bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Au platinumHawa itakua Bayport
Dah mkopo wa muda mrefu nao kashesheTusitishane jamani interest rate kwa mwaka ni Kati ya 16% mpaka 18% kwa mwaka kwa mabank haya tunayoyafahamu. Ukizidisha hiyo Raye na let say miaka mitano ya kulipia bado haifiki hata 100%. Ukute mtoa Mada alitaka arudishe pesa ndani ya miaka kumi.
Hizi microfinance ni janga kwa taifa na sijui kwa nini serikali imekaa kimya. Yaani mkopo una vigarama vilejificha kibao. Yaani kukopa huku ni kujichimbia kaburi mwenyewe. Wana mikataba mirefu halafu ukifika wanakuambia sign harakaharaka. Nilienda Platnum kutaka kukopa 3M kwa miezi 4 hesabu zanataka nitudisje 4.7 sijui. Huu ni wizi kwa watanzaniaKuna baadha ya hizi micro finance mfano Finca wanatoa mikopo kwa riba ya mwezi 5% kwa mwaka inakua 60%. Sasa unakuta mleta mada kachukua mkopo huko kwa muda wa miaka miwili tu riba inakua 120% bado hawajakata bima na Administration fee lazima uchanganyikiwe tu.!
Sio wizi ila sisi sio waelewa wa masuala ya mikopo. Mfano wanakuambia riba ni 14 % Kwa mwaka, maana yake ni kwamba kama mkopo utakuwa wa miaka nane riba itakuwa 14% zidisha Kwa miaka 8 = 112%Ila ndo 10M kwa 24M ? riba 100%+ huu ni wizi aisee
Ndio @@shunie hua nikiliona nasahau madeni yanguSema kweli Bumija [emoji1787]
Nakubaliana na wewetusilaumu tu riba, tuangalie na kwa muda gani utakuta ni miaka 10 kwenda mbele huko 24m lazima
Bado nyingi sana,kama ndio hivyo hiyo mikopo aisadii zaidi ya kuongeza umaskiniHii itakuwa ni bayport ingekuwa bank Kama Nmb au crdb ingekuja kwenye 17
Linaisha mkuu naishi nao jirani na ofisi zao,wakizidisha asubuhi na mapema wanawasha Computer ninaoUna uhakika linaisha??? Unaweza ukaenda ukakuta mlima wa miaka 2 bado
Miaka mingapi ulichukua?Mi nlikopa crdb 20 mil narudisha 23.7 mil bado 2 yrs nimalize
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hii ni chai hakuna riba ya bank unaweza chukua 10 ukalipa 24 m kama riba haipo mkuu...riba ni 13% kwa bank nyingi...hiyo milion 12 imezidi saana haiwezi zidi 5m kama riba..ambapo riba plus interest unaweza kulipa milion 17 hapo umedanganya ummaAcha kabisa aisee!
Nikiwa nimepagawa na changamoto iliyokuwa inanikabili bila kujua la kufanya, nikakimbilia benki moja kuomba mkopo. Kufika pale nikamuambia afisa mikopo kuwa nahitaji m15, akaniambia m10 ni uftapata lakini si hizo ulizotaka. Nikaona kheri tu itaokoa kitu tena kwa kiasi kikubwa sana tu.
Wakati huo, simu inapigwa kila baada ya sekunde 20 kutoka huko kwenye chamgamoto iliyonifanya niende kukopa......nilipagawa sana. Wakati afisa mikopo ananieleza habari za makato n.k mi hata sikuwa nasikia chochote. Akili ilikuwa kwenye kupata pesa tu nikamalize tatizo. Siku kadhaa mbele nikafanikiwa na tatizo likaisha na akili ikarudi katika utulivu wa kawaida.
Siku zinavyoenda haraka, mwisho wa mwezi ukafika bwana! Aisee, ile naiangalia salary slip sikuamini nilichokiona......milioni 24 nahitajika kulipa. 24M!! Kwanza nilihisi baridi, harafu ganzi; baadae nikahisi uono wangu kama hauko sawa. Nikajiuliza imekuaje mbona sioni vizuri? Kwakuwa nilikuwa chumbani, nikasogea kwenye kioo kujiangalia. Dah, si ndo nakuta jicho moja la upande wa kushoto limejifunga, kope haitaki kupanda juu ('kukupila' watu wa pwani ya kusini wanasema). Nikajaribu kulifunua kwa mkono, wapi! Nikiliacha linajifunga tena. Hali iliendelea hivyo kama dakika 40 au saa moja hivi. Baadae sana ndo likarejea katika hali ya kawaida. Nilishapagwa, nilijua limeparalyse!
Mikopo!!!! Ukiweza kuachana nayo iache ndg'angu!
Na hiyo NMB inategemea unalipa kwa muda gani hilo dani na haifiki hukoHii itakuwa ni bayport ingekuwa bank Kama Nmb au crdb ingekuja kwenye 17