Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi zinapatikana nizisome kabla cjakata ticket, na je kama ujui kusoma inakuwaje hapo mkuu?Muwe mnasoma masharti,
Sgr inakataza kupanda na vyakula na vinywaji, wew unapanda nayo, ukipigwa fine hata Million ni uzembe hutakiwi kulalamika,
Btw, hizo sheria ni za kipuuzi, ila ndio hivyo zipo inabidi tuzifuate
Aisee kazi Sana kuwaelewa vijana wa 2000sMimi baada ya kusoma nilishindwa kuelewa mil.500
Inaingiaje hapo
Ila baada ya kuzisoma comments nikaona wote wanaona sawa tu
Ningekosoa ila nikasema labda ndio lugha yenu hiyo
Mil.500 na 500ml utofauti ni mkubwa sana ila wote wameelewa naona kasoro mimi na wewe 😄 🤣 😂
Na wewe uko Brazil kama mimi 😄
Watanionyesha iyo sheria inayosema ivyoHaha,
Mkuu, si umesikia faini yake ni 500k ?
Andaa tu na pesa ya faini kuepusha usumbufu mambo yasiwe mengi 😂 usisumbue watu kuja kukutoa ndani kwa dhamana
ElimuAisee kazi Sana kuwaelewa vijana wa 2000s
Mtanzania halisi hufurahia utumwa, usijaribu kumtetea.Mkuu soma masharti ya kupNda SGR.
Ungekuwa umesoma hayo masharti usingepata usumbufu.
Sheria za ki BeberuMuwe mnasoma masharti,
Sgr inakataza kupanda na vyakula na vinywaji, wew unapanda nayo, ukipigwa fine hata Million ni uzembe hutakiwi kulalamika,
Btw, hizo sheria ni za kipuuzi, ila ndio hivyo zipo inabidi tuzifuate
Lakini jamani hapo morogoro kwan lazima ule njianiKwamba ukipanda na vyakula inakuwa nini naona sheria imekaa kimchongo kuna kigogo kapewa tenda ya umamantilie auze kwa bei ya kukomoana wanachojali wao ni mifuko yao tu
Mbona wao wanauza hiyo misosi? Maji kuna wagonjwa watoto nk hatufananiLakini jamani hapo morogoro kwan lazima ule njiani
Muda wote maji ni dawa tosha na haihitaji kumuuliza mtu kama anakunywa maji au la, siku ikikutokea dharula ya kuishiwa maji mwilini ndipo utakapojua kuwa ni lazima muda wote uwe na chupa ya maji.Maji ni uhai na kwakweli ni muhimu mno kwa kila moja.
Lakini kwenye maeneo ya mikusanyiko yana utaratibu wake ambao uko wazi kabisaa.
Na maeneo yale nadhani kuna mabango ya kutosha kuhusu kipi kinaruhusiwa na kipi hakiruhusiwi...
Hata hivyo,
ungalikua umeishikilia mkononi maji yako, wangekuuliza nawe ungejieleza labda una tatizo na kwahivyo maji kwako ni dawa, hilo tatizo halingekua kubwa kiasi hicho..
Hata hivyo,
pole sana bilashaka kuna jambo umejifunza 🐒
Kwa kukopi na kupesti sisi ni hakuna anayetuzidi duniani, sheria za nchi nyingine tunafahamishana hapa kama vile tuko ulaya!
Hata mimi sikuoneshwa hizo sheria, nilichukulia ni vitisho vya wapigaji.Mimi baada ya kusoma nilishindwa kuelewa mil.500
Inaingiaje hapo
Ila baada ya kuzisoma comments nikaona wote wanaona sawa tu
Ningekosoa ila nikasema labda ndio lugha yenu hiyo
Mil.500 na 500ml utofauti ni mkubwa sana ila wote wameelewa naona kasoro mimi na wewe 😄 🤣 😂
Na wewe uko Brazil kama mimi 😄