Nilikamatwa Morogoro stesheni ya SGR nikituhumiwa kusafirisha chupa ya mil.500 ya maji ya kunywa!

Nilikamatwa Morogoro stesheni ya SGR nikituhumiwa kusafirisha chupa ya mil.500 ya maji ya kunywa!

Muwe mnasoma masharti,

Sgr inakataza kupanda na vyakula na vinywaji, wew unapanda nayo, ukipigwa fine hata Million ni uzembe hutakiwi kulalamika,

Btw, hizo sheria ni za kipuuzi, ila ndio hivyo zipo inabidi tuzifuate
Wapi zinapatikana nizisome kabla cjakata ticket, na je kama ujui kusoma inakuwaje hapo mkuu?
 
Screenshot_20240922_213732.jpg
 
Mimi baada ya kusoma nilishindwa kuelewa mil.500
Inaingiaje hapo
Ila baada ya kuzisoma comments nikaona wote wanaona sawa tu
Ningekosoa ila nikasema labda ndio lugha yenu hiyo
Mil.500 na 500ml utofauti ni mkubwa sana ila wote wameelewa naona kasoro mimi na wewe 😄 🤣 😂
Na wewe uko Brazil kama mimi 😄
Aisee kazi Sana kuwaelewa vijana wa 2000s
 
Kwamba ukipanda na vyakula inakuwa nini naona sheria imekaa kimchongo kuna kigogo kapewa tenda ya umamantilie auze kwa bei ya kukomoana wanachojali wao ni mifuko yao tu
Lakini jamani hapo morogoro kwan lazima ule njiani
 
Tumewekewa vitu standard bas na sisi tuishi kistandard mambo ya kienyeji tuachane nayo na tuache kuona km tunaonewa
 
Ungejipandia zako Shabiby tu mzee...unaingia hadi na maziwa yako, sambusa n.k...sheria za kikoloni kabisa.
Bora wangesema fine 2000/= wangepiga hela balaa...bila hata kuamsha hisia za watu
 
Maji ni uhai na kwakweli ni muhimu mno kwa kila moja.
Lakini kwenye maeneo ya mikusanyiko yana utaratibu wake ambao uko wazi kabisaa.
Na maeneo yale nadhani kuna mabango ya kutosha kuhusu kipi kinaruhusiwa na kipi hakiruhusiwi...

Hata hivyo,
ungalikua umeishikilia mkononi maji yako, wangekuuliza nawe ungejieleza labda una tatizo na kwahivyo maji kwako ni dawa, hilo tatizo halingekua kubwa kiasi hicho..

Hata hivyo,
pole sana bilashaka kuna jambo umejifunza 🐒
Muda wote maji ni dawa tosha na haihitaji kumuuliza mtu kama anakunywa maji au la, siku ikikutokea dharula ya kuishiwa maji mwilini ndipo utakapojua kuwa ni lazima muda wote uwe na chupa ya maji.
 
Mbona watanzania tunakuwa watu wa hovyo hivyo! Hata maji ya kunywa tunahitaji mtu atutetee haki ya kuwa nayo! Ipo shida.
 
Mimi baada ya kusoma nilishindwa kuelewa mil.500
Inaingiaje hapo
Ila baada ya kuzisoma comments nikaona wote wanaona sawa tu
Ningekosoa ila nikasema labda ndio lugha yenu hiyo
Mil.500 na 500ml utofauti ni mkubwa sana ila wote wameelewa naona kasoro mimi na wewe 😄 🤣 😂
Na wewe uko Brazil kama mimi 😄
Hata mimi sikuoneshwa hizo sheria, nilichukulia ni vitisho vya wapigaji.
 
Back
Top Bottom