zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,598
Hahaha jomba ulitisha,bibi inaonekana ulimtesa Sana,Mara ela za test tubeNilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.
Na mimi ela nilizokua nakupa zilikua ni za ada nakula,ada lnamla ada mwenzake.urudi tukumbushiane lakini,hawala Hana talaka,hahaha😂😂😂Kuachwa kuachana ni mipango ya Allah
Bibi alikuwa mfuatiliaji sana wa shule ingawa hakusoma kabisa( hajui kusoma wala kuandika).Kuna mjomba wangu alijitia ngumu.Alikuwa anaenda shule daily asubuhi na mchana mpaka jamaa anamaliza la saba na alichana vibaya sana.Mimi nilifaulu kwa second selection akili za kuchomelea😀😀😀Hahaha jomba ulitisha,bibi inaonekana ulimtesa Sana,Mara ela za test tube
😅😅😅Nmecheka San sasaivi si Elimu bure kwahy wanakula Ela tu Kam adaUjue zaman wanafunz walikuwa wanakula Sana ada lkn saiv wazazi ndo walaji wa Ada ,kumbe wale wanafunz wàliokuwa wanakula ada zaman ndo wazazi saiv[emoji3][emoji3][emoji3]
Hujui utamu wa ada weww tuulize sisiKatika ujuha sijawahi fanya ni kula ada ya mzazi.
Ni kujisifia upopoma tu.
😁😁😁😁😁Kura bata na hera za ada ilikua noma sana mkuu.
😁😁😁😁Mtoto wa afande Kanali kwenye 1&2
Sio mchezo na nilivyorudi home nikaenda kuchezea kipigo heavyAisee, ulipigwa mpaka mdomo ukavimba?
Nilianza kula ada ya shule darasa la tatu kama sikosei, nilichezea stick na kushinda njaaa.. 🤣🤣🤣 kuja secondary nishakuwa expert chuo ndio kabisa hadi chuo nikawapiga tukio na home kwa wakati mmoja. Bakula boom, nakula ya nyumbabi nikawaambia sina boom, chuo nikaunda receipt fakeKura bata na hera za ada ilikua noma sana mkuu.
Wew ulikuwa innocent boy shule umemaliza bila kosaKatika ujuha sijawahi fanya ni kula ada ya mzazi.
Ni kujisifia upopoma tu.
Eh hadi kwa Bibi😂😂😂Nilishawahi kudanganya hela ya mock ni ni shilingi elf 40 kumbe ni 10.Siku ya siku namuona bibi anakuja shule.Nilitimua mbio hizoo( nimesoma day).Shuleni nikatangazwa nimekula hela za mstaaafu.
Watoto wa siku hizi hawezi elewa hiz momentshawa watoto wa elimu bure hawawezi kuzijua hizi moments 😂😂
Wazazi ndo sis saiz😁Ujue zaman wanafunz walikuwa wanakula Sana ada lkn saiv wazazi ndo walaji wa Ada ,kumbe wale wanafunz wàliokuwa wanakula ada zaman ndo wazazi saiv[emoji3][emoji3][emoji3]
Tumshukuru mtot wa tajiri😂Mim pia nishawai kula ada. Sema niliilipa mwenyewe nilikua na mahusiano na mtoto wa tajiri kwa hyo vi laki laki hivi nilikua nahongwa kirahis.
Mkuu kweri kabisa ukichukua tu ata sh Mia basii inaisha hivhivHahahah ela ya ada Ina kama kauchawi,Kama hauna huakika wa kureplace usiguse ata shilingi kumi,ukigusa tu imekula kwako,itaisha bila kujua
Mkuu we nomaaa😂😂Nilianza kula ada ya shule darasa la tatu kama sikosei, nilichezea stick na kushinda njaaa.. 🤣🤣🤣 kuja secondary nishakuwa expert chuo ndio kabisa hadi chuo nikawapiga tukio na home kwa wakati mmoja. Bakula boom, nakula ya nyumbabi nikawaambia sina boom, chuo nikaunda receipt fake
Bibi alijua ukisoma utamsaidiaBibi alikuwa mfuatiliaji sana wa shule ingawa hakusoma kabisa( hajui kusoma wala kuandika).Kuna mjomba wangu alijitia ngumu.Alikuwa anaenda shule daily asubuhi na mchana mpaka jamaa anamaliza la saba na alichana vibaya sana.Mimi nilifaulu kwa second selection akili za kuchomelea😀😀😀
Watu tulimaliza elimu kimiujiza ujiza, ushawahi jihamisha shule tatu kuwapoteza wazazi maboya 😅😅😅Mkuu we nomaaa😂😂