao alipo askari! Ndugu zangu hapo ndipo nilipojua si lazima uwe mwizi ili uende jela, mmoja wa askari aliniambia kosa hilo endapo ningeingia nayo ndani ya treni ni faini ya shilingi 500,000/=! Ninajuta kupanda SGR.
Nasikia kwenye utawala wa Mbowe kila kitu kitaruhusiwa. Kutakuwa na demokrasia ya kupanda hata na mbuzi. Tusubiri tuone.You dont see the correlation? Anyways, I think many tanzanians are like you!
Mimi baada ya kusoma nilishindwa kuelewa mil.500Mil. 500 ndo nini?
πNasikia kwenye utawala wa Mbowe kila kitu kitaruhusiwa. Kutakuwa na demokrasia ya kupanda hata na mbuzi. Tusubiri tuone.